ABiClever Junior
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 948
- 548
hiyo kweli NY ila kumefanana na kule Kwa mh Rais Chato
Nimetumia ya Simu ya my friend!
Nipo hapa new York city, mtaloni street 01!
Huku kwetu America na mitaa ina namba, sio huko kwenu bongo lala ni nyumba tu zenye number!
Ni saa nane kasoro saiz na naona watu bado wapo online najiuliza kinachowafanya wasilale ni kitu gani?
Kuna uzi humu wa usiku unaitwa jf usiku wa manane
Sina mke.Ni saa nane kasoro saiz na naona watu bado wapo online najiuliza kinachowafanya wasilale ni kitu gani?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]subirini na Noah anawaletea!hiyo kweli NY ila kumefanana na kule Kwa mh Rais Chato
huku sio mtaa hadi Nyumba zina namba mlango ,mitaa ndio kabisa
Masihara hayo watu tunatumia "freebasics" we unaleta 10MB.MSIOLALA BURUDIKENI NA HII ITAWALIWAZA MPATE USINGIZI
Anza kujiuliza mwenyewe, kwa nn hujalala hadi saa hii..Ni saa nane kasoro saiz na naona watu bado wapo online najiuliza kinachowafanya wasilale ni kitu gani?
Kweli kabisa mkuu, huu ni uchoyo wa habari uliopitilizaMasihara hayo watu tunatumia "freebasics" we unaleta 10MB.
Ebu tuandikie kwa maandishi kilichomo humo kama kweli ulikuwa na nia ya kutuburudisha.
Mkuu sasa hapa ndo umeharibu kabsa usngiz umetoweka kabsa umenikumbusha kula bata live band!MSIOLALA BURUDIKENI NA HII ITAWALIWAZA MPATE USINGIZI
Nilikuwa nawatega tu... kumbe msiolala wote masikiniMasihara hayo watu tunatumia "freebasics" we unaleta 10MB.
Ebu tuandikie kwa maandishi kilichomo humo kama kweli ulikuwa na nia ya kutuburudisha.
Mkuu, hapo ulipo hauna hata karedio uwashe usikilize labda kitakuliwazaKweli kabisa mkuu, huu ni uchoyo wa habari uliopitiliza
Wewe utakuwa mpare, ugali na dagaa mmojaMasihara hayo watu tunatumia "freebasics" we unaleta 10MB.
Ebu tuandikie kwa maandishi kilichomo humo kama kweli ulikuwa na nia ya kutuburudisha.
Hahaaaaaa. Mwenyewe hapa najikumbushia nikidhani nitapata usingizi kumbe ndio naufukuza kabisaMkuu sasa hapa ndo umeharibu kabsa usngiz umetoweka kabsa umenikumbusha kula bata live band!
Radio ipo mkuu nasikiliza huku naperuzi JFMkuu, hapo ulipo hauna hata karedio uwashe usikilize labda kitakuliwaza