Hivi itakuwaje kama Simba SC akapindua meza Kwa Mkapa?

Hivi itakuwaje kama Simba SC akapindua meza Kwa Mkapa?

Kichwa Kichafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
44,855
Reaction score
189,385
Habari.

Nimewaza hapa haraka haraka hizi kelele za hawa wanamsimbazi/wamatopeni siku ya kesho wakiweza kupindua meza?

Sijui ujasiri wameutoa wapi pamoja na kipigo cha mbwa koko ila bado wana kelele hadi sasa.

Sasa itokee ndio wamepindua meza kibabe itakuwaje mtaani?

Ila haya yote ni kujipa moyo tu wanajua kabisa wanaenda kukutana na moto mwingine.

Nawasilisha Mzee Mkoloni

Cc: Kichwa Kichafu
 
Habari.

Nimewaza hapa haraka haraka hizi kelele za hawa wanamsimbazi/wamatopeni siku ya kesho wakiweza kupindua meza?

Sijui ujasiri wameutoa wapi pamoja na kipigo cha mbwa koko ila bado wana kelele hadi sasa.

Sasa itokee ndio wamepindua meza kibabe itakuwaje mtaani?

Ila haya yote ni kujipa moyo tu wanajua kabisa wanaenda kukutana na moto mwingine.

Nawasilisha Mzee Mkoloni

Cc: Kichwa Kichafu
Wazulu tutawakeketa na nyie nyani wa Utopolo tutawakeketa mchana kweupeeeeee
 
Kizuri hakuna marefa wa TFF ujinga ule; Hapo ndo utaona wachezaji wa Kaizer Chief wakianza kupaka rangi mara baada ya kufunga goli mbili [emoji16]
 
Back
Top Bottom