Ni mwezi wa 4 huu siku hizi simuoni Jackline N Mengi akipost tena instagram, nimemiss picha zake za Bata na motivational quotes zake..
Mwenye latest ubuyu kuhusu jacky Mengi atugee
Duuh kawatoa pale IST aiseee na mtu hata mia ya ada ulikua hutoiAtakuwa anapitia kipindi kigumu sana huyu dada, na mashosti nao wamemkimbia kina Nancy sumari, hafu watoto alishawatoa Ile shule Yao.
Klin alikosea ku foji hyo will wachagga hulea watoto, Sasa yeye akawachokoza wapalestina Matokeo ndio haya. Aende Moshi xmass hii na masale akawaangukie wale wazee wa ukoo wamsamehe na wampe share zake, ikiwezekana awakabidhi wale watoto walelewe na ndugu wa mengi yeye aendelee na maisha yake
😂😂😂😀Anatafakaria awaroge tu yani aloge mpka wanae mana nao wanadamu hiyo
Shule nzuri Dubai ? Na kwani analipa yeye ?school fees zinalipwa na IPPMbona kawapeleka shule nzuri zaidi - IST.
Hee sasa kama wale watoto mapacha wa Mengi wametolewa ist, sahiv wanasoma shule gani carihaAtakuwa anapitia kipindi kigumu sana huyu dada, na mashosti nao wamemkimbia kina Nancy sumari, hafu watoto alishawatoa Ile shule Yao.
Klin alikosea ku foji hyo will wachagga hulea watoto, Sasa yeye akawachokoza wapalestina Matokeo ndio haya. Aende Moshi xmass hii na masale akawaangukie wale wazee wa ukoo wamsamehe na wampe share zake, ikiwezekana awakabidhi wale watoto walelewe na ndugu wa mengi yeye aendelee na maisha yake
Hilo andiko liko kitabu gn na mstari wa ngapi?!Mzee wa miaka 75 kweli aendelee kuishi.
Biblia imeandika miaka 70 ndio umri wa kuishi zaidi ya hapo ni bonus tu.
Jack wa watu vitu vingine tunamsingizia
Kwa penz jack alilompa mzee uzeeni limemuongezea siku za kuishi. Nina uhakika bila penz tamu la jack mzee asingefika 75 age
Ndio ujue hana akili huyu klin anacheza na future ya watotoDuuh kawatoa pale IST aiseee na mtu hata mia ya ada ulikua hutoi
Wale watoto walikuwa wanalipiwa na IPP sio hela zake yule, Sasa huko Dubai wataishijeTaarifa zangu za kitambo kidogo. Inawezekana hawapo tena. Karo yao ndefu kama hakuna kipato cha kueleweka.
Ama kweli mengi alipotea njia.....Wale watoto walikuwa wanalipiwa na IPP sio hela zake yule, Sasa huko Dubai wataishije
Saa nyingine unatafta mtu ambaye ukiwa naye hata ukiondoka anaweza Lea watoto vizuriAma kweli mengi alipotea njia.....
Wale watoto walikuwa wanalipiwa na IPP sio hela zake yule, Sasa huko Dubai wataishije
Shule nzuri Dubai ? Na kwani analipa yeye ?school fees zinalipwa na IPP
Watu wana wivu wa kiboya sana.Mzee wa miaka 75 kweli aendelee kuishi.
Biblia imeandika miaka 70 ndio umri wa kuishi zaidi ya hapo ni bonus tu.
Jack wa watu vitu vingine tunamsingizia
Kwa penz jack alilompa mzee uzeeni limemuongezea siku za kuishi. Nina uhakika bila penz tamu la jack mzee asingefika 75 age
Nasikia kashauriwa na @dj Don NALIMISON akafungue kesi The HagueNi mwezi wa 4 huu siku hizi simuoni Jackline N Mengi akipost tena Instagram, nimemiss picha zake za Bata na motivational quotes zake..
Mwenye latest ubuyu kuhusu jacky Mengi atugee
Shule nzuri Dubai ? Na kwani analipa yeye ?school fees zinalipwa na IPP
JF never boring [emoji1544]Niwasaidie tunagawana mshahara?! Kaombeni msaada kwa watu wa Marekani kama ARVs
Wale watoto walikuwa wanalipiwa na IPP sio hela zake yule, Sasa huko Dubai wataishije