Hivi Kariakoo ni kweli kuna Fremu za 3M-5M au ni kutishana tu?

Hivi Kariakoo ni kweli kuna Fremu za 3M-5M au ni kutishana tu?

Yaani unalipa hiyo pesa mtu akupishe then ww unaendelea na mkataba wa pango kwa jina lako.
Kifupi unanunua mkataba then unapelekwa kwa mwenye jengo kubadili jina na uhalali wa kulipa pango unakuwa wako.
Qudadeki..🙄

Ahsante kwa ufafanuzi.
 
Watu wanahisi tupo zama za kina Riziwani na baba yake pamoja na wale wahindi wa GSM kabla hawajabadili jina.
Kunenge mwenye access ya takwimu ya mauzo Na kodi kakiri kuwa Luna mdororo Kkoo ,wao wanakaza
 
Dodoma m

mbona haieleweki, wengine wanasema pabaya wengine wanapiga hela mbona mixed signals ni nyingi?
Nilichogundua baada ya watu kuhamishiwa Dodoma wanatafuta kampani kilazima kwa kui overrate hiyo Dom.

Biashara ni watu, huwezi fananisha Dar na jiji la kupewa ambalo hakuna hata nyuzi humu za kulalamikia foleni za magari.
 
Hii kitu nmeiona sana hasa agrey kwenye maduka ya simu wasukuma wengi sana...naona madini yanatema huko geita,shinyanga na kahama.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Aisee wapo wengi, kuna jamaa.mmoja namfahamu alikua Polisi huko Shytown sijui kapiga diligani.

Kaacha upolisi, sasa hivi anaduka k/koo
 
Nilichogundua baada ya watu kuhamishiwa Dodoma wanatafuta kampani kilazima kwa kui overrate hiyo Dom.

Biashara ni watu, huwezi fananisha Dar na jiji la kupewa ambalo hakuna hata nyuzi humu za kulalamikia foleni za magari.
Dodoma inazidiwa na mbezi Louis Tu pale
 
Dodoma inazidiwa na mbezi Louis Tu pale
Huwa nacheka sana mtu anapojaribu kufananisha mji uliojijenga kibiashara na kila kitu tangu na kabla ya uhuru na jiji la juzi tu hapa,kwanza kuna watu wangapi hapo Dom?
 
Ukitaka kuamini anza na frem za serikali pale stand Mpya unaweza ukawaza hawa wanamkomoa nani? Mkurugenzi wa jiji alikaa na madiwani wapi kuunda utopoto huu
Waangalie isijewakuta ya soko jipya la Morogoro, maana watu wamelisusa na limedoda...
 
Dodoma ipi unayozungumzia, kuna watu wapo Dodoma wananiambia niwatafutie frem DSM right now, biashara ni za msimu kule zinategemea vyuo, vikao vya Bunge na jiwe arande rande huko
Nimecheka mpaka Njaa aseee...... Eti JIWE
 
Samahani bwana Dagger ...hizo 30m fremu inakuwa yako moja kwa moja au Kodi ya muda mfupi?
Haiwi yako bali ..ni kuwa na ww siku ukitaka kuachia frame huyo anayepokea naye atakulipa kulingana na mzunguko wa biashara ... So inaweza ongezeka hiyo 30m au ikapungua kutokana na biashara but mara nyingi thamani inaongezeka
 
Mkuu Acha Tu Mimi nimejionea Kwa macho yangu hv , kinyerezi Tu kupata frem pale mwisho ni Laki tatu na jamaa anataka Kodi mwaka mzima na hapepesi macho na frem zpo aside kidog , goba Tu pale center ni 400k na hupati labda mtu umvue , frem zilizo waz ni za pembeni huko .... Sembuse kariakoo sehemu inyohudumia nchi nzima na baadhi ya nchi jirani .... Sometyme tunajifariji tuu Ila ukitaka ujue ingia mwenyewe .... Pale mbezi mwisho stendi kuna jamaa kaweka Banda ndani ndani anakodisha 250k na hapepesi macho , kupata Tu space mpak madalali wanasema zimeisha , mpak utumie nguvu kweli hata Kwa mtendaji ......

Mtu anasema et kariakoo unapata frem chap [emoji39][emoji39][emoji3][emoji3]
Ndo hvyo boss wangu Yan k.koo ni kitovu cha Biashara kwa Tanzania na Nchi jirani ...Watu wanapiga pesa mnoo ..watu wanatakiwa waelewe kuwa mbali na kwamba sahv hali ngumu Ila bado mahitaji muhimu yanahitajika kila siku ...so Circulation ya money k.koo haijapungua ...kwa mfano HV vimeza vya wamachinga vingi kodi yake n 100-150k ukitaka kumiliki meza sio chini ya 3m ...
 
Ila pia k.koo hiyo hiyo kuna baadhi ya frame unaweza pata bila kilemba Ila n baadhi ya HV vigoli tena viko ndani ndani ambako watu hawapiti kiivyo na hzo zinachezea 200k-300k
 
Kama unataka fremu Kariakoo niambie, tukutane asubuhi nikupeleke kwa jamaa pasipo hata dalali wala kutoa hata mia ndugu. Mkuu usifanye utani na hali ya sasa ndugu ukafananisha na enzi za JAKAYA maana naona wengi mmekariri.
Utampa frem za ndani kwenye corridor,lakini frem za njiani hapati
 
Nina classmate wangu ambaye ni marafiki sanaa,

Baba yao alijenga mjengo wa kupangisha biashara k.koo,
Alishafariki, yule jamaa ile chain nzima ya ka family kao, kila katikati ya mwezi ana uhakika wa 5M..

No wonder aliacha shule, watu wakasema sana ikiwemo walimu anachezea maisha, ila njemba mpaka leo ni bata tuu na hakuna mazingira ya hizo laana kumpata.

Kuna wazee waliwekeza banaaa,
Wengine bahati mbaya walipambana ila mambo tuu hayakua upande wao BIG up kwao pia.

Achana na hawa waliokua wamelala asaivi wanaong'ang'ania ukali kumbe stress za njaa na madeni, kwa kupenda kufoka mpaka koo limekauka, muda wote anaongea kama kapaliwa na ukoko,
Kidogo tuu anakutishia laana, Bahati nzuri hazishiki, wangetumaliza hawa wazee bila sababu, Anaweza aage anaenda kutafuta kumbe anawaachia msala wa madeni,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom