faru john junior
JF-Expert Member
- Dec 26, 2016
- 1,596
- 1,719
Kama kale ka chumba anakuachia kwa 35m. Sasa 3m-5m za frem ndo zipi tena? Bado sijamwelewa huyu jamaaKhaaaaaa.
Kuniachia kale kachumba nikupe 35M?
Halafu nianze tena kodi? Mimi kama nimekufuata ukanitajia hivyo naweza nianguke kwa mshtuko.
Au nikucheke mpk nianguke.
Kiongozi wala sio chai, juzi tu mama yangu mkubwa kamwachia mtu frem kariakoo kwa milion 18.2 na kodi ya frem imebaki kama miezi mili tu.Mkuu mbona kama hii ni chai, una ushahidi wa mtu aliyelipa 35m Kumtoa mtu kwenye frem akalipa bei ya pango tena??
Labda inategemea na ukubwaKama stand mpya Mbezi kuna frame za 1m Kkoo unakosaje frame ya 3m?
Sababu kule K'koo unalipia na vyakula vya mandondocha ya wenye hizo fremu, ndiyo maana bei inakuwa kubwa hivyo.Mtaani tumezoea kodi ya fremu kuanzia 50k-200k, kutokana na eneo.
Kwa taarifa ninazopata ni kuwa fremu K.koo si chini ya 1M, oky hio sikatai kutokana na eneo lenyewe. Vipi hawa wanaosema ni 3M-5Millions.
Je, hii ni kweli? Mtu huyu ana mauzo ya namna gani?
Ikumbukwe hapa nazungumzia fremu za bidhaa ndogo ndogo kama simu, nguo n.k ambapo unakuta ukubwa wa chumba ni almost 8×10ft.
[emoji23][emoji23][emoji23]kuna mtu alisemaga humu eti k.kooSababu kule K'koo unalipia na vyakula vya mandondocha ya wenye hizo fremu, ndiyo maana bei inakuwa kubwa hivyo.
Yaani pale kuna maajab kishenzi na ndiyo maana Waha na Wapemba (washirikina wote hawa) wanapenda sana kuishi kule hata kama kazi ya ulinzi wao wako tayari kufanya ili tu wapate fursa ya kushinda Kariakoo usiku.[emoji23][emoji23][emoji23]kuna mtu alisemaga humu eti k.koo
Ukienda usiku halafu ukawa na jicho la pili, Utaona mandondocha wamevaa sare kama wanafunzi
Kariakoo ndiyo kulivo kilemba tu kama huna 30 humtoi mtu tena unakuta anakuachi fremu tupu, daah wakinga nilikuwa nawaona hawa ndio wazee wa kuwavua watu, kuna watu wanavuliwa kwa dau zuri wote kama walivo mzee. Mkinga mmoja huyo alitaka fremu tano akamwaga pesa kama yote yaani zote ziwe zake 😅Mkuu we Acha Tu kariakoo kuna vituko 🤣 na still watu wanalipa , watu wana pesa aisee hata hvyo kuna watu wanapiga net profit ya mil 500 Safi kabisa, ngoja sie wenye mitaji ya laki moja mpaka laki Tisa huku tunaulizana nifanye biashara gani😋
Ulijuaje boss kanunua vanguard mpya kupitia iyo biashara.Inategemea na biashara gn huko Dodoma, ila mimi nina boss wangu anauza taa za urembo juzi kanunua vanguard mpya kabisa
Ulijuaje boss kanunua vanguard mpya kupitia iyo biashara.Inategemea na biashara gn huko Dodoma, ila mimi nina boss wangu anauza taa za urembo juzi kanunua vanguard mpya kabisa
Duh! Sasa angejuaje kama hiyo 5 ni laki?We ndo hujaelewa, yaani 5-1.5m laki 5 mpaka 1.5 m
Kuna jamaa yangu yupo Jangwani na karikoo analipa 250k
Mkuu mbona we ndogo minimeambiwa 1.5m kilemba 20mNilijilundika Mwaka mzima nifanye business flan, juzi nafika kwenye fremu niliyokua nai target nauliza Kodi naambiwa 1M, na nalipia si chini ya miezi 6..
Nilinyong'onyea sana maana hapo pesa ya kodi itakua kubwa zaidi ya Mtaji nitakaoingiza..
Hapo ukibugi tuu imekula kwakoo, Nimewaza hapa either nipateme au kuna mshkaji tu share, Yeye business yake na mimi yangu,
NOTE : ni biashara zinazoendana ila hazifanani.
1.5M na kilemba Hio labda kama wewe una uzoefu na hio biashara na eneo husika kinyume na hapo Hio ni SuperbetMkuu mbona we ndogo minimeambiwa 1.5m kilemba 20m
Sina uzoefu nabiashara yoyote ndani yakariakoo...ndo nataka kuingia ktk business kariakoo1.5M na kilemba Hio labda kama wewe una uzoefu na hio biashara na eneo husika kinyume na hapo Hio ni Superbet
Iyo1.5m nifrem ya pembeni ya jengo ya mbele ni 2m nimeambiwa1.5M na kilemba Hio labda kama wewe una uzoefu na hio biashara na eneo husika kinyume na hapo Hio ni Superbet
Ujue Kariakoo wengi pale wanahamia tuu ila sio kuanza, ameshafanya biashara husika kwa mda mrefu, ana backup plan, ana mtaji mzito, inahitaji utulivu sana, binafsi kwa k.koo nimestep down kdg, japo nina wateja tayari ila ngoja nianzie pembeni kdgSina uzoefu nabiashara yoyote ndani yakariakoo...ndo nataka kuingia ktk business kariakoo
Mim sijafanya biashara husika nayotaka kuifanya kariakoo ila nshafanya biashara nyinge kabisa mkoani ya vyakula na vinywajiUjue Kariakoo wengi pale wanahamia tuu ila sio kuanza, ameshafanya biashara husika kwa mda mrefu, ana backup plan, ana mtaji mzito, inahitaji utulivu sana, binafsi kwa k.koo nimestep down kdg, japo nina wateja tayari ila ngoja nianzie pembeni kdg