Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana PESA za kutulingishia, wenye Mali wamechukua chao. Bora angemuacha Mzee wa watu aendelee kuishi
Unaongea kama vile Jack ndiyo kamuua Mengi..Hana PESA za kutulingishia, wenye Mali wamechukua chao. Bora angemuacha Mzee wa watu aendelee kuishi
Unaweza kutusaidia sisi polisi katika Upelelezi wa hii kesi mkuu? Maana yaelekea una taarifa nyetiHana PESA za kutulingishia, wenye Mali wamechukua chao. Bora angemuacha Mzee wa watu aendelee kuishi
Kapigwa na kitu kizito kichwaniNi mwezi wa 4 huu siku hizi simuoni Jackline N Mengi akipost tena instagram, nimemiss picha zake za Bata na motivational quotes zake..
Mwenye latest ubuyu kuhusu jacky Mengi atugee
Tukiishi ya wengine.. Mengi yetu yatakwama.. Tuishi yetu nasi tuje kuwa simulizi..![emoji2827][emoji1545]Ni mwezi wa 4 huu siku hizi simuoni Jackline N Mengi akipost tena instagram, nimemiss picha zake za Bata na motivational quotes zake..
Mwenye latest ubuyu kuhusu jacky Mengi atugee
Unaweza kutusaidia sisi polisi katika Upelelezi wa hii kesi mkuu?maana yaelekea una taarifa nyeti
Tutakutafuta uisaidie Jamhuri.Niwasaidie tunagawana mshahara?! Kaombeni msaada kwa watu wa Marekani kama ARVs
Anatafakaria awaroge tu yani aloge mpka wanae mana nao wanadamu hiyoAtakua hana hamu na familia ya mengi
Saa hii amekaa anawatafakari kinagaubaga
Klyin angetakiwaga amulinde sana yule mzee Sasa alivo mjinga sijui alienda kuloga mke mkubwa afe kwanza Ili awe huru Matokeo yake mzee naye akaanza shida. Klyin anatia huruma sanaHana PESA za kutulingishia, wenye Mali wamechukua chao. Bora angemuacha Mzee wa watu aendelee kuishi
hafu watoto alishawatoa Ile shule Yao.
Nilisoma IG kuwa kawatoa hao watoto huko, klyn aende Moshi na masalehe akaombe msamaha then wamsaidie kulea wale watoto Ili waje kurithi zile Mali, alifanya kosa ku forge will fake, mbona wachagga watamuelewa tu asije akawaharibu wale watoto bure.Mbona kawapeleka shule nzuri zaidi - IST.
Mungu amfanyie wepesi aisee kwa kipindi hichi kigumuNoma sana!
Nilisoma IG kuwa kawatoa hao watoto huko, klyn aende Moshi na masalehe akaombe msamaha then wamsaidie kulea wale watoto Ili waje kurithi zile Mali, alifanya kosa ku forge will fake, mbona wachagga watamuelewa tu asije akawaharibu wale watoto bure.
Jaman😂😂😂Anasaka mzee mwingine wa kumpiga na kitu chenye ncha kali