Hivi kama vijana wanaambiwa wafanye kazi yoyote kwanini wanaenda chuo?

"Sasa hivi ajira ya kuaminika ni kubeti tu, ukishazijua ligi kama 3 vizuri, ukiweka mkeka wako lazima utoboe, huko shule ni kupotezeana muda tu" alisikika kijana mmoja aliyehitimu chuo kikuu
 
Kama ulipata bahati ya kushauriwa na wazazi basi hongr lkn wengine wazazi wao hawajaenda shule ndo yeye ameanzisha kwenda shule.
Halafu asilimia kubwa kozi na combination watu wanachaguliwa mpaka kozi watu wanachaguliwa wasizo zichagua hujawahi ona hilo???
 
Hili ni LA lazima mkuu..!!

#YNWA
 
Doh!
 

Elimu haikupi pesa ila inakurahisishia kupata pesa na maisha mazuri na ndio maana watu wengi wa kipato cha kati ni wale wenye kada maalumu....

Nachokiona wengi wanawalaumu wasomi kwa sababu kuna mawazo mfu sana kuwa kila anaeingia chuoni bhasi automatically ni mjasiriamali. Huu ni uongo, chuoni kuna kada nyingi na zingine zinahitaji ofisi ONLY

Ajira si kitu kibaya na serikali haiwezi kuajiri watu wote much less kwa sasa ambapo ajira hazitolewi kwa wingi hivyo, Serikali ikiweka mazingira mazuri ya uwekezaji nadhani sekta binafsi inaweza kusaidia sana...

Narudia, huwezi kumlaumu mtu aliyesomea ualimu kutokua na maarifa sahihi ya kuendesha biashara..sio kada yake na hana tofauti na wewe ambaye hujasomea biashara
 
Habari za saizi
Samahani niko nje ya mada
Mimi ni msichana wa miaka 20 natafuta kazi mjini elimu yangu ni form six niliwahi kufanya kazi internate cafe
Naweza kutumia computer
Naweza kuongea kingereza
Naweza kuongea kiswahili
Pia nilisoma clinical officer mwaka 1 ila nikaacha sababu ya kifedha kwaiyo nina knowledge ya kupima vital signs na kuelimisha jamii kuhusu nutrition
Pia naamini kuna kazi za kueleweshana kikubwa uaminifu na kujituma katika kazi
Nawezo wa kufanya kazi mapokezi,kwenye internate cafe,na zingine nyingi

Nitafurahi sana nikisaidiwa
Nipo dar es salaam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…