Hivi JF hakuna tunaokula utamu wa mapenzi?!

Hivi JF hakuna tunaokula utamu wa mapenzi?!

Kuna siku humu kuanzia asubuhi mpaka jioni ni nyuzi za kutendwa tu. Wengine usiku...wanakuja na kataa ndoa. Ni mwendo wa kupigana matukio tu.

Lakini tupo sisi tunaokula utamu wa mapenzi. Tunakula utamu kuanzia asubuhi mpaka jioni.

Hapa napoandika nimetoka kupigiwa video call, nimeambiwa nikitoka kazini niwahi kurudi ana hamu tena. Eti ile asubuhi alinionea huruma nisichelewa kazini. Amesema nichague nianze kumla yeye au nitaanzia mezani kwanza. Mimi nimemjibu nitakuja na asali, nimwagie mwili mzima ili niwale wote at a time.

Huyu ni yule aliyenifunga kamba ya viatu asubuhi. Kisha akani drive mpaka kazini kisha akarudi na boda. Kama ndio hivi kwa nini nisimnunulie ka IST kake?! Sio tu hivyo jana yake usiku ilikuwa siku ya kupigana show. Ilikuwa siku special kwa sababu tulihamia hotel tukawa mle tukashinda uchi kama vitoto vichanga.

Siwezi kusimulia kila kitu kama mechi ya mpira. Lengo langu sio kukutambia ila.....Kama wewe unapigika kwenye mapenzi ni wewe na huyo mumeo. Usiseme wanaume wote ni mbwa. Never generalise, wengine tunaogelea kwenye lindi na dimbwi la mapenzi. Pambana na hali yako usitusambazie ubaya wengine. Mapenzi hayana tatizo, tatizo ni demu wako. Sijasema hakuna ups and down, zipo! Ila kwa watu wanaopenda sana kwa nini washindwe kumaliza changamoto chaaaap kwa haraka?

Tunaokula raha za mapenzi tupo wapi? Mimi nipo hapa kushirikiana nanyi kuonyesha upande wa pili.
Tupe tips za kupata watu wa naman hiyo,
Ikiwezekan toa hata location au kabila
 
Wengine hali zetu za mapenzi ni kama dollar ya Marekani.

Leo imepanda kesho imeshuka.

Yaani hayatabiriki, muhimu kunakucha.

Kukikucha vizuri utapendwa hadi utatamani umpe zawadi ya Dunia muishi wawili.

Siku kukikucha vibaya, unaweza kutamani Ulale huko huko ofisini 🙌
Na hayo ndio mapenzi, hayawezi kuwa yamenyooka siku zote, kuna moment zake tamu balaa hadi unatamani upate appointment na Rais ukamuhadithie 😂

Anachokisema OKW BOBAN SUNZU ni hali kutwa malalamiko humu as if hakuna watu ambao wameyapatia, nadhani hii ni nature ya binadamu ambao muasisi wa malalamiko kwa mujibu wetu sisi wakristo ni wana Wa Israel 😂

Binafsi naenjoy siku zote changamoto zilizopo ni za kawaida sana ambazo hata mtoto mdogo anaweza kuzitatua.
 
Kuna muda nikiona couple mahali wako na furaha wanaenjoy moments zao huwa nawaza sana kwani hawa hawapo JF?

Sehemu za starehe watu wa wapenzi wao, wengine teenager wengine umri wa kati wengine watu wazima wanaenjoy huwa nawaza hawaijui JF au? Maana humu kutwa makasiriko.

Wengine wameenda mbali zaidi wanasema siku hizi hawaoi, ila kila wikiend kila MC yuko booked na zingine bookings anazikataa, watu wa JF wanaishi sayari ipi?
 
Watu negative wana tabia na power ya kuspread negativity na they are best at it, kuna mtu ukimsoma unajua kabisa huyu ni shetani katika mwandiko wa mwanadamu.

Ya’ll stay positive , mbona maisha murua kabisa out here! 🥂
 
Kuna muda nikiona couple mahali wako na furaha wanaenjoy moments zao huwa nawaza sana kwani hawa hawapo JF?

