sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Mpaka sasa machine ya kupima kichaa cha mtu haijagundulika ila ukienda hospital itajulikana tuu.thibitisha uchizi wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka sasa machine ya kupima kichaa cha mtu haijagundulika ila ukienda hospital itajulikana tuu.thibitisha uchizi wangu
Mpaka sasa machine ya kupima kichaa cha mtu haijagundulika ila ukienda hospital itajulikana tuu.
Mwenye kutoa tuhuma ndiye mwenye wajibu wa kuprove tuhuma zake hivyo gwajima ni wajibu wake kuprove, kwanza kwa mini iwe baada ya miaka mitano?
Gwajima ana saccos ya uongo!Kanisa la kweli ni lipi
Mada za namna hii tutazisoma sana na nyingine nyingi zitakuja, zote hizi ni ile "kujipiga kidole cha matakho kisha una lamba".Unajitekenya mwenyewe unacheka mwenyewe.Kanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.
Ni mahali pa kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka.
Sasa hili kanisa la mipasho la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa Kanisa?
Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano, ushirikina(kufufua wafu ati) na mengine mengi kumpinga Kristo.
Sasa hivi huyu "Askofu" mwenyewe amekuwa mtambo wa uchochezi hadi kuitwa Bunge kujieleza, na bado waumini wake hawasituki.
Watanzania na serikali kwa nini hatulioni hili tatizo?
Kwahiyo gwajima nabii mtume au mwana wa Mungu (Yesu)? Maana kwenye Bible hakuna sehemu imeandikwa maaskofu, wachungaji walifufua wafu.Kwa hili umepotoka.
Nabii Eliya alifufua, Elisha alifufua, Yesu alifufua, mtume Paulo alifufua, nk..
Wewe lete hiyo research inayoonesha kuwa watapata matatizo ndo uulize research ya kwamba watapata Matatizo.nanyie onesheni research inayoonesha after 5 years waliochanja hawatapata matatizo ni vema tujibu hoja kwa hoja
Wewe lete hiyo research inayoonesha kuwa watapata matatizo ndo uulize research ya kwamba watapata Matatizo.
Vinginevyo wewe na hao wote Ni wapiga ramli chonganishi.
Ha ha ha sasa yeye amemfufua Mani aisee?...ingekuwa kweli so angemfufua rafiki yake aliyekuwa akisema wakati ule nileteeni G...Mmm tusidanganyane kwa hili!!! Maandiko yanasema Yesu anafufua....Gwaji boy anafufua kwa mashart gani hembu naomba jamaa unitoe ushamba yawezekana Mimi ndo sielewi hembu fafanua kdg...Kwa hili umepotoka.
Nabii Eliya alifufua, Elisha alifufua, Yesu alifufua, mtume Paulo alifufua, nk..
Chanjo ni bidhaa inayotokana na Sayansi......chanjo na siasa/dini wapi na wapi...mmmm!nanyie onesheni research inayoonesha after 5 years waliochanja hawatapata matatizo ni vema tujibu hoja kwa hoja
Chanjo ni bidhaa inayotokana na Sayansi......chanjo na siasa/dini wapi na wapi...mmmm!
Badala ya kudadavua liturgia ya Neno Takatifu kama linavyoenezwa kimakosa na Gwajima , wewe una liturgia ya kujitia kidole matakoni.Mada za namna hii tutazisoma sana na nyingine nyingi zitakuja, zote hizi ni ile "kujipiga kidole cha matakho kisha una lamba".Unajitekenya mwenyewe unacheka mwenyewe.
Kanisa la Gwajima lipo miaka nenda miaka rudi, hii ya kuhoji uhalali wake leo hii unatokea wapi? Je ni tangu asimame kinyume na chanjo?
Kama mapungufu ya kanisa, mbona kuna makanisa mengine mengi yanapangufu ? Vip kuhusu lile la kuuza upako? mpaka watu wakafa kule moshi kilimanjaro! Ni kanisa gani unalo ona ni sahihi kwako? la nabii tito? Au yule mwenye kugawa pesa kanisani?
Kwani kujieleza bungeni ndio nini? hivi unajua wakati wa vikao vya bunge makahaba wanaweka kambi kule kufanya vikao vya siri wakati wa usiku na wadau wao?.Kuna utakatifu hapo?
Polepole anauliza hivi"hii chanjo ukichanjwa itakulinda kwa muda gani? polio, ndui, pepopunda, manjano, homa ya ini ulikuwa ukichanjwa inadumu mwilini mwako maisha yako yote. Yeye hana kanisa hana sehemu ya kutolea mipasho. JIBUNI HOJA KWA HOJA
sasa endeleeni kujipiga vidole, mkishindwa sisi tupo.
Umechanganyikiwa wewe Mzee wa UyoleGwajima ana saccos ya uongo!
Aliyechanganyikiwa ni Gwajima.Umechanganyikiwa wewe Mzee wa Uyole
Aliyechanganyikiwa ni Gwajima.
Ona sasa kwa UONGO anaadhibiwa na Bunge.
Uongo ni sifa ya Ibilisi.