Hivi Jux utamuoa kweli mtoto wa Kipare Vanessa au?!

Hivi Jux utamuoa kweli mtoto wa Kipare Vanessa au?!

Tuwape muda tafadhali

Hii Kauli ya ' Kipuuzi ' ya tuwape muda huwa inapatikana sana huku third world Countries na hasa hasa Tanzania ila kwa Wenzetu wenye akili na waliotutangulia mapema karibu katika nyanja zote za Kimaisha wao Kauli yao kubwa huwa ni uwazi, ukweli na kutopotezeana muda.
 
Hii Kauli ya ' Kipuuzi ' ya tuwape muda huwa inapatikana sana huku third world Countries na hasa hasa Tanzania ila kwa Wenzetu wenye akili na waliotutangulia mapema karibu katika nyanja zote za Kimaisha wao Kauli yao kubwa huwa ni uwazi, ukweli na kutopotezeana muda.
Kuna watu wanaokaaga kwenye mahusiano kwa muda mrefu bila ndoa kuliko hao wazungu? Ndoa siyo lazima ni discretion ya mtu
 
kweli kabisa
Mimi ninachojua tu ni kwamba Kuoa Mwanamke wa Kipare ni sawasawa na Kumpa hifadhi ya Kudumu Gaidi wa Al Qaeda au Al Shabaab au ISIS aliyejivika / aliyevalia ' Mabomu ' ya Kujitoa mhanga ambayo muda wowote anaweza ' akakulipua ' nayo. Naomba niishie hapa tafadhali.
wapare ni noma kifupi ndoa zao kudumu hata mika 3 ni ngumu
 
Mi nilishasema, Jux anakaa mlangoni tu, ndani haingii nje hatoki. Kama vipi apishe njia asilete gozigozi kabla Vanessa wenyewe anazeeka.
Sio kuzeeka tu. Lile ndalasta amazing kifuani ukipiga kimoja tu cha pili ukirudia labda unaukame kutoka jela. Hapo hajazaa sasa.
 
Nilishawahi kutoka na Mwanadada wa Kipare ila kilichotokea na nilichokishuhudia nikiwaita ' Magaidi ' wa Al Qaeda au Al Shabaab au ISIS wala sitokuwa nimekosea. Kitu pekee ambacho naweza Kukiri tena bila ya Unafiki wowote au kuwa mchoyo wa Kusifia / Kupongeza / Kukongole ni kwamba ni kweli kwa Urembo na Utundu wa Kitandani Wanawake wa Kipare ni wazuri sana na hutojutia kuwa nao ila kwa upande wa tabia / mienendo yataka moyo sana kuwa nao na kuwavumilia.
Hey mi mparee lakini sina ugaidi wowote, am lovable and obey my boundary dear 'being a woma/mother . Don't generalize
 
Una umri gani!!?..unaangalia mdindo wa maziwa kiguani!!!?..mke ni zaidi ya ngono
Oa mke jiridhishe mzee baba. Haya mambo unamuona mwanamke tabia nzuri ziwa ndala sura Mugabe kisa unalelewa ndio utaishia kama jamaa aliemuua mke wake kisa kamnyima hela ya biashara.
 
Nilishawahi kutoka na Mwanadada wa Kipare ila kilichotokea na nilichokishuhudia nikiwaita ' Magaidi ' wa Al Qaeda au Al Shabaab au ISIS wala sitokuwa nimekosea. Kitu pekee ambacho naweza Kukiri tena bila ya Unafiki wowote au kuwa mchoyo wa Kusifia / Kupongeza / Kukongole ni kwamba ni kweli kwa Urembo na Utundu wa Kitandani Wanawake wa Kipare ni wazuri sana na hutojutia kuwa nao ila kwa upande wa tabia / mienendo yataka moyo sana kuwa nao na kuwavumilia.
Hili halina ubishi..
 
Back
Top Bottom