Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Na tekenolojia ya sasa....pengine amesha yagandisha..anasubiri kupandikiza muda ukifikaAlafu mayai ya mwanamke hayaangalii kuwa ulikuwa unatafuta pesa au la
Doh
Naruhusiwa kuchangia kama hujanitaja hapa?
Labda uzembe wake hakumbuki kituo gani cha Afya aliyaweka na pengine kahama states nyingi mpaka hakumbuki.Kuna this Lady Marekani amegandisha mayai tangu ana miaka 30 mpaka Leo ana 43 anasema hata hakumbuki yalipo
Sijui Nilikuwa naangalia reality show gani au ni Oprah Network sikumbuki
Mgandishano wa Mayai haujawahi kumwacha mtu salama
This is what I think
Unajitahidi sana kujaribu kunifahamu lkn kila siku unafeli hongera!
Tupo hapa kusaidia wadogozetu SIO kuuza sura kama wewe
Wewe umejuaje kama shigongo anaandika umbea kama Wewe SIO mbea addict?!
Kiru!
Hawa wadogozangu bwana mbona kama safari yao haiishi
Wanaenda mbele kama wanarudi nyuma
Huyu anaongea hiki mwingine kile na mdogomtu hiki cha!
We Jux utamuoa huyo mdogoetu mtoto wa kipare Vanessa Mdee au?!
Bora yule Msukuma kaweka Mbegu tunda likapatikana kwa yule dogo wa kimarangu anaitwaje tena... wameimba Bajaj ah Navy Kenzo
Ngoja tuendelee kuangalia YouTube maana yajayo yanaweza kufurahisha
SAMAHANI NAULIZA KWA WEMA SIO KWA UBAYA
KAMA HUNA CHA KUCOMMENT CHA WEMA NA KIZURI USICOMMENT
JUX Msukule tu hapo,Hawa wadogozangu bwana mbona kama safari yao haiishi
Wanaenda mbele kama wanarudi nyuma
Huyu anaongea hiki mwingine kile na mdogomtu hiki cha!
We Jux utamuoa huyo mdogoetu mtoto wa kipare Vanessa Mdee au?!
Bora yule Msukuma kaweka Mbegu tunda likapatikana kwa yule dogo wa kimarangu anaitwaje tena... wameimba Bajaj ah Navy Kenzo
Ngoja tuendelee kuangalia YouTube maana yajayo yanaweza kufurahisha
SAMAHANI NAULIZA KWA WEMA SIO KWA UBAYA
KAMA HUNA CHA KUCOMMENT CHA WEMA NA KIZURI USICOMMENT
Ukitaka kujutiaa ndoa oa mwanamke wa KipareHawa wadogozangu bwana mbona kama safari yao haiishi
Wanaenda mbele kama wanarudi nyuma
Huyu anaongea hiki mwingine kile na mdogomtu hiki cha!
We Jux utamuoa huyo mdogoetu mtoto wa kipare Vanessa Mdee au?!
Bora yule Msukuma kaweka Mbegu tunda likapatikana kwa yule dogo wa kimarangu anaitwaje tena... wameimba Bajaj ah Navy Kenzo
Ngoja tuendelee kuangalia YouTube maana yajayo yanaweza kufurahisha
SAMAHANI NAULIZA KWA WEMA SIO KWA UBAYA
KAMA HUNA CHA KUCOMMENT CHA WEMA NA KIZURI USICOMMENT
Hahahahahah
Ivi unautani na wapare au?!
Wewe ni mchaga au
Majirani msinipiganie mimiThis is what I think
Unajitahidi sana kujaribu kunifahamu lkn kila siku unafeli hongera!
Tupo hapa kusaidia wadogozetu SIO kuuza sura kama wewe
Wewe umejuaje kama shigongo anaandika umbea kama Wewe SIO mbea addict?!
Kiru!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naruhusiwa kuchangia kama hujanitaja hapa?