Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Kama kwenye Uongozi wake tutaendelea kufuzu kwa msaada wa fulani then ni poa sana tuendelee kuwa naye kwani tutaendelea kupata hiyoHiyo kufuzu ni mara moja tu tena tumefuzu kwa msaada wa algeria, pia ile ya nyuma tulifuzu kwa msaada wa ug
Lini hiyo? 1987 au kuna Lingine?Kwa taarifa yako hao wakenya hadi wameshakuwa mabingwa kabisa kwenye kombe la vilabu barani afrika
Kama kwenye Uongozi wake tutaendelea kufuzu kwa msaada wa fulani then ni poa sana tuendelee kuwa naye kwani tutaendelea kupata hiyo
"Kwa msaada wa"
Wewe ulishawahi hata mwaka 1970?Lini hiyo? 1987 au kuna Lingine?
Kaangalie UG ipo nafasi ya ngapi kwenye rank za fifa na cafKama kwenye Uongozi wake tutaendelea kufuzu kwa msaada wa fulani then ni poa sana tuendelee kuwa naye kwani tutaendelea kupata hiyo
"Kwa msaada wa"
Litaendela kuumia😁Aliyemuweka akitoka Karia naye atatoka, ila Yanga itaendelea kupaa atake asitake, ajiuzulu asijiuzulu.
Hii itaendelea kumuumiza.
Haibadilishi kitu kuwa tulikuwa group moja na hawakuqualify......Kaangalie UG ipo nafasi ya ngapi kwenye rank za fifa na caf
Hii nayo ni sababu ya kuonywesha karia hajafanya kitu?Kwa taarifa yako hao wakenya hadi wameshakuwa mabingwa kabisa kwenye kombe la vilabu barani afrika