Ngoheranga
Member
- Oct 13, 2012
- 29
- 35
🤣🤣🤣 , ndio uzuri wa JF UNAEZA BISHANA NA BABAKO WA KUFIKIA BILA WEWE KUJUABadala ya kudadavua liturgia ya Neno Takatifu kama linavyoenezwa kimakosa na Gwajima , wewe una liturgia ya kujitia kidole matakoni.
Sishangai nawe ni wa hovyo zaidi kuliko Gwajima.
Serikali haina dini, wafuasi wake wajitambue wenyewe.Kanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.
Ni mahali pa kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka.
Sasa hili kanisa la mipasho la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa Kanisa?
Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano, ushirikina(kufufua wafu ati) na mengine mengi kumpinga Kristo.
Sasa hivi huyu "Askofu" mwenyewe amekuwa mtambo wa uchochezi hadi kuitwa Bunge kujieleza, na bado waumini wake hawasituki.
Watanzania na serikali kwa nini hatulioni hili tatizo?
ww ndo mwenye tatizo nenda kahabudu unako habudu achana na askofu wetuKanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.
Ni mahali pa kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka.
Sasa hili kanisa la mipasho la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa Kanisa?
Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano, ushirikina(kufufua wafu ati) na mengine mengi kumpinga Kristo.
Sasa hivi huyu "Askofu" mwenyewe amekuwa mtambo wa uchochezi hadi kuitwa Bunge kujieleza, na bado waumini wake hawasituki.
Watanzania na serikali kwa nini hatulioni hili tatizo?
Umefufuliwa msukule wako na Gwajima?ww ndo mwenye tatizo nenda kahabudu unako habudu achana na askofu wetu
Lile si kanisa bali dangulo na kitega uchumi cha kumuingizia fedha na kutafutia ujiko kisiasa. Gwajiboy ni tapeli kama matapeli wengine hasa wanaotumia neno la mungu.Kanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.
Ni mahali pa kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka.
Sasa hili kanisa la mipasho la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa Kanisa?
Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano, ushirikina(kufufua wafu ati) na mengine mengi kumpinga Kristo.
Sasa hivi huyu "Askofu" mwenyewe amekuwa mtambo wa uchochezi hadi kuitwa Bunge kujieleza, na bado waumini wake hawasituki.
Watanzania na serikali kwa nini hatulioni hili tatizo?
Ni kweli kabisaLile si kanisa bali dangulo na kitega uchumi cha kumuingizia fedha na kutafutia ujiko kisiasa. Gwajiboy ni tapeli kama matapeli wengine hasa wanaotumia neno la mungu.
Kichwa Cha habari umeuliza swali.badala usubiri majibu ukaanza kutoa shutuma tukuelewaje sasa?Kanisani kama sisi wakristo tulivyolelewa ni mahali pa kumhubiri Kristo na Mungu.
Ni mahali pa kueneza upendo, amani, unyenyekevu, imani na kuokoka.
Sasa hili kanisa la mipasho la Ask Gwajima lina sifa ya kuitwa Kanisa?
Hapo ni uongo, mipasho, ushuhuda wa uongo, ligi za mabishano, ushirikina(kufufua wafu ati) na mengine mengi kumpinga Kristo.
Sasa hivi huyu "Askofu" mwenyewe amekuwa mtambo wa uchochezi hadi kuitwa Bunge kujieleza, na bado waumini wake hawasituki.
Watanzania na serikali kwa nini hatulioni hili tatizo?
Misukule mliofufuliwa na Gwajiboy mko wengi.Kichwa Cha habari umeuliza swali.badala usubiri majibu ukaanza kutoa shutuma tukuelewaje sasa?
Ndan ya Mwendelezo wa nk....Kwa hili umepotoka.
Nabii Eliya alifufua, Elisha alifufua, Yesu alifufua, mtume Paulo alifufua, nk..
Kanisa lenye sifa ya kuitwa kanisa ni Kanisa Katoliki pekee! Kanisa la kweli lina alama 4
1) Moja
2) Takatifu
3) La kiulimwengu ( Katoliki)
4) La Mitume
Wengine ni Wakristo wenzetu kiimani sababu ya imani kwa Kristo na ukweli mwingine (some truth) lakini ukweli mwingi utaupata Kanisa Katoliki. Huu ndio ukweli ambao ni mchungu mno kwa wasioupenda.
Yohana 14:12Ndan ya Mwendelezo wa nk....
Gwajboy anafufua watu
Gwaj yupo ktk chain ya wafufuaji hahaha.watanzania levo yetu ya ujinga n kubwa sana aisee
Yan tunapelekwa pelekwa tu hata hatustuki
Bible inasema unabii ulkoma kpind cha yetu uko
Kuna hawa wengine wakanyaga wese utawaonea ad huruma hawastukii wala hawaoni mchezo wa kisaikolojia unavyofanya kaz yake...
Acha magugu na ngano vkuwe pamoja ipo siku vtajtenga.. that's bible
Yohana 14:12
Amin, amin, nawaambieni, Yeye aniaminiye mimi, kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya; naam, na kubwa kuliko hizo atafanya, kwa kuwa mimi naen