Tony-stark
JF-Expert Member
- Jul 20, 2019
- 1,020
- 1,334
1*EMINEM
2*Marshall Bruce Mathers III
3*Slim shady
4*Double M
5*M&M
6*Jay Z
2*Marshall Bruce Mathers III
3*Slim shady
4*Double M
5*M&M
6*Jay Z
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eminem is the best Rapper, Jay Z amefanikiwa kutengeneza hela ndefu wala si best rapper, not even close to it.Guys mambo vipi.
Poleni na majukumu ya hapa na pale. Nina swali dogo tu.
Hivi kati ya Jay Z na Eminem nani zaidi kwenye Rap (HipHop kwa ujumla)?
Tunaomba mleta maada amtake radhi Eminem please[emoji3]Eminem is the best Rapper, Jay Z amefanikiwa kutengeneza hela ndefu wala si best rapper, not even close to it.
Kwakweli kiungwana kabisa inabidi afanye hivyo....Tunaomba mleta maada amtake radhi Eminem please[emoji3]
Wewe itakuwa kizungu chako sawa na mecoUkitaka kelele ni Eminem
Ukitaka ladha ya hip hop jay z
Slim shady hata usipokuwa makini anakukonga mzee, yaani angekuwa black mngemzungumza zaidi ya hiviKiuandishi Jay Z is the tafuteni na msikilize nyimbo za Jay Z kwa makini, mstari kwa mstari yule jamaa anajua kuiandika fasihi. Fatilieni wimbo unaitwa HISTORY n.k.
Umetisha Sanaa1*EMINEM
2*Marshall Bruce Mathers III
3*Slim shady
4*Double M
5*M&M
6*Jay Z
Em anatumia nguvu sana Jay anasukuma mlevi ... jay ameperfect rap skill yake haitaji kutumia nguvu tena.
Kamskilize jay kwenye renegade utajua na maanisha nini