Hivi Jeshi la Tanzania lina Special Forces?

Hivi Jeshi la Tanzania lina Special Forces?

special forces | elite , highly trained military forces, specially selected to work on difficult missions
Kwa tafsiri hiyo uliyoweka wapo, ni kama umejijibu mwenyewe.
 
Sasa mfano huyo jamaa ulimueka kwenye aviator aliyekufa Congo je walienda wote makomando Congo?
Kumbe wew huelewi.

Alie kwambia special force wote huenda kwa task ni nan???

Hapo wana chukulia baadhi kwenda kutekeleza kazi,
 
Ishieni kuhoji setikali mliyo ichagua si kihoji mhimili na chombo chabulinzi wa Taifa
 
Hakuna nchi yoyote duniani isiyokuwa na Jeshi kitengo maalum.
[emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji51]
 
Saddamu Hussein alikuwa nacho aisee, nakumbuka Republican Guards, hiki alikitumia baada ya kuona Wanajeshi wa kawaida wameelemewa.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Aisee subiri malawi walete fyoko fyoko atawaona!!ila mkuu siri myingine miza ndani sio za kuanika humu nadhani umenielewa!!
Sidhani kwa dunia ya sasa kujulikana uwepo wa special force ni tatizo sana! Tatizo ni kujulikana members wake kwa utambulisho halisi, training pamoja na missions zao! Hapa kila MTU anaimba majina ya special forces za nchi nyingine na madhara hakuna!
 
Hivi ni chuki au nini... Siku hizi JF imekuwa ukiuliza swali ni kama umeamua kutafuta matusi.
Mtu anakwambia tafuta hela watoto wakale, wakati yeye anazunguka JF kuropoka.
Mambo ya ulinzi sio ya kutaka kuyajua kiholela mkuu, hatujuani hapa mtu anauliza mambo ya ulinzi na usalama wa majeshi anataka kujua ili iweje labda.
Kuna maswali ukiuliza utajibiwa mengine huwezi kujibiwa Never
 
Mambo ya ulinzi sio ya kutaka kuyajua kiholela mkuu, hatujuani hapa mtu anauliza mambo ya ulinzi na usalama wa majeshi anataka kujua ili iweje labda.
Kuna maswali ukiuliza utajibiwa mengine huwezi kujibiwa Never
Acha zako bwana, mbona unaishi kizamani mkuu?
Hivyo vya nchi zingine ukitafuta taarifa zake unazipata, hata ukitaka kuangalia jinsi wanavyofanya mazoezi unaweza ni bando lako tu.

Wewe unakuja hapa kutoa hekaya za uongo kama hivi, hebu zunguka online kwanza ndiyo uanze kulalamika.
 
Hakuna Tanzania ila Burundi,Rwanda,Uganda na Kenya ndiyo zipo,hebu kawaulize unachotaka! Hapa huwezi jibiwa maana hatunaga mambo hapa Watanzania! Kwani waliokutuma wamesema hapa utapata habari kama wapo? Lakini ushauri mwingine kaulize pale makao makuu ya jeshi upanga aua hata pale lugalo nadhani wale ma MP watakusaidia jibu lako!
Mbona una hasira??! Fala ww
 
1483981995850.jpg
1483982016202.jpg
Kuna Red Briggade Special Force (RBSF)
1483981585899.jpg
 
Mambo ya ulinzi sio ya kutaka kuyajua kiholela mkuu, hatujuani hapa mtu anauliza mambo ya ulinzi na usalama wa majeshi anataka kujua ili iweje labda.
Kuna maswali ukiuliza utajibiwa mengine huwezi kujibiwa Never
Listen... Ameuliza kuna special forces Tanzania? Special forces zinajulikana, sio kitu cha kuficha. Hajauliza majina ya mission walizofanya au siri za nchi. Suala la Special forces kuwa zipo halihusiani na siri za majeshi ya ulinzi na usalama. Ndio maana kila nchi imebainisha
 
Mpeni jibu jamani mbona kuna baadhi ya vitu vinafanywa kuwa vigumu wakati ni rahisi kujibu, mfano mtu akitaka kujua kilipo kitua cha polisi cha Oysterbay kuna tatizo?, duh! Waafrika kweli tumeelewa vibaya kuhusu usalama wakati ngozi nyeupe wanazo hadi museum za kijeshi pamoja na kijasusi.
 
Special forces ni vikosi maalum kwaajili ya kazi maalum. Kwa mfano; jeshi la marekani lina vikosi maalumu kama navy seals na delta force hivi ni vikosi vinavyotumika kwenye operation maalum ambazo huwezi kutumia jeshi kama operation ile iliyomuua Osama (navy seals walitumika) Urusi pia wana kikosi maalum, uingereza, Izrael(hawa jamaa walikitumia pia Uganda kuokoa Waizrael waliozuiliwa na Idd Amin) nk, Muuliza swali ameuliza kama tuna vikosi kama hivyo JWTZ? Kuna mtu hapo amesema ndio mfano jeshi la tanzania DRC, iliyopo DRC sio kikosi maalum bali ni kikosi cha kawaida cha jeshi. Special forces huwa inaundwa na team ya makomandoo wakiwa kwenye kikosi cha wapiganaji kati ya wa5 hadi 7, na wanaweza kuzidi hadi 15
Acha uongo wewe, wanajeshi walioko Congo Drc wapo mchanganyiko yaani makomandoo ( ndio wanaoundwa Tanzania special force)

Pia jwtz Lina special force zake ambazo ni Tanzania Marine Special Force ( TMSF) inaundwa na wanamaji, Air Force Paratroopers special Unit ( inaundwa na wanajeshi wa anga wa miamvuli,
Kuna land Forces Commando ( inaundwa na makomandoo wa nchi kavu)
Kwa hiyo usidanganye mkuu.
 
red brigade nao si special ...[emoji87] [emoji87] .force au....???
 
Hakuna Tanzania ila Burundi,Rwanda,Uganda na Kenya ndiyo zipo,hebu kawaulize unachotaka! Hapa huwezi jibiwa maana hatunaga mambo hapa Watanzania! Kwani waliokutuma wamesema hapa utapata habari kama wapo? Lakini ushauri mwingine kaulize pale makao makuu ya jeshi upanga aua hata pale lugalo nadhani wale ma MP watakusaidia jibu lako!
Ajaribu arudi bila meno[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna jamaa mmoja amepitia mafunzo ya kukaanga kokoto kwa mkono wake kama mwiko, kukimbia kivuli chake na kukiacha umbali wa mita 1, kukata umeme nchi nzima kwa kupuliza 'puuuuu', ngoja nimuulize yuko kikosi gani kama si special force
Hahaaa
 
Back
Top Bottom