Hivi Jehanamu iliumbwa lini?

Hivi Jehanamu iliumbwa lini?

Uwe unasoma biblia mrembo.😂
😂😂😂😂Hapa nipo nayo yaani ,Ila wewe ndio upo shallow Hadi nimeamua nikuachie maana huwezi kujibu maswali yangu....Swali langu Ni moja tu Ila huna reference la kulijibu.
 
😂😂😂😂Hapa nipo nayo yaani ,Ila wewe ndio upo shallow Hadi nimeamua nikuachie maana huwezi kujibu maswali yangu....Swali langu Ni moja tu Ila huna reference la kulijibu.
Oh ulitaka nikuwekee vifungu vya neno? Mimi nime-assume kwamba unasoma biblia.
 
Oh ulitaka nikuwekee vifungu vya neno? Mimi nime-assume kwamba unasoma biblia.
Nasoma Sana!Ila sijaona wapi Mungu aliumba Jehanamu......rejea kitabu Cha Mwanzo Kuna habari za uumbaji mpaka Miche ya kondeni imekuwaje sehemu shababy Kama Jehanamu umesahaulika kuelezewa?....(mfano,siku ya tatu akaumba Jehanamu,akasema na liwe ziwa la Moto,likawa!)u see?
 
😂😂😂😂Hapa nipo nayo yaani ,Ila wewe ndio upo shallow Hadi nimeamua nikuachie maana huwezi kujibu maswali yangu....Swali langu Ni moja tu Ila huna reference la kulijibu.
Mwanzo 2:16-17. BWANA Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula, walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika”.

Mathayo 25:41 SRUV​

Kisha atawaambia na wale walioko katika mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na malaika zake
 
Nasoma Sana!Ila sijaona wapi Mungu aliumba Jehanamu......rejea kitabu Cha Mwanzo Kuna habari za uumbaji mpaka Miche ya kondeni imekuwaje sehemu shababy Kama Jehanamu umesahaulika kuelezewa?....(mfano,siku ya tatu akaumba Jehanamu,akasema na liwe ziwa la Moto,likawa!)u see?
Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na nchi. Unaelewa ukubwa wa hiyo sentensi? Hii inazungumzia ulimwengu mzima (the entire universe). Hapo kama kila detail ingetajwa basi kitabu kisingeisha.

Biblia imeandikwa kwa kuweka focus kwenye yale maeneo muhimu katika kuelezea mpango wa Mungu katika uumbaji, kuingia kwa dhambi, mpango wa ukombozi na ulimwengu ujao.
 
Mwanzo 2:16-17. BWANA Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula, walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika”.

Mathayo 25:41 SRUV​

Kisha atawaambia na wale walioko katika mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na malaika zake
Sawa,hayo ya kufa Sina tatizo nayo....
Shida Ni huo Moto wa milele, Jehanamu,au ziwa la Moto ukiachana na hiyo mathayo hapo hili neno Jehanamu limerudiwa Mara nyingi Sana Ila haijaonekana uliandaliwa lini,lini ziwa la Moto liliumbwa??
Mkuu hili Swali usilichukulie poa
 
Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na nchi. Unaelewa ukubwa wa hiyo sentensi? Hii inazungumzia ulimwengu mzima (the entire universe). Hapo kama kila detail ingetajwa basi kitabu kisingeisha.

Biblia imeandikwa kwa kuweka focus kwenye yale maeneo muhimu katika kuelezea mpango wa Mungu katika uumbaji, kuingia kwa dhambi, mpango wa ukombozi na ulimwengu ujao.
Sasa Jehanamu unaiona sio eneo Muhimu?mkuu are you serious?.... Jehanamu kwanza Ni sehemu unique,hebu fikiria ziwa la Moto wewe umewahi kuona wapi?maziwa yote duniani Yana maji...Sasa kwa Nini Unataka kupaona Kama Ni sehemu ya kawaida tu
 
Sawa,hayo ya kufa Sina tatizo nayo....
Shida Ni huo Moto wa milele, Jehanamu,au ziwa la Moto ukiachana na hiyo mathayo hapo hili neno limerudiwa Mara nyingi Sana Ila haujaonekana uliandaliwa lini??
Mkuu hili Swali usilichukulie poa
Ukisoma mwanzo 1:1 hadi mwanzo 1:2 unajua hapo katikati ya hiyo mistari miwili ni miaka zaidi ya bilioni nne? Ukifuatilia biblical theology utalifahamu hilo. Wanasayansi wapo sahihi kusema dunia yetu imekuwepo kwa miaka bilioni nne plus.

Sasa katika hiyo miaka bilioni nne ndipo shetani alikuwa lusifa na baadae akaasi na kutupwa duniani. Hapo ndio sasa Dunia ikawa utupu na tena ukiwa. Ukisoma Ezekiel 28:11-19 utaona kwamba kabla ya uasi shetani alikuwa na ofisi hapa duniani.

Alipoasi ndipo jehanamu ikawa tayari kwa ajili yake. Kwahiyo ilikuwepo kabla ya mwanadamu hajaumbwa ila iliwekwa kwa ajili ya shetani na malaika zake.
 
Sasa Jehanamu unaiona sio eneo Muhimu?mkuu are you serious?.... Jehanamu kwanza Ni sehemu unique,hebu fikiria ziwa la Moto wewe umewahi kuona wapi?maziwa yote duniani Yana maji...Sasa kwa Nini Unataka kupaona Kama Ni sehemu ya kawaida tu
Nimekujibu hapo juu.
 
Kaka mkubwa,hapa ume assume.....kwa Nini tukio kubwa la kuundwa sehemu nyeti Kama hii halina rekodi?
Iko hivi dadaake.. Jehanum ni matokeo sio chanzo... Yani ni kama moshi kwenye gari haujaumbwa wala hauna bajeti yake bali ni end product isiyotakikana kutokana na kazi ya engine
 
Iko hivi dadaake.. Jehanum ni matokeo sio chanzo... Yani ni kama moshi kwenye gari haujaumbwa wala hauna bajeti yake bali ni end product isiyotakikana kutokana na kazi ya engine
Ook,najaribu kutafakari,kwamba Adam asingekula Tunda Jehanamu isingetokea.
 
Back
Top Bottom