Mm huwa nawashangaa sanaa humu JF mtu ameuliza swali hata kama ni la kipumbavu ww kama una uelewa mjibu sio kumkejeli sio watu wote tumesoma labda mm nilivyo maliza darasa la saba sikuendele mbele nilienda kusomea mapishi sasa mambo ta jua nitayajua wapi. Hata wenzetu waliosoma kama yeye ni Dr wa maneno huwa ni meno tuu ukimletea tatizo la sikio hawezi kukutibu. Tuwe tunasaidiana kuongezana maarifa elimu sio darasani peke yake.