Hivi Jack Pemba ni tapeli?

Hivi Jack Pemba ni tapeli?

Jamaa pesa anazo mkuu. Kibongo bongo hata kumchukua harmo rapa kutumbuiza kwenye birthday ya mtu ni shughuli, ila jamaa kamleta kofi na bendi yake yote kuja kutumbuiza kwenye siku yake ya kuzaliwa. Jamaa pesa anazo, na mbwembwe anazo pia
Duh!!!
 
f51aaa9b84941cd91ef3b81db5a8786a.jpg

Usintaftie ban tafadhali. Seems like una stress sana na hilo tatizo lako. Ila una kila sababu ya kua na stress maana kua na tatizo la nguvu za kiume ni njia ya kuelekea ushoga (kama bado anyways). Pole sana aisee
Duh!!!
 
Kumbe jack Pemba na mange kimambi wametoka mbali kaanza kuwa sponsa toka 2007 ndio maana mange huko insta ana omba Dollar
 
Jack Pemba ni nani? Ni Raia wa wapi? Anashughulika na nn? Biashara zake ni zipi? Tanzania anamiliki nini? Ashawahi kamatwa na polisi kwa kosa lolote? Nn chanzo hasa cha pesa zake?
 
Mnauliza msuli unguja? au karafuu pemba? Utapeli wa Jack Pemba uko wazi kabisa. ni asili ya ukoo wao toka kwa nduguye ELIUD PEMBA na familia nzima.

huyu jamaa kawaibia sana watu kwenye zile deal za magari ya wizi X5 BMW. labda mheshimiwa Mbowe anaweza kutusaidia kwa hili.

nilipata kigugumizi kuona watu na heshima zao wanakubali kufanya deal na huyu pemba wa kimataifa. pemba hadi kwenye mitutu yumu.
Du umenikumbusha mbali sana, Eliud Pemba kijana wa break dance Enzi hizo.
 
Back
Top Bottom