Hivi Kariakoo ni kweli kuna Fremu za 3M-5M au ni kutishana tu?

Hivi Kariakoo ni kweli kuna Fremu za 3M-5M au ni kutishana tu?

Khaaaaaa......
Kuniachia kale kachumba nikupe 35M????
Halafu nianze tena kodi??? Mimi kama nimekufuata ukanitajia hivyo naweza nianguke kwa mshtuko.
Mkuu we Acha Tu kariakoo kuna vituko 🤣 na still watu wanalipa , watu wana pesa aisee hata hvyo kuna watu wanapiga net profit ya mil 500 Safi kabisa, ngoja sie wenye mitaji ya laki moja mpaka laki Tisa huku tunaulizana nifanye biashara gani😋
 
Kuinunua tena 😀 jamaa anakuachia anaondoka na vitu vyake unabaki na frem tupu ndo hyo unampa mil 35 tena na Zaid kulingana na location .... Hapo unaanza kuelewana na mwenye frem sasa kuhusu Kodi na dalali hapo anahitaji chake , TRA nao ndani bila kusahau halmashauri , mlinzi n.k 🤪🤪🤣🤣
Kwa biashara ipi!!??
Zama hizi
 
Kuinunua tena [emoji3] jamaa anakuachia anaondoka na vitu vyake unabaki na frem tupu ndo hyo unampa mil 35 tena na Zaid kulingana na location .... Hapo unaanza kuelewana na mwenye frem sasa kuhusu Kodi na dalali hapo anahitaji chake , TRA nao ndani bila kusahau halmashauri , mlinzi n.k [emoji2957][emoji2957][emoji1787][emoji1787]
Mkuu mbona kama hii ni chai, una ushahidi wa mtu aliyelipa 35m Kumtoa mtu kwenye frem akalipa bei ya pango tena??
 
Mkuu we Acha Tu kariakoo kuna vituko [emoji1787] na still watu wanalipa , watu wana pesa aisee hata hvyo kuna watu wanapiga net profit ya mil 500 Safi kabisa , ngoja sie wenye mitaji ya laki moja mpak laki Tisa huku tunaulizana nifanye biashara gani[emoji39]
Nakuunga mkono kuna jamaa mmoja pale Kariakoo yeye anafrem pia ana store, aisee kwanza jamaa kwenye frem yake kawaweka vijana wawili hao vijana wanasample kadhaa hapo dukani ukitakaa sample moja ya mzigo mkubwa wana viredio call basi wanampigia boss wao kwa kutumia redio call huko store wanamuuliza aina hii ipo basi basi boss akijibu ipo dakika chache unaletewa mzigo.

Jamaa wanapiga kazi kwelikweli na hii hali.
 
Ukitaka kuamini anza na frem za serikali pale stand Mpya unaweza ukawaza hawa wanamkomoa nani? Mkurugenzi wa jiji alikaa na madiwani wapi kuunda utopoto huu
Hata mimi nimeshangaa naishi Mbezi mwisho, hii serikali hii ni tabu tupu
 
Nina classmate wangu ambaye ni marafiki sanaa,

Baba yao alijenga mjengo wa kupangisha biashara k.koo,
Alishafariki, yule jamaa ile chain nzima ya ka family kao, kila katikati ya mwezi ana uhakika wa 5M..


No wonder aliacha shule, watu wakasema sana ikiwemo walimu anachezea maisha, ila njemba mpaka leo ni bata tuu, na hakuna mazingira ya hizo laana kumpata.

Kuna wazee waliwekeza banaaa, achana na hawa wetu wanaong'ang'ania ukali kumbe stress za njaa na madeni mda wote anaongea kama kapaliwa na ukoko.
Hahahaha kwa sauti yaani
 
Nina classmate wangu ambaye ni marafiki sanaa,

Baba yao alijenga mjengo wa kupangisha biashara k.koo,
Alishafariki, yule jamaa ile chain nzima ya ka family kao, kila katikati ya mwezi ana uhakika wa 5M..


No wonder aliacha shule, watu wakasema sana ikiwemo walimu anachezea maisha, ila njemba mpaka leo ni bata tuu, na hakuna mazingira ya hizo laana kumpata.

Kuna wazee waliwekeza banaaa, achana na hawa wetu wanaong'ang'ania ukali kumbe stress za njaa na madeni mda wote anaongea kama kapaliwa na ukoko.
Na wewe wekeza watoto wako wasije kulaumu kama unavyomlaumu babu yao!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nina classmate wangu ambaye ni marafiki sanaa,

Baba yao alijenga mjengo wa kupangisha biashara k.koo,
Alishafariki, yule jamaa ile chain nzima ya ka family kao, kila katikati ya mwezi ana uhakika wa 5M..


No wonder aliacha shule, watu wakasema sana ikiwemo walimu anachezea maisha, ila njemba mpaka leo ni bata tuu, na hakuna mazingira ya hizo laana kumpata.

Kuna wazee waliwekeza banaaa, achana na hawa wetu wanaong'ang'ania ukali kumbe stress za njaa na madeni mda wote anaongea kama kapaliwa na ukoko.
 
Nina classmate wangu ambaye ni marafiki sanaa,

Baba yao alijenga mjengo wa kupangisha biashara k.koo,
Alishafariki, yule jamaa ile chain nzima ya ka family kao, kila katikati ya mwezi ana uhakika wa 5M..


No wonder aliacha shule, watu wakasema sana ikiwemo walimu anachezea maisha, ila njemba mpaka leo ni bata tuu, na hakuna mazingira ya hizo laana kumpata.

Kuna wazee waliwekeza banaaa, achana na hawa wetu wanaong'ang'ania ukali kumbe stress za njaa na madeni mda wote anaongea kama kapaliwa na ukoko.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Eti kapaliwa na ukoko.
 
Back
Top Bottom