Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hiyo 2% wanaokula baada ya miezi kadhaa wanakuwa washarudishia pesa Yao kwa kubeti tenaSasa watafirisikaje wakati asilimia 98 ya wanao bet wanaliwa?
Hamli, ni nyie ndio mnaoliwa.Hawa jamaa Kuna uchawi wanatumia au namna yoyote ya ndumba ?mbona hawafilisiki jamani?
Hizo token anazokupa sio hela kumbe?Kiufupi tuu jamaa mtaji wao ni mfumo basi , pesa mnakuwa mnachangiana nyie wenyewe mnaobet , wao wanatoka na chao kiulaini , ni kama mabonanza ya mchina , Yani mchina dukani anakupa bonanza machine na token tuuu, hakupi hata Mia ya kuanzia ... Ila kila sku jioni anapita na Kruger yake kukusanya hela,😁
SawasawaHamli, ni nyie ndio mnaoliwa.
Hukusoma hesabu za probability sekondari? Unataka kujua nini kingine?
Hzo si ni kama Kete mzeeHizo token anazokupa sio hela kumbe?
Ibilisi ana hisa asilimia 100 kwenye kamariHawa jamaa Kuna uchawi wanatumia au namna yoyote ya ndumba ?mbona hawafilisiki jamani?
Token anakupa Ni Ela yako mwenyewe ,yani elfu 60 anakubadilishia inakua Mia mbili mbiliHizo token anazokupa sio hela kumbe?
Ni kwelHuu mchezo una ushetani ndani yake
Kwani mnaoshinda ni wangapi? Mnabeti milioni wanashinda 10.Hawa jamaa Kuna uchawi wanatumia au namna yoyote ya ndumba ?mbona hawafilisiki jamani?
🤣🤣🤣Sasa watafirisikaje wakati asilimia 98 ya wanao bet wanaliwa?