Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Hawa wadogozangu bwana mbona kama safari yao haiishi
Wanaenda mbele kama wanarudi nyuma
Huyu anaongea hiki mwingine kile na mdogomtu hiki cha!
We Jux utamuoa huyo mdogoetu mtoto wa kipare Vanessa Mdee au?!
Bora yule Msukuma kaweka Mbegu tunda likapatikana kwa yule dogo wa kimarangu anaitwaje tena... wameimba Bajaj ah Navy Kenzo
Ngoja tuendelee kuangalia YouTube maana yajayo yanaweza kufurahisha
SAMAHANI NAULIZA KWA WEMA SIO KWA UBAYA
KAMA HUNA CHA KUCOMMENT CHA WEMA NA KIZURI USICOMMENT
Wanaenda mbele kama wanarudi nyuma
Huyu anaongea hiki mwingine kile na mdogomtu hiki cha!
We Jux utamuoa huyo mdogoetu mtoto wa kipare Vanessa Mdee au?!
Bora yule Msukuma kaweka Mbegu tunda likapatikana kwa yule dogo wa kimarangu anaitwaje tena... wameimba Bajaj ah Navy Kenzo
Ngoja tuendelee kuangalia YouTube maana yajayo yanaweza kufurahisha
SAMAHANI NAULIZA KWA WEMA SIO KWA UBAYA
KAMA HUNA CHA KUCOMMENT CHA WEMA NA KIZURI USICOMMENT