Hivi kati ya Mwalimu Kashasha na Dkt Leakey nani zaidi katika uchambuzi wa soka?

Hivi kati ya Mwalimu Kashasha na Dkt Leakey nani zaidi katika uchambuzi wa soka?

Huyo Liki ni msimuliaji tu vitu anavyoongea hata dem wangu akiingia gugo akameza anaongea vizuri tu . Achana na Mwalim Kashasha wewe
 
Uko vizuri sana
Ndugu yangu; haya majina ni kweli ni maarufu katika uchambuzi wa soka hapa Tanzania lakini hawa ni watu wawili tofauti ambao hata katika uchambuzi huwa hawaongelei mambo yanayofanana.

Mwalimu Kashasha ni kocha na ni mtaalamu wa mpira; yeye huwa anachambua ''utaalamu'' na ''mbinu'' katika mchezo husika. Yeye hutuambia kuhusu mbinu za kimichezo, na makosa ya kimichezo yanayofanyika, na walau kuondoa utata kwa matukio yanayohitaji uchambuzi wa kitaalamu. Anafanya kazi yake vizuri sana katika upande huo na hachoshi kumsikiliza.

Dr Leakey Abdalla yeye ni mpenzi, mshabiki, mpenda soka. Uchambuzi wake hujikita zaidi katika historia na bashasha za mpira.Yeye huwa anatupa historia ya timu, historia ya wachezaji mmoja mmoja na hata matukio ya huko nyuma kuhusu timu na wachezaji; ni kawaida ya mwanandamu kupenda kusimuliwa na kuhadithiwa kwa sababu inakusogeza karibu na jambo unalosimuliwa.

Kwa walioanza kuangalia mpira zamani kidogo kwenye miaka ya 1994 - Fainali za World Cup Marekani- Dr Leakey alipata mashabiki wengi sana kwa kuwa hakukuwa na internet lakini yeye alikuwa anajua historia ya timu na wachezaji wake; watu walikuwa wanataka Dr Leakey asimulie kuliko hata kuangalia mpira wenyewe. Brazil chini ya Kapteni Dunga, Romario, Bebeto ikiibuka na ubingwa dhidi ya Italia kwa changamoto ya mikwaju ya penati; Roberto Baggio akiizamisha Italia baada ya kupaisha penati.

Na mwaka 1996 - wakati wa Fainali ya Kombe la Afrika - ilifanyika South Afrika pia Dr Leakey alifanya kazi kubwa mno ya kutusimulia na kutupa historia (mechi zilikuwa zinaonyeshwa ITV).South Africa ikiwa na wachezaji wake kama Dr Khumalo, Lucas Radebe, Tinkler na wengineo wakiifunga Tunisia kwenye fainali. Gazeti la Michezo lilikuwa Dimba na lenyewe lilikuwa linasubiri Dr Leakey aongee na wao wakaandike.

Nani bora kati yao linaweza kuwa swali lisilo na jibu kwa kuwa huwezi kulinganisha watu wanaofanya jambo moja lakini katika mtazamo tofauti.

Nikupe mfano mdogo; ripoti ya daktari juu ya kifo cha mtu aliyepigwa risasi itasomeka hivi ''sababu ya kifo ni kupoteza damu nyingi'' lakini ripoti ya polisi itasomeka ''mtuhumiwa alikufa baada ya kupigwa risasi''. Kwenye taaluma ya udaktari sababu ya kifo haiwezi kuwa ''kupigwa risasi'' kwa kuwa unaweza kupigwa risasi na ukapona, lakini ''huwezi kupoteza damu nyingi na ukapona''

Wote tunawahitaji kwa sasa maana upande mmoja tunapata uchambuzi wa kitaalamu na upande mwingine tunapata uchambuzi wa ''kihistoria'' ''kiushabiki'' na ''bashasha'' za kimpira. Wanaleta radha tofauti na tunahitaji vyote kutoka kwao.

Mpira ni sayansi lakini pia mpira ni ''interest'' na enjoyment.

Ni muda sasa kwa Watanzania hasa vijana kujifunza kumsifia mtu kwa sifa zake bila kumlinganisha na mwingine. Sio kila eneo watu wanahitaji kushindanishwa. Kuna maeneo unahitaji ''combination'' ili uweze kufurahia maisha.

Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nadhani leaky Ana exposure kubwa Sana kuliko kashasha
Ni kweli, kipindi cha nyuma wakati matumizi ya internet hajawa makubwa kama sasa Dr. Leaky alikuwa mjuvi zaidi.

