Hivi Kaini alimwoa nani na walikuwa wanne tu?

Hivi Kaini alimwoa nani na walikuwa wanne tu?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Huwa nawaza mpaka sasa hili jambo

Adam alikuwa na Eva wakatupa Kaini na Abeli

Sasa nawaza

Kaini alimwoa nani?
 
HUWA NAWAZA MPAKA SASA HILI JAMBO

ADAM ALIKUWA NA EVA WAKATUPA KAINI NA ABELI ....

SASA NAWAZA ....KAINI ALIMWOA NANI??
Zamani wanawake Au watoto wa kike walikua hawahesabiwi.Ukute Adam na Hawa walifyatua watoto wa kutosha.Ila ndugu walioana Wale .
 
Mkuu kula ugali lala ukijua babu yako alimuoa bibi yako inatosha na maisha yanaendelea vizuri tu.
 
Screenshot_20240703-234423.png



Source: Mwanzo 19:33-38 Usiku huo wakamlevya baba yao kwa divai, na yule binti wa kwanza akaenda akalala naye. Lakini baba yake hakujua wakati bintiye alipolala naye, wala alipoondoka. Kesho yake, yule binti wa kwanza akamwa | Biblia Habari Njema (BHN) | Download The Bible App Now
 
Huwa nawaza mpaka sasa hili jambo

Adam alikuwa na Eva wakatupa Kaini na Abeli

Sasa nawaza

Kaini alimwoa nani?
Adamu na Hawa hawakua binadamu pekee waliokuwepo kipindi hicho ila walikua binadamu wa kwanza katika mapokeo ya kiyahudi. Wayahudi hawakuwa wanawatambua watu wengine kama binadamu yaani wao ili utimie kuwa binadamu ni lazima uwe myahudi ndio maana katika hicho kitabu chao wanawatambua Adamu na Hawa kama binadamu wa kwanza lakini iyo cuople hawakuwa peke yao mbali na makazi yao kulikua na jamii zingine za watu ndipo Kaini akaenda kujipatia jiko uko.
 
Huwa nawaza mpaka sasa hili jambo

Adam alikuwa na Eva wakatupa Kaini na Abeli

Sasa nawaza

Kaini alimwoa nani?
Achana na hizo hekaya za vitabu vya dini, hivyo vitabu vinapaswa kusomwa na watoto wa primary, ni moja kati ya vitabu vizuri vya hadithi za kale zisizo na uhalisia hata kidogo.
 
Back
Top Bottom