Hivi Jehanamu iliumbwa lini?

Hivi Jehanamu iliumbwa lini?

......Biblia inasema...."Mungu huutangaza mwisho mwanzo"...hivyo jehanamu iliumbwa mwanzo.
Katika uumbaji Bibila inaonesha roho ya Bwana ikiwa juu ya vilindi vya maji...jiulize hayo maji yaliumbwa lini?..Kumuelewa Mungu na uumbaji siyo sawa na kuelewa somo la fizikia au liturujia nyinginenyingine.....Mungu njia zake ni kuu sana ndugu yangu.
Akili na mantiki vinahitaji msaada wa Mungu kumuelewa Mungu na uumbaji wake.
 
Kipindi ambacho taka zilijaa na hakuna pa kuzitupia ndiyo pakatengenzwa sehemu na kuitwa Jehanam...

Ngoja waje kukupa muongozo...
 
Za jioni jamani,

Kwa Imani yangu iliyonikuza tuaamini Kuna Jehanamu,,katika kitabu cha mwanzo sura ya kwanza tunaona uumbaji wa kila kitu,Mbingu,Nchi,binadamu na wanyama hata mimea na kadhalika.

Ila kuumbwa kwa hii sehemu ya kutisha kuliko zote hatujaona uumbaji wake,, JEHANAM ILIUMBWA lini hii?

Wenye Imani tofauti na Mimi labda huko mmeona uumbaji wa Jehanamu .
Kwan nan alishawahi kwenda huko jehanam
 
Back
Top Bottom