Polisi ni Chombo cha Serikali. Hivyo kipindi hicho Serikali iliyokuwepo ni ya Uingereza. Tulipopata uhuru tukaunda Serikali yetu na Jeshi liliendelea kuwepo.
Lushoto ndiyo mji wa kwanza kuwa na taa za barabarani Tanganyika. Ila kwa sasa umeachwa ujifie kabisa. Angekuwepo mkoloni Muingereza Lushoto ingekuwa kama Davos
Polisi ni Chombo cha Serikali. Hivyo kipindi hicho Serikali iliyokuwepo ni ya Uingereza. Tulipopata uhuru tukaunda Serikali yetu na Jeshi liliendelea kuwepo.
Lushoto ndiyo mji wa kwanza kuwa na taa za barabarani Tanganyika. Ila kwa sasa umeachwa ujifie kabisa. Angekuwepo mkoloni Muingereza Lushoto ingekuwa kama Davos