Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Habari.
Nimewaza hapa haraka haraka hizi kelele za hawa wanamsimbazi/wamatopeni siku ya kesho wakiweza kupindua meza?
Sijui ujasiri wameutoa wapi pamoja na kipigo cha mbwa koko ila bado wana kelele hadi sasa.
Sasa itokee ndio wamepindua meza kibabe itakuwaje mtaani?
Ila haya yote ni kujipa moyo tu wanajua kabisa wanaenda kukutana na moto mwingine.
Nawasilisha Mzee Mkoloni
Cc: Kichwa Kichafu
Nimewaza hapa haraka haraka hizi kelele za hawa wanamsimbazi/wamatopeni siku ya kesho wakiweza kupindua meza?
Sijui ujasiri wameutoa wapi pamoja na kipigo cha mbwa koko ila bado wana kelele hadi sasa.
Sasa itokee ndio wamepindua meza kibabe itakuwaje mtaani?
Ila haya yote ni kujipa moyo tu wanajua kabisa wanaenda kukutana na moto mwingine.
Nawasilisha Mzee Mkoloni
Cc: Kichwa Kichafu