Sehemu za starehe watu wa wapenzi wao, wengine teenager wengine umri wa kati wengine watu wazima wanaenjoy huwa nawaza hawaijui JF au? Maana humu kutwa makasiriko.

Wengine wameenda mbali zaidi wanasema siku hizi hawaoi, ila kila wikiend kila MC yuko booked na zingine bookings anazikataa, watu wa JF wanaishi sayari ipi?
Kwa Watanzania ni rahisi mtu kukusimulia negative issues kuliko positive.
Na mara nyingi mtu akisimulia mafanikio kwenye mapenzi. Response anayopata sio nzuri.
Hii inafanya watu wasipende kusimulia mambo yao mazuri
 
Kwa Watanzania ni rahisi mtu kukusimulia negative issues kuliko positive.
Na mara nyingi mtu akisimulia mafanikio kwenye mapenzi. Response anayopata sio nzuri.
Hii inafanya watu wasipende kusimulia mambo yao mazuri
Well observed mate. 🤝
 
Kwa Watanzania ni rahisi mtu kukusimulia negative issues kuliko positive.
Na mara nyingi mtu akisimulia mafanikio kwenye mapenzi. Response anayopata sio nzuri.
Hii inafanya watu wasipende kusimulia mambo yao mazuri
Huwa nasemaga humu, walio kwenye ndoa kutwa kulalamika wananyimwa unyumba, siku wakipewa wala hawasemi Leo nimepewa.
Ila ndo nature ya binadamu, tunakumbuka mabaya kuliko mazuri.....Mume apewe unyumba mwaka mzima, akinyimwa wiki moja vikao hadi Kwa wazee wa Baraza.....na akianza kupewa upya harudi Kwa wazee aseme jamani nishaanza kupewa🤣🤣🤣🤣
 
Kuna siku humu kuanzia asubuhi mpaka jioni ni nyuzi za kutendwa tu. Wengine usiku...wanakuja na kataa ndoa. Ni mwendo wa kupigana matukio tu.

Lakini tupo sisi tunaokula utamu wa mapenzi. Tunakula utamu kuanzia asubuhi mpaka jioni.

Hapa napoandika nimetoka kupigiwa video call, nimeambiwa nikitoka kazini niwahi kurudi ana hamu tena. Eti ile asubuhi alinionea huruma nisichelewa kazini. Amesema nichague nianze kumla yeye au nitaanzia mezani kwanza. Mimi nimemjibu nitakuja na asali, nimwagie mwili mzima ili niwale wote at a time.

Huyu ni yule aliyenifunga kamba ya viatu asubuhi. Kisha akani drive mpaka kazini kisha akarudi na boda. Kama ndio hivi kwa nini nisimnunulie ka IST kake?! Sio tu hivyo jana yake usiku ilikuwa siku ya kupigana show. Ilikuwa siku special kwa sababu tulihamia hotel tukawa mle tukashinda uchi kama vitoto vichanga.

Siwezi kusimulia kila kitu kama mechi ya mpira. Lengo langu sio kukutambia ila.....Kama wewe unapigika kwenye mapenzi ni wewe na huyo mumeo. Usiseme wanaume wote ni mbwa. Never generalise, wengine tunaogelea kwenye lindi na dimbwi la mapenzi. Pambana na hali yako usitusambazie ubaya wengine. Mapenzi hayana tatizo, tatizo ni demu wako. Sijasema hakuna ups and down, zipo! Ila kwa watu wanaopenda sana kwa nini washindwe kumaliza changamoto chaaaap kwa haraka?

Tunaokula raha za mapenzi tupo wapi? Mimi nipo hapa kushirikiana nanyi kuonyesha upande wa pili.
Mimi bana nilichogundua wanawake hua wanakinai mapenzi haraka sana! Yaani mwanamke ukiwa unamkula kula kila mara mwanzoni atakua kweli anaenjoy na kutoa ushirikiano ila taratibu muda unavyoenda utaanza kuona anapoteza interest. Itafika mahali anakua hatoi tena ushirikiano kabisa yaani mpaka mzungushane sana au hata akitoa unaona kabisa ni yupo yupo tu ilimradi.
 
