jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Wewe hutaki injili ihubiriwe kwa mataifa..uko tayari kuskiliza mziki wa baa..siku nzima ila ibada na mafundisho hutaki..itakua na pepo wewe sio bure.Tuongee kiukweli wa Mungu,sisi wakristo wa kizazi kipya (walokole) tuna hemka sana. Waislamu ni wastaarabu sana,nimepakana na mskiti sipati kero yoyote. Turudi kwetu sasa,kuna makanisa mawili umbali wa mita 600 njia ya Kibwegere,kanisa lingine mita 200 na lingine mita700 njia panda Kibamba,yote yamefunga maspika makubwa,wanashindana wao kwa wao kufungulia. Ni kero...
Tubadilike,maombi ni ya sirini...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ni vitaYaani walikuwa wanaendeshaje endeshaje shughuli zao za ibada?
Kwamba wanaemuabudu alianza kupoteza uwezo wake wa kusikia au ilianzaje anzaje hii hali?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unachokitafuta utakipata
Tena hawa huwa wana vitisho muda mwingine,unakuta wanaitana kwa kutishanaaaNa wale wa usiku wasaa 10 wanao ita amukaaa amukaaa swalaaa swalaaa kumekuchaaaa kumekuchaàaa,walikuwa nafanyaje kabla ya hivyo vipaza sauti!
Mataifa ni akina nani?Wewe hutaki injili ihubiriwe kwa mataifa..uko tayari kuskiliza mziki wa baa..siku nzima ila ibada na mafundisho hutaki..itakua na pepo wewe sio bure.
Tubu na uende ukaombewe
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikuulize swali dogo tuuMimi nadhani ifikie wakati nyumba zote za ibada ziache kutumia vipaza sauti vyao nyakati za usiku. Na badala yake ziendeshwe ibada zisizo tumia hivyo vipaza sauti ili watu waishio jirani na hizo nyumba za ibada kupata utuliu wa kutosha baada ya miahanhaiko ya kutwa nzima.
Yaani hapa namaanisha hayo makanisa ya kilokole, lakini pia zile nyumba za ibada za wale ndugu zetu wa upande wa pili. Tusisikie visingizio vya kufukuza mapepo usiku, au kuamshana sijui kuswal!
Maana sala/swala kwa upande mmoja, zinaweza kutafsiriwa kama kelele kwa upande mwingine!
Na kuhusu baa na kumbi za starehe, nazo zifunge vifaa maalum vya kuzuia sauti kutoka nje na kukera wasio husika.
Na kabla ya smart ulikua unaingiaje jfYaani walikuwa wanaendeshaje endeshaje shughuli zao za ibada?
Kwamba wanaemuabudu alianza kupoteza uwezo wake wa kusikia au ilianzaje anzaje hii hali?
Tuongee kiukweli wa Mungu,sisi wakristo wa kizazi kipya (walokole) tuna hemka sana. Waislamu ni wastaarabu sana,nimepakana na mskiti sipati kero yoyote. Turudi kwetu sasa,kuna makanisa mawili umbali wa mita 600 njia ya Kibwegere,kanisa lingine mita 200 na lingine mita700 njia panda Kibamba,yote yamefunga maspika makubwa,wanashindana wao kwa wao kufungulia. Ni kero...
Tubadilike,maombi ni ya sirini...
Hakuna sehemu nimeandika sisikii kitu...Acha uongo mkuu saa kumi na moja huwa husikii kitu?
Yaani walikuwa wanaendeshaje endeshaje shughuli zao za ibada?
Kwamba wanaemuabudu alianza kupoteza uwezo wake wa kusikia au ilianzaje anzaje hii hali?
Nilikuwa natumia laptop.Na kabla ya smart ulikua unaingiaje jf
Kabla ya hapo wanaemuabudu alikuwa wapi, likizo?walokole wamekuja juzi juzi miaka ya 90
Kabla ya hapo wanaemuabudu alikuwa wapi, likizo?