Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
Napinga kwa sababu hivi vitu naviptia kila aiku katika tasnia ya production mkuu. Ukisema ulete unafuu in the long run inacost sana watu. Investment ya kununua vifaa ni kitu ambacho kinafanyika mara moja tu na kinaepusha stress ya kuharibikiwa vifaa kabla returns za investment hazijarudiSijaelewa unapinga nini mkuu
halafu bei unasema monitor si hivyo inamaana kubwa au ndogo
Ipo hivi hovyo vitu vyote vipo na akitaka anapata vyote hata mda huu
na anakuja na mtaalamu wake kukagua km ni OG au feki kisha alete mrejesho hapa
Kasema anataka studio nafuu ya kibongobongo na mimi nimemnyambulishia bei kulingana uwezo wake
Kwa makadirio ni kama ifuatavyo:
1. Pc yenye uwezo kwa bei za kariakoo ni 2m
2. Monitor speakers za yamaha (hs 8) ni 2.4m na mkononi ni 1.8m
3. Sound card /audio interface ya njia mbili ndani na nne nje ni laki saba hadi tisa kulingana na brand kama focusrite, avid, m audio, presonus, behringer na kadhalika.
4. Microphone: kwa hapa dar nisikudanganye tu mkuu ukienda kariakoo utakuta hizi mic za mchina kama turkstar zimejaa kuanzia laki tatu ila sikushauri ununue. Mic nzuri ni ile ambayo bei zake zipo kuanzia laki nane au uipate kutoka kwa mtu. Kama utapata audio technica at 2020 itafaa sana na kuna siku niliwahi kuiona huko kariakoo duka la congo music shop
5. Midi keyboard controller huanzia laki tano na nusu kulingana na aina ya midi controller unayoitaka, kuna za keys 49, 61 hadi 88 na pia huwa zinakuwa semi weighted au full velocity.
6. Software kwa ajili ya productions pamoja na audio samples. Hizi ndio silaha za maangamizi kwenye production na sio rahisi sana kuzipata. Huwa mtu anakufanyia installation kwa package ya laki tatu kwa plugin za kawaida au laki 8 kwa full package ya world class samplers, synthesizers na plugins za mixing na Mastering.
7. Cables, stands na accessories: hizi mara nyingi huwa bei rahisi na huweza kufika laki sita kulingana na quality yake.
8. DIY Acoustics treatment: hii mara nyingi hutegemea na aina ya chumba utakachofanya kuwa studio na mimi binafsi nashauri uwekeze kwenye zile movable panels ambazo ukutaka kuhama ni rahisi kuzitoa na gharama zake ni approximately laki sita kwa chumba cha wastani.
9. Furniture: utahitaji kiti na meza kwa ajili ya prodicer, sofa set kwa ajili ya wageni na wateja na carpet
10. Air conditioner; kwa kawaida unahitaji a/c ya 9,000 btu/hr au 12,000 btu/hr kama chumba kitakuwa kikubwa kiasi
Kila la heri mkuu.Sawa mkuu nitafanyia kazi nitakuja kuleta mrejesho studio ikishakuwa tayari
Mixer ni ya lazima mkuu.Mkuu nitakupinga baadhi ya mambo hapo, ila ni katika kujaribu kupeana elimu ya mambo ya utayarishaji wa muziki,
Studio ndogo ya kurekodi muziki huhitaji mixer kwa sababu sauti hutumia conversion ya sound card.
Na pia suala la monitor speakers sio kwa bei hiyo unayosema kwa sababu uwezo wa monitor ndio utaamua output ya muziki wako, kwa mfano ukitumia hizi m audio hutapata output nzuri kama anyetumia yamaha au krk rokit.
