Sio hawa wa bongo!Mbona wanamziki wengi wamezaa Na hawajaaribika shape?!
Beyonce is ndo huyo mama 3 Na karudisha shape?!
Uje huku vigodoro Bia Zangu Umekunywa, Chakula Umekula, Pesa Zangu Umechukua nauli nauliza Utatoa Utoi?!
I think am "carry"[emoji16]
Of course,big love believer...ni venye dunia inakuwa na mambo meeengi kiasi huwezi meet big love sometimes...huhHahaha a how?@
Believer of Big Love au
Tuwape muda tafadhali
Kuna watu wanaokaaga kwenye mahusiano kwa muda mrefu bila ndoa kuliko hao wazungu? Ndoa siyo lazima ni discretion ya mtuHii Kauli ya ' Kipuuzi ' ya tuwape muda huwa inapatikana sana huku third world Countries na hasa hasa Tanzania ila kwa Wenzetu wenye akili na waliotutangulia mapema karibu katika nyanja zote za Kimaisha wao Kauli yao kubwa huwa ni uwazi, ukweli na kutopotezeana muda.
wapare ni noma kifupi ndoa zao kudumu hata mika 3 ni ngumuMimi ninachojua tu ni kwamba Kuoa Mwanamke wa Kipare ni sawasawa na Kumpa hifadhi ya Kudumu Gaidi wa Al Qaeda au Al Shabaab au ISIS aliyejivika / aliyevalia ' Mabomu ' ya Kujitoa mhanga ambayo muda wowote anaweza ' akakulipua ' nayo. Naomba niishie hapa tafadhali.
Sio kuzeeka tu. Lile ndalasta amazing kifuani ukipiga kimoja tu cha pili ukirudia labda unaukame kutoka jela. Hapo hajazaa sasa.Mi nilishasema, Jux anakaa mlangoni tu, ndani haingii nje hatoki. Kama vipi apishe njia asilete gozigozi kabla Vanessa wenyewe anazeeka.
Hey mi mparee lakini sina ugaidi wowote, am lovable and obey my boundary dear 'being a woma/mother . Don't generalizeNilishawahi kutoka na Mwanadada wa Kipare ila kilichotokea na nilichokishuhudia nikiwaita ' Magaidi ' wa Al Qaeda au Al Shabaab au ISIS wala sitokuwa nimekosea. Kitu pekee ambacho naweza Kukiri tena bila ya Unafiki wowote au kuwa mchoyo wa Kusifia / Kupongeza / Kukongole ni kwamba ni kweli kwa Urembo na Utundu wa Kitandani Wanawake wa Kipare ni wazuri sana na hutojutia kuwa nao ila kwa upande wa tabia / mienendo yataka moyo sana kuwa nao na kuwavumilia.
nakujaaaHahahahaha
Uuuwi
Njoo huku Mwafrica Aliemwokoa Mtoto wa Kizungu na kupewa Uraia na Ajira Nchini Ufaransa
sio wote lakini asilimia kubwa ndo hivyo kama nlivosema hapo, wengi wao huko chini hapajatuliaMbona ya wazazi wa Vanessa imedumu mwaka wa 38 sass?
wasanii hawa wanatoa sana mimba...wanashinda gym kwahyo shape inabaki palepale....WANACHOROPOA. ni siriVanessa azae Sasa hivi ili aharibu shape?
Una umri gani!!?..unaangalia mdindo wa maziwa kiguani!!!?..mke ni zaidi ya ngonoSio kuzeeka tu. Lile ndalasta amazing kifuani ukipiga kimoja tu cha pili ukirudia labda unaukame kutoka jela. Hapo hajazaa sasa.
Oa mke jiridhishe mzee baba. Haya mambo unamuona mwanamke tabia nzuri ziwa ndala sura Mugabe kisa unalelewa ndio utaishia kama jamaa aliemuua mke wake kisa kamnyima hela ya biashara.Una umri gani!!?..unaangalia mdindo wa maziwa kiguani!!!?..mke ni zaidi ya ngono
Hili halina ubishi..Nilishawahi kutoka na Mwanadada wa Kipare ila kilichotokea na nilichokishuhudia nikiwaita ' Magaidi ' wa Al Qaeda au Al Shabaab au ISIS wala sitokuwa nimekosea. Kitu pekee ambacho naweza Kukiri tena bila ya Unafiki wowote au kuwa mchoyo wa Kusifia / Kupongeza / Kukongole ni kwamba ni kweli kwa Urembo na Utundu wa Kitandani Wanawake wa Kipare ni wazuri sana na hutojutia kuwa nao ila kwa upande wa tabia / mienendo yataka moyo sana kuwa nao na kuwavumilia.