Hivi Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi kaishia wapi?

Hivi Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi kaishia wapi?

Hana PESA za kutulingishia, wenye Mali wamechukua chao. Bora angemuacha Mzee wa watu aendelee kuishi

Mzee wa miaka 75 kweli aendelee kuishi.

Biblia imeandika miaka 70 ndio umri wa kuishi zaidi ya hapo ni bonus tu.

Jack wa watu vitu vingine tunamsingizia

Kwa penz jack alilompa mzee uzeeni limemuongezea siku za kuishi. Nina uhakika bila penz tamu la Jack mzee asingefika 75 age
 
Atakuwa anapitia kipindi kigumu sana huyu dada na mashosti nao wamemkimbia kina Nancy Sumari, Halafu watoto alishawatoa Ile shule Yao.

Klin alikosea ku foji hiyo will wachagga hulea watoto, Sasa yeye akawachokoza wapalestina Matokeo ndio haya. Aende Moshi Xmass hii na masale akawaangukie wale wazee wa ukoo wamsamehe na wampe share zake, ikiwezekana awakabidhi wale watoto walelewe na ndugu wa Mengi yeye aendelee na maisha yake
 
Taarifa zangu za kitambo kidogo. Inawezekana hawapo tena. Karo yao ndefu kama hakuna kipato cha kueleweka.
Nilisoma IG kuwa kawatoa hao watoto huko, klyn aende Moshi na masalehe akaombe msamaha then wamsaidie kulea wale watoto Ili waje kurithi zile Mali, alifanya kosa ku forge will fake, mbona wachagga watamuelewa tu asije akawaharibu wale watoto bure.
 
Back
Top Bottom