FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Unachokitafuta utakipataYaani walikuwa wanaendeshaje endeshaje shughuli zao za ibada?
Kwamba wanaemuabudu alianza kupoteza uwezo wake wa kusikia au ilianzaje anzaje hii hali?
Nilihama kodi mbichi sababu za kelele usku kucha kwenda kusema m kiti wa taa kaitwa mchungaji kasema mapepo nkaamua kusepa zangu imagine unashtushwa na speaker saa sita usku saut kubwa Sana mpaka asubuh dah ni kazi SanaYaani walikuwa wanaendeshaje endeshaje shughuli zao za ibada?
Kwamba wanaemuabudu alianza kupoteza uwezo wake wa kusikia au ilianzaje anzaje hii hali?
Na wale wa usiku wasaa 10 wanao ita amukaaa amukaaa swalaaa swalaaa kumekuchaaaa kumekuchaàaa,walikuwa nafanyaje kabla ya hivyo vipaza sauti!Yaani walikuwa wanaendeshaje endeshaje shughuli zao za ibada?
Kwamba wanaemuabudu alianza kupoteza uwezo wake wa kusikia au ilianzaje anzaje hii hali?
Na wale wa usiku wasaa 10 wanao ita amukaaa amukaaa swalaaa swalaaa kumekuchaaaa kumekuchaàaa,walikuwa nafanyaje kabla ya hivyo vipaza sauti!
Amuka...Na wale wa usiku wasaa 10 wanao ita amukaaa amukaaa swalaaa swalaaa kumekuchaaaa kumekuchaàaa,walikuwa nafanyaje kabla ya hivyo vipaza sauti!
Walitumia makoromelo yao ipasavyo! Tena walikuwa louder kuliko hayo maspika ya kisasa! Those guys are dedicated bana. More than al queda, talabans and jihadists put together…Yaani walikuwa wanaendeshaje endeshaje shughuli zao za ibada?
Kwamba wanaemuabudu alianza kupoteza uwezo wake wa kusikia au ilianzaje anzaje hii hali?
Uliona wapi waislamu wanafungulia kelele usiku kucha kuanzia saa 5 usiku?Na wale wa usiku wasaa 10 wanao ita amukaaa amukaaa swalaaa swalaaa kumekuchaaaa kumekuchaàaa,walikuwa nafanyaje kabla ya hivyo vipaza sauti!
Unakuta kanisani wapo watu watano, ila hizo kelele kama wapo 100 , daahHata mtu mmoja tu akiwepokanisani kumwomba Mungu wake lakini lazma ayawashe maspika yotena saa yoyote ile atakayokuwemo humo
Ukionesha kukataa zile kelele wanajua ni kazi ya shetani hiyo inataka kuwaharibia. Watakuweka kwenye maombiUnakuta kanisani wapo watu watano, ila hizo kelele kama wapo 100 , daah
Amosi 5:23Yaani walikuwa wanaendeshaje endeshaje shughuli zao za ibada?
Kwamba wanaemuabudu alianza kupoteza uwezo wake wa kusikia au ilianzaje anzaje hii hali?
Wanapaswa kujua kuwa kuimba sio ibada, labda km wameamua kujiburudisha tu.Yaani walikuwa wanaendeshaje endeshaje shughuli zao za ibada?
Kwamba wanaemuabudu alianza kupoteza uwezo wake wa kusikia au ilianzaje anzaje hii hali?
Walikuwa wanasimama sehemu iliyoinuka na kuanza kuamsha watu kwa sauti. Pia muda huo wanaoamsha watu ndio muda ambao mwanadamu mwenye akili timamu, anapaswa kuamka kama atazingatia ibada, afya njema na maendeleo binafsi.Na wale wa usiku wasaa 10 wanao ita amukaaa amukaaa swalaaa swalaaa kumekuchaaaa kumekuchaàaa,walikuwa nafanyaje kabla ya hivyo vipaza sauti!
Biashara matangazoKipindi flani niliishi singida, sasa kuna hilo kanisa wakawa wanafungulia recordings za mchana ikifika saa 8 usiku. Watu tukiwahi foleni za maji kipindi cha ukame alfajiri sana tunamkuta mchungaji yupo mwenyewe tuu na spika zake [emoji1][emoji1]