Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Umenichekesha sanaPapaaa musofe iko nakaa ndani ya segereya nanyeya ndoo
Shukran mkuu. Ukweli lazima usemweWewe ni mkweli sana, good
Nature yakeShukran mkuu. Ukweli lazima usemwe
Ohoooo!!!Jack Pemba ndio alokuwa mume wa mwanzo wa Aunty Ezekeal n aloanza kimla O713..... mjanja wa mjini,Ana passport ya UK kwa ss ila yupo Kampala baada ya bongo kuharibu sana
Ohooo!!!Juzi juzi katuma video akiwa na dola 200,000 mkononi. Mwenyewe anakwambia hiyo ni "breakfast money"
Duh!!!Jamaa pesa anazo mkuu. Kibongo bongo hata kumchukua harmo rapa kutumbuiza kwenye birthday ya mtu ni shughuli, ila jamaa kamleta kofi na bendi yake yote kuja kutumbuiza kwenye siku yake ya kuzaliwa. Jamaa pesa anazo, na mbwembwe anazo pia
Duh!!!
Usintaftie ban tafadhali. Seems like una stress sana na hilo tatizo lako. Ila una kila sababu ya kua na stress maana kua na tatizo la nguvu za kiume ni njia ya kuelekea ushoga (kama bado anyways). Pole sana aisee
Marehemu JBKuna mmoja alitajwa sana kwenye nyimbo hata na "Mzee wa Farasi" ila baadae alikuja kuuawa na polisi kama jambazi huko Morogoro
Usije kuwa umechanganya Na wa kajalaMume wa Aunty si wanasema yuko jela?
Walimualika halafu wakapiga shoo bila shuka ndio maana anajua yoteMkuu walikualika chumbani mpaka ukayajua yote haya?
Umeifanya siku yangu kuwa nimecheka kwa sauti halafu nipo pekee yanguPapaaa musofe iko nakaa ndani ya segereya nanyeya ndoo
Iko napelekwa ndani segereya siku mingiiiHayuko mitaani?
Du umenikumbusha mbali sana, Eliud Pemba kijana wa break dance Enzi hizo.Mnauliza msuli unguja? au karafuu pemba? Utapeli wa Jack Pemba uko wazi kabisa. ni asili ya ukoo wao toka kwa nduguye ELIUD PEMBA na familia nzima.
huyu jamaa kawaibia sana watu kwenye zile deal za magari ya wizi X5 BMW. labda mheshimiwa Mbowe anaweza kutusaidia kwa hili.
nilipata kigugumizi kuona watu na heshima zao wanakubali kufanya deal na huyu pemba wa kimataifa. pemba hadi kwenye mitutu yumu.