Dark Rahl
Member
- Dec 27, 2018
- 96
- 87
Huyo jamaaNani aliliwa?
Au ulimaanishaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaaNani aliliwa?
Ha ha ha haMpe salamu sana, bila shaka hata hapa JF atakuwepo na huenda anatuchora tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ni kweli maana jinsi alivyodanganywa alidhani haitavujaKufanyiwa kitendo kama kile pasipo kudhamiria lazima utamani kutoweka dunia maana ni zaidi ya aibu
Lkn angekua kama ile ya amberuty angeendelea kudunda tu
Katuachia historia aisee
Mpaka pale 'rikiboy' utakapokuwa 'rikiman' ndipo itaamika umekua.Sasa mbona me mtu mzima nafanyaje waniunge huko??? hayo maombi natuma wapi??[emoji24][emoji24][emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmehuzunika sana kwa ajili yake..uyo kaka alikua na roho ya kishetan haswaaNi kweli maana jinsi alivyodanganywa alidhani haitavuja
Alitumia juhudi kubwa sana kufanikisha hilo maana actress alikuwa anakataa sana.Nmehuzunika sana kwa ajili yake..uyo kaka alikua na roho ya kishetan haswaa
Si ndio actress kafanya kwa kujilazimisha...sasa sijui alikua anamkomoa nn huyo dada wkt ata yeye kajidhalilisha ndugu zake nao wameona show yake[emoji3]Alitumia juhudi kubwa sana kufanikisha hilo maana actress alikuwa anakataa sana.
Kila stage alikuwa anaset kamera tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kumbuka huyo actress alikuwa ni wa Kigogo na huenda jamaa alisota sana kumnasa ndio maana alijipanga na kuhakikisha anachukua tukio zima. Jamaa hawezi kujutia maana lengo lake lilishatimia ila maumivu ndio yalibaki kwa actressSi ndio actress kafanya kwa kujilazimisha...sasa sijui alikua anamkomoa nn huyo dada wkt ata yeye kajidhalilisha ndugu zake nao wameona show yake[emoji3]
Mbaya Sana! InasikitishaKumbuka huyo actress alikuwa ni wa Kigogo na huenda jamaa alisota sana kumnasa ndio maana alijipanga na kuhakikisha anachukua tukio zima. Jamaa hawezi kujutia maana lengo lake lilishatimia ila maumivu ndio yalibaki kwa actress
Hii sinema ina mafunzo mengiMbaya Sana! Inasikitisha
Ata huyo kaka kama ana utu lazima alikuja jutia pamoja na kufanya kwa kudhamiriaKumbuka huyo actress alikuwa ni wa Kigogo na huenda jamaa alisota sana kumnasa ndio maana alijipanga na kuhakikisha anachukua tukio zima. Jamaa hawezi kujutia maana lengo lake lilishatimia ila maumivu ndio yalibaki kwa actress
Ni zaidi ya kusikitisha yanMbaya Sana! Inasikitisha
Ni kweli, ila kuna watu roho ngumu na yeye mmojawapo.Ata huyo kaka kama ana utu lazima alikuja jutia pamoja na kufanya kwa kudhamiria
Haha ndio hivyoInaitwa CASINO LE JLW
Sent from my Huawei Mate X using Tapatalk
Mmm kumbe..kwa sasa yuko wapiKiuhalisia mkuu kutoka pande za idodomya
Jamaa anaitwa alikuwa dent cbe domWrite your reply...kwanza anaitwa nan mwenye huo uzii auweke hapa
Ndo tunajaribu kujiuliza aseee maana kitambo sanaMmm kumbe..kwa sasa yuko wapi
Wa sangara
Hahahaha kwani ni nini unataka?Ninyimie tuu