Hivi Jack Pemba ni tapeli?

habari wakuu, kama title isemavo huyu mtu ni nani maana nimeona clip zake anachezea pesa si mchezo, ni nan hasa huyu mtu hapa tz
 
Kama ni pombe atakuwa mdogo wake Magufuli..
Ila kama ni Jack pemba basi ni mbongo mfanya biashara anaishi Kampala.. Ana pesa za kawaida tu ukilinganisha na wanasiasa wengi hapa tz .. Sema yeye anapenda sho off nyingi sio kitu kibaya ni pesa zake... Wanamuziki wengu wanamuimba jak pemba.... Fm academia na wengine..
 
Atakuwa ni mdogo wake mzee wa majipu si unaona hata ubini walivyofanana?
 
Mume wake Aunty Ezekiel enzi hizo kabla ya dansa......
Ndio mjue pesa sio kitu mbele ya shibobo sometimes.......
 


makosa ya kiuandishi ni JACK PEMBA mkuu
 
Mume wake Aunty Ezekiel enzi hizo kabla ya dansa......
Ndio mjue pesa sio kitu mbele ya shibobo sometimes.......

alimchoka labda, yanachokeshaga mashibobo wanasemaga sa ukiangalia na aunt mnene vile
 

Hata Mpoki a.k.a Bill Duke (mniga) huwa anamshobokeaga ktk comedy show.
 
Tupia pcha zake na matukio ya ugawaji pesa tuone zen tuchangie kwa usahh zaid
 
Mpiganaji mmoja ambae uwa anapigana mpaka tone la mwisho la damu yake lakini akizikamata lazima aje kuwakimbiza mchakamchaka wote wenye vi-pussy pale bongo movie au bongo fleva mpaka wanaomba afilisike uyo ndiye Jack Pemba asie na uwoga na deal iliyo mbele yake ukishangaa anakuacha ferry maana hata yeye anaachagwa ferry akikutana na manguli kwa sasa yupo Uganda anatia balaa lake lakini mpaka Bongo habari inafika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…