Pia uwezo wa computer katika kuhimili vst/au/aax plug in ni kipaumbele namba moja. Hivyo fedha kubwa itumike kwa vipaumbele vifuatavyo:
1.monitor speakers
2.computer pamoja na software plugins zake
3.Mic na audio interface
4. acoustic treatment
5.vinginevyo
Mkuu mm namwambia boss agiza hichi na hichi kisha tutaauza mm siongei kwa kuuliza kwa mtu nimetaja bei vitu vipo hapa hvyo tunauza kulingana na tulivyonunua kuna brand new na used mara nyingi tools za ghalama inafaa used ili kuendana na soko la kibongo ila hivi nafuu hata vipya sawa 7bu mtu anaweza kuafordNapinga kwa sababu hivi vitu naviptia kila aiku katika tasnia ya production mkuu. Ukisema ulete unafuu in the long run inacost sana watu. Investment ya kununua vifaa ni kitu ambacho kinafanyika mara moja tu na kinaepusha stress ya kuharibikiwa vifaa kabla returns za investment hazijarudi
Sawa mkuu, kama unafahamu zaidi waweza kumsaidia katika hilo. Huo ni mchango wangu binafsi tu. Na pia ninapozungumzia software za production nyinyi mnarahisisha sana haya mambo eti elfu hamsini unapata full software na hapa sizungumzii hizi purity sijui nexus au nomad factory, nazungumzia software pamoja na expansion zake kama kontakt 6 pamoja na libraries zake, Omnisphere 2.6, heat up 3, waves 11, plugin alliance na nyinginezo ambazo zinatofautisha sound ya studio za mtaa na mainstream studios. Sasa hizi software kiuhalisia hazihitaji mashine ya kitoto.Kumbe Mzee unazungumzia bei za kibosibosi za kisifasifa
PC tu mln 2 anaenda kuedit MOVIE au ni producer mmoja ndo nilowahi muuzia PC tupu laki 7 na ni kwa 7bu anafanya sana nyimbo za band lkn wote PC zao wameenda mbali sana full katoa laki 5
Software laki nane siriazi mkuu mbongo atoe laki umuwekee software tu kwa studio hizi za kitaani
wakati kwangu laki tu na hata 50 namtilia full software na plugins
Nimeshatolea maelezo kuwa mixer inatumika kuongeza nguvu kwenye output signal ya sound card kwenda kwenye speakers. Sasa kama unaelewa teknolojia inafanyaje kazi unatakiwa tu kununua sound card yenye njia nyingi na sio mixer. Halafu pia usichanganye mixer na kifaa kinachoitwa digital console maana vinafanana.Mixer ni ya lazima mkuu.
Sijaona studio (hizi za Tanzania) ambayo haina mixer. Kama una kwaya ama bendi, mic 6 ama 7 na mavifaa yote utayaungaje? Labda utuelimishe zaidi. Mic interface pekee nadhani haitatosha. Angalia Bongo records, Wasafi, MJ Records, Mazuu, B Hitz, Sound Crafters ama Fish Crab. Wote wana Mixers
Mkuu, dhana ya mihemko ni ile ya kwenda tu na kununua vifaa bila kufanya utafiti wa aina yeyote. Ila hapa tunatoa uzoefu wa kila mmoja wetu ili mtoa mada aweze kufanya maamuzi sahihi katika kukamilisha hitaji lake.Mkuu mm namwambia boss agiza hichi na hichi kisha tutaauza mm siongei kwa kuuliza kwa mtu nimetaja bei vitu vipo hapa hvyo tunauza kulingana na tulivyonunua kuna brand new na used mara nyingi tools za ghalama inafaa used ili kuendana na soko la kibongo ila hivi nafuu hata vipya sawa 7bu mtu anaweza kuaford
vifaa vya studio ukitaka ufaidi nunua OG usifate mihemko ya maneno ya watu
Unachoongea wewe ni quality tools ambazo ni ghalama sana
Kwa mfano original studio one software
fist tyme naiona bongo mwaka 2013 nimeitwa niinstall ilikuwa na dvd Cd za 8gb zipo tano ambapo mshikaji alinununua DENMARK ambapo kwa kibongobongo thamani yake ilikuwa si chini ya laki 8 ya 3 user na lirudi na PC nyingne ili kuweza gonga plugin za studio one smooth ila toka hapo mpk leo ikitoka update analipa laki 2 kupata newversion hiyo software 1 tu
Km unasema kkoo mashine ndo hizohizo wanazotumia wenzako sema wewe unanunua bei kubwaSawa mkuu, kama unafahamu zaidi waweza kumsaidia katika hilo. Huo ni mchango wangu binafsi tu. Na pia ninapozungumzia software za production nyinyi mnarahisisha sana haya mambo eti elfu hamsini unapata full software na hapa sizungumzii hizi purity sijui nexus au nomad factory, nazungumzia software pamoja na expansion zake kama kontakt 6 pamoja na libraries zake, Omnisphere 2.6, heat up 3, waves 11, plugin alliance na nyinginezo ambazo zinatofautisha sound ya studio za mtaa na mainstream studios. Sasa hizi software kiuhalisia hazihitaji mashine ya kitoto.
Hapana mkuu atubishani mm nakueleza km mfanya biashara na soko la mtaani 7bu mtu ata AVAST kulipia tu dola 20 anaona nyingi mbnaMkuu, dhana ya mihemko ni ile ya kwenda tu na kununua vifaa bila kufanya utafiti wa aina yeyote. Ila hapa tunatoa uzoefu wa kila mmoja wetu ili mtoa mada aweze kufanya maamuzi sahihi katika kukamilisha hitaji lake. Dhana ya software ni pana sana na kwa uzoefu wangu ni wazi kuwa atahitaji kuwa na software nzuri zaidi ili kuhakikisha anapata matokeo bora. Na je, unafahamu ni adha gani mtu anapata kudownload software ya gb 188 kutoka mtandaoni kwa ajili ya ku install kwenye mashine?
