Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,415
Ni siku nyengine tuseme asante Mungu kwa kutuamsha tena.
Naomba niende kwenye mada.
Leo alfajiri nimepigiwa simu na mshakaji wangu wa kipindi Fulani hivi tuliendana sanaa ila ndio harakati za maisha zilitutenga.
Yeye kwasasa ni muuza mayai na alisoma engineering. Jamaa anasema biashara inamuendea poa sanaa maana anauza mayai mpaka ofisi kubwaa posta (DSM).
Alivyokata simu nikabaki najiuliza "Kama ishu ni kuuza mayai, alienda kusoma Geology, kumeza ma physics na ma science ya nini?""
Muhasibu analima hoho...
IT kajiajiri kwenye batiki...
Bachelor ya Education ipo sokoni inauza machungwa..!!!
Hivi kweli HAYA NDIO MATUMIZI SAHIHI YA TAALUMA YETU?
Kuna mwanauchumi mmoja (jina nimelisahau) alishawahi sema "" There are two types of unemployment; 1. Doing nothing while you have power and skills. 2. Doing different thing from what you have learnt"
Kwa mwanauchumi Huyu alimaanisha...
Mwenye degree ya utumishi
1. Akikaa tu kijiweni hiyo ni unemployment.
2. Tukimkuta anafuga nguruwe nayo ni unemployment.
Were are the Human resource management skills in ufugaji wa nguruwe??
Sasa kama jamii na wale wenye ajira wanawaambia vijana "fanyeni kazi yoyote..!"" Kuna haja kweli ya kwenda chuo kuchukua skills halafu tuje mtaani kufanya kazi yoyote?
Nimesoma PCM naenda UD kuchukua Bachelor ya Engineering then naishia kulima bamia...
Hivi ile ada niliyolipa UD kama ningelimia bamia yoote nikiwa na PCM yangu si baada ya miaka 4 ambayo nimeipotezea UD si ningekua na export kabisa..!!!
Halafu cha ajabu asilimia kubwaa wanaowaambia vijana KAJIAJIRINI wao WAMEAJIRIWA na hawafikirii kabisa kuacha kazi.
Mwanasiasa anasisima jukwaani "Vijana jiajirini" kasahau akitoka pale analipwa kwa kodi za wananchi kwasababu ni kiongozi mwanasiasa wa nchi..!!!
Hivi jiulize wewe unaesoma hii post unasema kila siku "vijana jiajirini" bila hiyo kazi uliyo nayo sasa "UNGEWEZA KUJIAJIRI KWELI?"""
VIJANA JIAJIRINI KWENYE LOLOTE
KIJANA FANYA KAZI YOYOTE.
WHAT IS THIS?
Kwasababu sikuenda chuo kusoma chochote nilichagua cha kusoma ili kinitoe maishani ila nikirudi mtaani naambiwa Fanya LOLOTE.
Sasa kama maisha ni chochote basi vyuo vingekuwa vinatufundisha chochote.
Naomba niende kwenye mada.
Leo alfajiri nimepigiwa simu na mshakaji wangu wa kipindi Fulani hivi tuliendana sanaa ila ndio harakati za maisha zilitutenga.
Yeye kwasasa ni muuza mayai na alisoma engineering. Jamaa anasema biashara inamuendea poa sanaa maana anauza mayai mpaka ofisi kubwaa posta (DSM).
Alivyokata simu nikabaki najiuliza "Kama ishu ni kuuza mayai, alienda kusoma Geology, kumeza ma physics na ma science ya nini?""
Muhasibu analima hoho...
IT kajiajiri kwenye batiki...
Bachelor ya Education ipo sokoni inauza machungwa..!!!
Hivi kweli HAYA NDIO MATUMIZI SAHIHI YA TAALUMA YETU?
Kuna mwanauchumi mmoja (jina nimelisahau) alishawahi sema "" There are two types of unemployment; 1. Doing nothing while you have power and skills. 2. Doing different thing from what you have learnt"
Kwa mwanauchumi Huyu alimaanisha...
Mwenye degree ya utumishi
1. Akikaa tu kijiweni hiyo ni unemployment.
2. Tukimkuta anafuga nguruwe nayo ni unemployment.
Were are the Human resource management skills in ufugaji wa nguruwe??
Sasa kama jamii na wale wenye ajira wanawaambia vijana "fanyeni kazi yoyote..!"" Kuna haja kweli ya kwenda chuo kuchukua skills halafu tuje mtaani kufanya kazi yoyote?
Nimesoma PCM naenda UD kuchukua Bachelor ya Engineering then naishia kulima bamia...
Hivi ile ada niliyolipa UD kama ningelimia bamia yoote nikiwa na PCM yangu si baada ya miaka 4 ambayo nimeipotezea UD si ningekua na export kabisa..!!!
Halafu cha ajabu asilimia kubwaa wanaowaambia vijana KAJIAJIRINI wao WAMEAJIRIWA na hawafikirii kabisa kuacha kazi.
Mwanasiasa anasisima jukwaani "Vijana jiajirini" kasahau akitoka pale analipwa kwa kodi za wananchi kwasababu ni kiongozi mwanasiasa wa nchi..!!!
Hivi jiulize wewe unaesoma hii post unasema kila siku "vijana jiajirini" bila hiyo kazi uliyo nayo sasa "UNGEWEZA KUJIAJIRI KWELI?"""
VIJANA JIAJIRINI KWENYE LOLOTE
KIJANA FANYA KAZI YOYOTE.
WHAT IS THIS?
Kwasababu sikuenda chuo kusoma chochote nilichagua cha kusoma ili kinitoe maishani ila nikirudi mtaani naambiwa Fanya LOLOTE.
Sasa kama maisha ni chochote basi vyuo vingekuwa vinatufundisha chochote.