Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua kabisa hawalipi hivyo swali nimeuliza kama kushangaa au kejeliJF hawalipi mkuu
hizo mada za kukera ni zipi?
Sawa mkuuni kweli kabisa muda mwingi hua napotezea ila leo akili zilikuwa kwenye ule mda mchache ndio sababu nimeuliza
HahahahahaMkuu wewe bado haulipwi tu mpaka leo? Kwanini?
Anajua akianzisha hakuna atakae comment zaidi ya yeye mwenyewe kujijibu Kwa ile ID yake nyingine😂😁Anzisha zilizo nzuri uwe mfano kwa wengine ukute hujawahi kuanzisha uzi