hivi jeshi la polisi Tanzania linalinda usalama wa raia wa uingereza na mali zao au linalinda usalama wa raia na mali za mtanzania!!?kwa nini 1919

hivi jeshi la polisi Tanzania linalinda usalama wa raia wa uingereza na mali zao au linalinda usalama wa raia na mali za mtanzania!!?kwa nini 1919

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,379
Screenshot_20250102-201121.png
 
Polisi ni Chombo cha Serikali. Hivyo kipindi hicho Serikali iliyokuwepo ni ya Uingereza. Tulipopata uhuru tukaunda Serikali yetu na Jeshi liliendelea kuwepo.
 
Lushoto ndiyo mji wa kwanza kuwa na taa za barabarani Tanganyika. Ila kwa sasa umeachwa ujifie kabisa. Angekuwepo mkoloni Muingereza Lushoto ingekuwa kama Davos
 
Polisi ni Chombo cha Serikali. Hivyo kipindi hicho Serikali iliyokuwepo ni ya Uingereza. Tulipopata uhuru tukaunda Serikali yetu na Jeshi liliendelea kuwepo.
kwa hiyo hao polisi walikuwa watanzania au waingereza
 
Lushoto ndiyo mji wa kwanza kuwa na taa za barabarani Tanganyika. Ila kwa sasa umeachwa ujifie kabisa. Angekuwepo mkoloni Muingereza Lushoto ingekuwa kama Davos
😂😂😂 kama davos
ndio umeshajifia hivyo
umebaki magofu tu
 
hivi lushoto kulikuwa na nini wakati huo 1919 mpaka mkoloni akaweka makao pale
 
Back
Top Bottom