Ila zama zinachange kwa sasa kila kitu kipo wazi, ni mtu kuamua kuwa nyuma tu.

Kashasha ni Mwalimu + exposer inamfanya bora kwa sasa. Pamoja na wachambuzi wengi wapya. Zama za Dr zimepita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwangu leakey ni bora zaidi!

Kashasha anatumia zile terms za kisoka nahisi ni mwalimu wa mchezo wa soka huyu! Lakini kwenye uchambuzi dr leakey ni bora zaidi.
Kashasha anajua kutangaza mpira, kuuchambua mpira Leakey is the best maana anawajua wachezaji anaowachambua na timu zao, hafu Kashasha anajua mpira wa kitanzania wakati Leakey anaujua mpira wa kimataifa
 
Ndugu yangu; haya majina ni kweli ni maarufu katika uchambuzi wa soka hapa Tanzania lakini hawa ni watu wawili tofauti ambao hata katika uchambuzi huwa hawaongelei mambo yanayofanana.

Mwalimu Kashasha ni kocha na ni mtaalamu wa mpira; yeye huwa anachambua ''utaalamu'' na ''mbinu'' katika mchezo husika. Yeye hutuambia kuhusu mbinu za kimichezo, na makosa ya kimichezo yanayofanyika, na walau kuondoa utata kwa matukio yanayohitaji uchambuzi wa kitaalamu. Anafanya kazi yake vizuri sana katika upande huo na hachoshi kumsikiliza.

Dr Leakey Abdalla yeye ni mpenzi, mshabiki, mpenda soka. Uchambuzi wake hujikita zaidi katika historia na bashasha za mpira.Yeye huwa anatupa historia ya timu, historia ya wachezaji mmoja mmoja na hata matukio ya huko nyuma kuhusu timu na wachezaji; ni kawaida ya mwanandamu kupenda kusimuliwa na kuhadithiwa kwa sababu inakusogeza karibu na jambo unalosimuliwa.

Kwa walioanza kuangalia mpira zamani kidogo kwenye miaka ya 1994 - Fainali za World Cup Marekani- Dr Leakey alipata mashabiki wengi sana kwa kuwa hakukuwa na internet lakini yeye alikuwa anajua historia ya timu na wachezaji wake; watu walikuwa wanataka Dr Leakey asimulie kuliko hata kuangalia mpira wenyewe. Brazil chini ya Kapteni Dunga, Romario, Bebeto ikiibuka na ubingwa dhidi ya Italia kwa changamoto ya mikwaju ya penati; Roberto Baggio akiizamisha Italia baada ya kupaisha penati.

Na mwaka 1996 - wakati wa Fainali ya Kombe la Afrika - ilifanyika South Afrika pia Dr Leakey alifanya kazi kubwa mno ya kutusimulia na kutupa historia (mechi zilikuwa zinaonyeshwa ITV).South Africa ikiwa na wachezaji wake kama Dr Khumalo, Lucas Radebe, Tinkler na wengineo wakiifunga Tunisia kwenye fainali. Gazeti la Michezo lilikuwa Dimba na lenyewe lilikuwa linasubiri Dr Leakey aongee na wao wakaandike.

Nani bora kati yao linaweza kuwa swali lisilo na jibu kwa kuwa huwezi kulinganisha watu wanaofanya jambo moja lakini katika mtazamo tofauti.

Nikupe mfano mdogo; ripoti ya daktari juu ya kifo cha mtu aliyepigwa risasi itasomeka hivi ''sababu ya kifo ni kupoteza damu nyingi'' lakini ripoti ya polisi itasomeka ''mtuhumiwa alikufa baada ya kupigwa risasi''. Kwenye taaluma ya udaktari sababu ya kifo haiwezi kuwa ''kupigwa risasi'' kwa kuwa unaweza kupigwa risasi na ukapona, lakini ''huwezi kupoteza damu nyingi na ukapona''

Wote tunawahitaji kwa sasa maana upande mmoja tunapata uchambuzi wa kitaalamu na upande mwingine tunapata uchambuzi wa ''kihistoria'' ''kiushabiki'' na ''bashasha'' za kimpira. Wanaleta radha tofauti na tunahitaji vyote kutoka kwao.

Mpira ni sayansi lakini pia mpira ni ''interest'' na enjoyment.

Ni muda sasa kwa Watanzania hasa vijana kujifunza kumsifia mtu kwa sifa zake bila kumlinganisha na mwingine. Sio kila eneo watu wanahitaji kushindanishwa. Kuna maeneo unahitaji ''combination'' ili uweze kufurahia maisha.

