eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo hao polisi walikuwa watanzania au waingerezaPolisi ni Chombo cha Serikali. Hivyo kipindi hicho Serikali iliyokuwepo ni ya Uingereza. Tulipopata uhuru tukaunda Serikali yetu na Jeshi liliendelea kuwepo.
😂😂😂 kama davosLushoto ndiyo mji wa kwanza kuwa na taa za barabarani Tanganyika. Ila kwa sasa umeachwa ujifie kabisa. Angekuwepo mkoloni Muingereza Lushoto ingekuwa kama Davos
Both. Can't you see the boss was English man from Birmingham, Warwickshire.?kwa hiyo hao polisi walikuwa watanzania au waingereza