Grim Langdon
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 774
- 2,262
Eeeeh no reasoning.Na nidhamu ya uoga juu, raia hatutaki hata kujiuliza maswali yanayotutatiza Ni kuogopa kwa kwenda mbele
Wanajua uki reason saana utajua ukwl
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeeh no reasoning.Na nidhamu ya uoga juu, raia hatutaki hata kujiuliza maswali yanayotutatiza Ni kuogopa kwa kwenda mbele
Mzungu ni Nani!?..ndiye mwenye(muasisi) wa Imani hizo au naye kachukua mahali!?...muwe mnafikiri a kwa kina siyo kuharisha tuHadith za kutungwa hzo😂😂😂 tena na wazungu
Baada ya Adam na Eva kula tundra LA MRI wa kati la mema na mabaya..hapo ndipo jehanum iliundwa rasmi na ikaanza kutumika Kaini alipomsulubu ndugu yakeZa jioni jamani,
Kwa Imani yangu iliyonikuza tuaamini Kuna Jehanamu,,katika kitabu Cha Mwanzo sura ya kwanza tunaona uumbaji wa kila kitu,Mbingu,Nchi,binadamu na wanyama hata mimea na kadhalika...
Ila kuumbwa kwa hii sehemu ya kutisha kuliko zote hatujaona uumbaji wake,, JEHANAM ILIUMBWA lini hii?
Wenye Imani tofauti na Mimi labda huko mmeona uumbaji wa Jehanamu .
Kaka mkubwa,hapa ume assume.....kwa Nini tukio kubwa la kuundwa sehemu nyeti Kama hii halina rekodi?Baada ya Adam na Eva kula tundra LA MRI wa kati la mema na mabaya..hapo ndipo jehanum iliundwa rasmi na ikaanza kutumika Kaini alipomsulubu ndugu yake
Kifo kiliumbwa pamoja na uzima. Kiliumbwa kikiwa kimekufa. Adamu aliambiwa akifanya dhambi basi kifo kinapata uhai.Za jioni jamani,
Kwa Imani yangu iliyonikuza tuaamini Kuna Jehanamu,,katika kitabu Cha Mwanzo sura ya kwanza tunaona uumbaji wa kila kitu,Mbingu,Nchi,binadamu na wanyama hata mimea na kadhalika...
Ila kuumbwa kwa hii sehemu ya kutisha kuliko zote hatujaona uumbaji wake,, JEHANAM ILIUMBWA lini hii?
Wenye Imani tofauti na Mimi labda huko mmeona uumbaji wa Jehanamu .
Daaah umeniongezea maswali kichwani mwangu.Kifo kiliumbwa pamoja na uzima. Kiliumbwa kikiwa kimekufa. Adamu aliambiwa akifanya dhambi basi kifo kinapata uhai.
Shetani alipoasi tu hapohapo jehanamu ikawa active. Ilikuwepo lakini ikiwa Haina uhai.
Yapi hayo?Daaah umeniongezea maswali kichwani mwangu.
Mimi ni mkristo, katika fellowship na Yesu Kristo.Wewe Ni muslim?
Ewaaaa we mwenzangu,,,Sasa hayo maneno uliyoandika umeyatoa wapi?kwamba Adam aliambiwa akifanya dhambi kifo kinapata uzima??Mimi ni mkristo, katika fellowship na Yesu Kristo.
Mungu alimwambia Adam kwamba siku akila tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya atakufa. Hakusema kwamba akila lile tunda la mti wa katikati basi Mungu ataumba kifo.Ewaaaa we mwenzangu,,,Sasa hayo maneno uliyoandika umeyatoa wapi?kwamba Adam aliambiwa akifanya dhambi kifo kinapata uzima??
Na unasema Jehanamu ilikuwa Ila haikuwa na uhai hili nalo latokea kitabu gani?
Yaani kwa unyeti wa Jehanamu mbona hamna sehemu imeelezea iliumbwaje na kukoje kukoje?
Ngoja niendelee kunywa mtori...Thanx anywayMungu alimwambia Adam kwamba siku akila tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya atakufa. Hakusema kwamba akila lile tunda la mti wa katikati basi Mungu ataumba kifo.
Ukichunguza kwa makini utajua kwamba Mungu anaposema kifo huwa anakizungumzia kile cha kiroho na baadae cha mwili. Na kufa kiroho maana yake ni kutengwa na uwepo wa Mungu.
Kwahiyo kitendo cha kula tunda kilifanya tu ku activate kifo ambacho tayari kilikuwepo kwenye tamko la Mungu hapo juu.
Biblia pia inaeleza kwamba jehanamu iliandaliwa kwa ajili ya shetani na malaika zake. Kwanini iliandaliwa? Simple, kwasababu aliasi. Alipoasi moja kwa moja aliifanya jehanamu iwe active, tayari kumpokea. Hapa nimetumia tu logic kutokana na tukio la uasi kufikia conclusion hiyo.
Iliumbwa kabla ya mwanadamu kuumbwa.Za jioni jamani,
Kwa Imani yangu iliyonikuza tuaamini Kuna Jehanamu,,katika kitabu Cha Mwanzo sura ya kwanza tunaona uumbaji wa kila kitu,Mbingu,Nchi,binadamu na wanyama hata mimea na kadhalika...
Ila kuumbwa kwa hii sehemu ya kutisha kuliko zote hatujaona uumbaji wake,, JEHANAM ILIUMBWA lini hii?
Wenye Imani tofauti na Mimi labda huko mmeona uumbaji wa Jehanamu .
Muda ukifika wakuchomwa watakuwepo. Huu ndiyo utaratibu wa Mola. Ndiyo maana viwili hivyo vimueumbwa.Nia na madhumuni hasa Ni Nini Kama hata wakuwachoma hawakuwepo?
Yote hayo ili atukomoe kwa vita yake na shetani[emoji848][emoji848][emoji848]iliumbwa baada ya kuumbwa pepo..
malaika waliambiwa wauchochee moto hadi ukawa mweupe!!
mungu akawaambia bado uchocheeni tena,ukachochewa ukawa mwekundu.
mungu akasema bado!!chochea.
hadi ulipokuwa mweusi ndio akasema ishieni hapo hapo..
unaambiwa huu moto wote unaona huku duniani hata ule wa makombora ya urusi na nyuklia zake ni kijivu tuu kidogo kutoka ktk jehanam!!