Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Ina
Inawezekana mkuu make mambo yanabadirika Ila sifa za namna hiyo kariakoo ishawah pitia ...kitu kingine ukiachilia mbal mdororo wa uchumi sa hv office za kisasa zipo karbia kila sehemu , Kias kwamba mtu sio lazima awe na office kariakoo , anaweza panga , mbezi beach , Moroco , upanga, mwenge , kijitonyama n.k office za kisasa na wateja wake akawapata mtandaoni na akawaelekeza alipo ....hii pia imepunguza popularity ya kariakoo Kwa Kias fulanSiyo kariakoo ya 2021