Huwa nasemaga humu, walio kwenye ndoa kutwa kulalamika wananyimwa unyumba, siku wakipewa wala hawasemi Leo nimepewa.
Ila ndo nature ya binadamu, tunakumbuka mabaya kuliko mazuri.....Mume apewe unyumba mwaka mzima, akinyimwa wiki moja vikao hadi Kwa wazee wa Baraza.....na akianza kupewa upya harudi Kwa wazee aseme jamani nishaanza kupewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kufanya mema binadamu ni sawa na pikipiki kwenda mbele. Ila kufanya mabaya binadamu ni sawa na pikipiki kurudi nyuma. Nadhani itakuwa ajenda ya mtaa kama kutakuwa na pikipiki imeendeshwa kwa rivers ila ikienda mbele ni jambo lisilohitaji maneno. Maana ni mfumo wa yenyewe
 
Unaturingishia unavyokula utamu..

Mada za huku ni za kuambiwa changanya na zakwako...
Hahaha unaweza kukuta yuko kwa shemeji anapika ugali muda huu😂😂😂😂 jf siyo ya kuingia kichwa kichwa hahaha
 
Kuna siku humu kuanzia asubuhi mpaka jioni ni nyuzi za kutendwa tu. Wengine usiku...wanakuja na kataa ndoa. Ni mwendo wa kupigana matukio tu.

Lakini tupo sisi tunaokula utamu wa mapenzi. Tunakula utamu kuanzia asubuhi mpaka jioni.

Hapa napoandika nimetoka kupigiwa video call, nimeambiwa nikitoka kazini niwahi kurudi ana hamu tena. Eti ile asubuhi alinionea huruma nisichelewa kazini. Amesema nichague nianze kumla yeye au nitaanzia mezani kwanza. Mimi nimemjibu nitakuja na asali, nimwagie mwili mzima ili niwale wote at a time.

Huyu ni yule aliyenifunga kamba ya viatu asubuhi. Kisha akani drive mpaka kazini kisha akarudi na boda. Kama ndio hivi kwa nini nisimnunulie ka IST kake?! Sio tu hivyo jana yake usiku ilikuwa siku ya kupigana show. Ilikuwa siku special kwa sababu tulihamia hotel tukawa mle tukashinda uchi kama vitoto vichanga.

Siwezi kusimulia kila kitu kama mechi ya mpira. Lengo langu sio kukutambia ila.....Kama wewe unapigika kwenye mapenzi ni wewe na huyo mumeo. Usiseme wanaume wote ni mbwa. Never generalise, wengine tunaogelea kwenye lindi na dimbwi la mapenzi. Pambana na hali yako usitusambazie ubaya wengine. Mapenzi hayana tatizo, tatizo ni demu wako. Sijasema hakuna ups and down, zipo! Ila kwa watu wanaopenda sana kwa nini washindwe kumaliza changamoto chaaaap kwa haraka?

Tunaokula raha za mapenzi tupo wapi? Mimi nipo hapa kushirikiana nanyi kuonyesha upande wa pili.
Siku zote ubaya huvuma kuliko wema,wanaolizwa na mapenzi ni wachache kuliko wanaofurahia,ila wanaofurahia mapema hawaweki hadharani furaha Yao,
Pamoja na kufurahia huko siku ikatokea hata Kwa bahati mbaya mwenza wake akakosea tayari nyuzi ya malalamiko itaanzishwa,kashasahau Yale mema yote,kashasahau zile furaha.
Hongera sana Kwa kutukumbusha kutazama na kuzisemea pande zote mbili
 
Huwa nasemaga humu, walio kwenye ndoa kutwa kulalamika wananyimwa unyumba, siku wakipewa wala hawasemi Leo nimepewa.
Ila ndo nature ya binadamu, tunakumbuka mabaya kuliko mazuri.....Mume apewe unyumba mwaka mzima, akinyimwa wiki moja vikao hadi Kwa wazee wa Baraza.....na akianza kupewa upya harudi Kwa wazee aseme jamani nishaanza kupewa🤣🤣🤣🤣
😀😀😀😀 nimecheka eti akianza kupewa harudi kusema.
 
Back
Top Bottom