Ahsante.
Kawaida huwa sioni comment ndefu lakini hii nimesoma mpaka mwisho
 
Salute kwako acronomy.
Ndugu yangu; haya majina ni kweli ni maarufu katika uchambuzi wa soka hapa Tanzania lakini hawa ni watu wawili tofauti ambao hata katika uchambuzi huwa hawaongelei mambo yanayofanana.

Mwalimu Kashasha ni kocha na ni mtaalamu wa mpira; yeye huwa anachambua ''utaalamu'' na ''mbinu'' katika mchezo husika. Yeye hutuambia kuhusu mbinu za kimichezo, na makosa ya kimichezo yanayofanyika, na walau kuondoa utata kwa matukio yanayohitaji uchambuzi wa kitaalamu. Anafanya kazi yake vizuri sana katika upande huo na hachoshi kumsikiliza.

Dr Leakey Abdalla yeye ni mpenzi, mshabiki, mpenda soka. Uchambuzi wake hujikita zaidi katika historia na bashasha za mpira.Yeye huwa anatupa historia ya timu, historia ya wachezaji mmoja mmoja na hata matukio ya huko nyuma kuhusu timu na wachezaji; ni kawaida ya mwanandamu kupenda kusimuliwa na kuhadithiwa kwa sababu inakusogeza karibu na jambo unalosimuliwa.

Kwa walioanza kuangalia mpira zamani kidogo kwenye miaka ya 1994 - Fainali za World Cup Marekani- Dr Leakey alipata mashabiki wengi sana kwa kuwa hakukuwa na internet lakini yeye alikuwa anajua historia ya timu na wachezaji wake; watu walikuwa wanataka Dr Leakey asimulie kuliko hata kuangalia mpira wenyewe. Brazil chini ya Kapteni Dunga, Romario, Bebeto ikiibuka na ubingwa dhidi ya Italia kwa changamoto ya mikwaju ya penati; Roberto Baggio akiizamisha Italia baada ya kupaisha penati.

Na mwaka 1996 - wakati wa Fainali ya Kombe la Afrika - ilifanyika South Afrika pia Dr Leakey alifanya kazi kubwa mno ya kutusimulia na kutupa historia (mechi zilikuwa zinaonyeshwa ITV).South Africa ikiwa na wachezaji wake kama Dr Khumalo, Lucas Radebe, Tinkler na wengineo wakiifunga Tunisia kwenye fainali. Gazeti la Michezo lilikuwa Dimba na lenyewe lilikuwa linasubiri Dr Leakey aongee na wao wakaandike.

Nani bora kati yao linaweza kuwa swali lisilo na jibu kwa kuwa huwezi kulinganisha watu wanaofanya jambo moja lakini katika mtazamo tofauti.

Nikupe mfano mdogo; ripoti ya daktari juu ya kifo cha mtu aliyepigwa risasi itasomeka hivi ''sababu ya kifo ni kupoteza damu nyingi'' lakini ripoti ya polisi itasomeka ''mtuhumiwa alikufa baada ya kupigwa risasi''. Kwenye taaluma ya udaktari sababu ya kifo haiwezi kuwa ''kupigwa risasi'' kwa kuwa unaweza kupigwa risasi na ukapona, lakini ''huwezi kupoteza damu nyingi na ukapona''

Wote tunawahitaji kwa sasa maana upande mmoja tunapata uchambuzi wa kitaalamu na upande mwingine tunapata uchambuzi wa ''kihistoria'' ''kiushabiki'' na ''bashasha'' za kimpira. Wanaleta radha tofauti na tunahitaji vyote kutoka kwao.

Mpira ni sayansi lakini pia mpira ni ''interest'' na enjoyment.

Ni muda sasa kwa Watanzania hasa vijana kujifunza kumsifia mtu kwa sifa zake bila kumlinganisha na mwingine. Sio kila eneo watu wanahitaji kushindanishwa. Kuna maeneo unahitaji ''combination'' ili uweze kufurahia maisha.

Ahsante.
 
Kwangu leakey ni bora zaidi!

Kashasha anatumia zile terms za kisoka nahisi ni mwalimu wa mchezo wa soka huyu! Lakini kwenye uchambuzi dr leakey ni bora zaidi.
Usihisi,
Ukweli ni kwamba huyu Mwl. Kashasha ni Mkufunzi wa michezo ...na mimi kanifundisha darasani kabisa,mzee yupo vizuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekupa "like" ya 71 mkuu
Ndugu yangu; haya majina ni kweli ni maarufu katika uchambuzi wa soka hapa Tanzania lakini hawa ni watu wawili tofauti ambao hata katika uchambuzi huwa hawaongelei mambo yanayofanana.