Nilienda kuulizia mashine ya hp core i7 generation ya 8 na wakaniambia hiyo bei. Na hata ukienda posta nadhani bei itakuwa hiyo hiyo. Mashine ya laki saba ndio utapata lakini itakuwa used na pia siyo generation ya saba kwenda mbele. Labda kama utapata system unit peke yake uiupgrade halafu utumie tv kama displayKm unasema kkoo mashine ndo hizohizo wanazotumia wenzako sema wewe unanunua bei kubwa
7bu kkoo nzima unayosema sijaona desktop ya mln 2 hizi ninavyojua mm specs zake
7bu mln 2 unaunda PC mwenyewe si ya mchezo kwa kununua vitu kimojakimoja na kuunda
lkn kwa kkoo PC ya maan kabisa ni laki 5 mpk 7 na nusu ambazo ni HP Zseriez au HP xw workstaion ama dell precision Xps au lenovo think centre ambazo ukziiikuta iko full na ram zake 16 gb na card ya 1gb kwa laki 5 mpk 7 na nusu kutegemeq na gen yake unapata safii kabisa
Nakubaliana na wewe kabisa mkuu. Hii fani imeingiliwa sana na kila mtu anajua kila kitu au watu na hiyo mimi binafsi huwa na kuwa kimya mpaka pale matatizo yakitokea ndio waje kuniuliza vizuri tena.Hapana mkuu atubishani mm nakueleza km mfanya biashara na soko la mtaani 7bu mtu ata AVAST kulipia tu dola 20 anaona nyingi mbna fulani kaniwekea kadownload tu na kila simu natumia unadhani mtu km huyo ndo umuwekee software za lk 8
Tukubaliane tu kitu kimoja ishu za studio zimeingiliwa now kila mmoja producer kila mmoja anauza vifaa vya studio kila mtu msanii anataka kuwa na studio yake sasa unaenda kumuweka software anakwambia niuzie abaki nazo na yeye mwisho unamuuzia lkn zinaishia kuliwa na malware yaan yapo mambo mengi sana ambapo km unataka uende kwa standard zenyewe kwa bongo unafeli
Mkuu, nilihitaji kufanya treatment ya studio ila nilipoambiwa hiyo bei nikasema ngoja nikafanye diy mwenyewe tu kwa sababu gharama ya material hata haifiki laki tano na ikizidi sana ni laki saba kulingana na chumba ninachtumia kama studio.Jamaa yangu amefungua studio na Sasa inafanya Production tayari, Ana record Bongo fleva na Gospel na Miziki mingine....
Binafsi nimemfanyia Sound proof, Vifaa vya studio pekee katumia around 2.5 millions pekee, but hiyo ni nje ya Computer, coz Alikua na Powerful Laptop Ndo anatumia kwa sasa na studio ina Ubora mkubwa...
Ukipenda nicheck nikupeleke kwenye Studio yake, ukajionee mwenyewe, pia utajifunza kutoka kwake mwenyewe...
Kwaiyo ebu mkuu tuaminishe S2KIZZY alifungua studio kwa kiasi ngani?Mkuu, mimi namiliki studio ambayo vifaa vyenyewe ilinigharimu almost milioni saba kuvinunua na hadi sasa vipo na vinafanya kazi. Ukisema ununue vifaa kwa bei rahisi utaingia hasara kupeleka kwa fundi kila siku au kutoa muziki usio na ubora wowote. Hayo mambo ya akina s2kizzy ni flexing za mitandaoni usiziamini sana.
Hajafungua studio yeye, ila kuna mtu kamfungulia kwa jina na brand yake maana suala la kufanya muziki na kumiliki na kurndesha studio ni vitu viwili tofautiKwaiyo ebu mkuu tuaminishe S2KIZZY alifungua studio kwa kiasi ngani?
Kumbe Mzee unazungumzia bei za kibosibosi za kisifasifa
PC tu mln 2 anaenda kuedit MOVIE au ni producer mmoja ndo nilowahi muuzia PC tupu laki 7 na ni kwa 7bu anafanya sana nyimbo za band lkn wote PC zao wameenda mbali sana full katoa laki 5
Software laki nane siriazi mkuu mbongo atoe laki umuwekee software tu kwa studio hizi za kitaani
wakati kwangu laki tu na hata 50 namtilia full software na plugins