magangawamaganga
Member
- Oct 13, 2016
- 79
- 32
Mfano mzuri ni huyohuyo mond na kibakuli kibakuliwa siku nyingi alafu mond kampita kimkwanjaKuanza kumsikia mtu zamani si kigezo cha kumfanya awe na pesa ndefu.
Kuna watu wameanza game kitambo lakini wanapitwa mpunga na walioanza game miaka minne iliyopita.
Kizuri zaidi milardAyo leo kaonyesha listi ya wanamuzi 5 bora wenye mpunga mrefu Africa. 1 P score 2 demu fulan wa kenya 3 Davdo 4 Wizkid 5 mondKuanza kumsikia mtu zamani si kigezo cha kumfanya awe na pesa ndefu.
Kuna watu wameanza game kitambo lakini wanapitwa mpunga na walioanza game miaka minne iliyopita.
1/4Diamond ana watoto watano chamelleon anao watatu... So kwa utajiri wa dunia na akhera diamond zaidi...
sio kazi yakoNaona umetumia avatar ya bradha Nyani Ngabu una ithibati yoyote kutoka kwake
Psquare ila hv unaweza fananisha davido au wizikid na dbanj au tuface... Sijui lakiniKizuri zaidi milardAyo leo kaonyesha listi ya wanamuzi 5 bora wenye mpunga mrefu Africa. 1 P score 2 demu fulan wa kenya 3 Davdo 4 Wizkid 5 mond
Nafikiri jibu umelipata hivi majuzi imetolewa rippoti kuwa Diamond yuko top five ya wasanii wa Afrika wenye mshikoNimeanza kumsikia Jose Chameleone akiwa tayari katika ' game ' huko huko Kwao Uganda miaka ya mwanzoni kabisa ya 2000 tena akiwa tayari ni very ' celeb ' huku Diamond nimeanza kumsikia akianza kuhangaika mwaka 2010 na kuja kuanza ' kutusua ' miaka miwili tu iliyopita. Kumfananisha ' Nguli ' Jose Chameleon na Diamond ni sawa sawa na leo hii utake kumshindanisha Zinedine Yazid Zidane na Paul Pogba. Utajiri alionao leo Diamond mwenzake Jose Chameleone alikuwa nao tayari miaka 10 hadi 12 iliyopita.
Kua na nyumba south ndo kutusua sio? Ndo mawazo yako sioChameleon hana nyumba south, hana mkataba na universal,unaweza kuwa kwenye game kitambo lakini ukazidiwa na mtoto wa juzi
Umetaja watu watatu mzee km sikosei Diamond,Chameleone na mwengineHivi chameleone na platnumz nani ana pesa kuliko mwengine?
Akili yako finyu. Mayweather ana ela chafu. Ushamsikia mtoto wake ni celeb? Kuna wengine wanapenda privacy na familia zaoMtoto wa chameleon ni nobody, watoto wa diamond ni big celebrities hata yule ambae hajazaliwa,tiffa anakula endorsements!
What the hell have u been drinking recently???? 4 mil net worth ????Jose Chameleone net worth $ 5 million.
Diamond Platnumz net worth $ 4 million.
Hiyo avatar mwenyewe kakuruhusu kuitumia au?Hivi chameleone na platnumz nani ana pesa kuliko mwengine?
We mshamba ulifikiri kuwa na nyumba south ni sawa kama unavyoishi kwa shemeji!Kua na nyumba south ndo kutusua sio? Ndo mawazo yako sio
We K kweli, czan kama ata iyo South ushawai kufika ama unaiskia kwa mabaharia.We mshamba ulifikiri kuwa na nyumba south ni sawa kama unavyoishi kwa shemeji!