Mwalimu Kashasha ni kocha na ni mtaalamu wa mpira; yeye huwa anachambua ''utaalamu'' na ''mbinu'' katika mchezo husika. Yeye hutuambia kuhusu mbinu za kimichezo, na makosa ya kimichezo yanayofanyika, na walau kuondoa utata kwa matukio yanayohitaji uchambuzi wa kitaalamu. Anafanya kazi yake vizuri sana katika upande huo na hachoshi kumsikiliza.

Dr Leakey Abdalla yeye ni mpenzi, mshabiki, mpenda soka. Uchambuzi wake hujikita zaidi katika historia na bashasha za mpira.Yeye huwa anatupa historia ya timu, historia ya wachezaji mmoja mmoja na hata matukio ya huko nyuma kuhusu timu na wachezaji; ni kawaida ya mwanandamu kupenda kusimuliwa na kuhadithiwa kwa sababu inakusogeza karibu na jambo unalosimuliwa.

Kwa walioanza kuangalia mpira zamani kidogo kwenye miaka ya 1994 - Fainali za World Cup Marekani- Dr Leakey alipata mashabiki wengi sana kwa kuwa hakukuwa na internet lakini yeye alikuwa anajua historia ya timu na wachezaji wake; watu walikuwa wanataka Dr Leakey asimulie kuliko hata kuangalia mpira wenyewe. Brazil chini ya Kapteni Dunga, Romario, Bebeto ikiibuka na ubingwa dhidi ya Italia kwa changamoto ya mikwaju ya penati; Roberto Baggio akiizamisha Italia baada ya kupaisha penati.

Na mwaka 1996 - wakati wa Fainali ya Kombe la Afrika - ilifanyika South Afrika pia Dr Leakey alifanya kazi kubwa mno ya kutusimulia na kutupa historia (mechi zilikuwa zinaonyeshwa ITV).South Africa ikiwa na wachezaji wake kama Dr Khumalo, Lucas Radebe, Tinkler na wengineo wakiifunga Tunisia kwenye fainali. Gazeti la Michezo lilikuwa Dimba na lenyewe lilikuwa linasubiri Dr Leakey aongee na wao wakaandike.

Nani bora kati yao linaweza kuwa swali lisilo na jibu kwa kuwa huwezi kulinganisha watu wanaofanya jambo moja lakini katika mtazamo tofauti.

Nikupe mfano mdogo; ripoti ya daktari juu ya kifo cha mtu aliyepigwa risasi itasomeka hivi ''sababu ya kifo ni kupoteza damu nyingi'' lakini ripoti ya polisi itasomeka ''mtuhumiwa alikufa baada ya kupigwa risasi''. Kwenye taaluma ya udaktari sababu ya kifo haiwezi kuwa ''kupigwa risasi'' kwa kuwa unaweza kupigwa risasi na ukapona, lakini ''huwezi kupoteza damu nyingi na ukapona''

Wote tunawahitaji kwa sasa maana upande mmoja tunapata uchambuzi wa kitaalamu na upande mwingine tunapata uchambuzi wa ''kihistoria'' ''kiushabiki'' na ''bashasha'' za kimpira. Wanaleta radha tofauti na tunahitaji vyote kutoka kwao.

Mpira ni sayansi lakini pia mpira ni ''interest'' na enjoyment.

Ni muda sasa kwa Watanzania hasa vijana kujifunza kumsifia mtu kwa sifa zake bila kumlinganisha na mwingine. Sio kila eneo watu wanahitaji kushindanishwa. Kuna maeneo unahitaji ''combination'' ili uweze kufurahia maisha.

Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu; haya majina ni kweli ni maarufu katika uchambuzi wa soka hapa Tanzania lakini hawa ni watu wawili tofauti ambao hata katika uchambuzi huwa hawaongelei mambo yanayofanana.

Mwalimu Kashasha ni kocha na ni mtaalamu wa mpira; yeye huwa anachambua ''utaalamu'' na ''mbinu'' katika mchezo husika. Yeye hutuambia kuhusu mbinu za kimichezo, na makosa ya kimichezo yanayofanyika, na walau kuondoa utata kwa matukio yanayohitaji uchambuzi wa kitaalamu. Anafanya kazi yake vizuri sana katika upande huo na hachoshi kumsikiliza.

Dr Leakey Abdalla yeye ni mpenzi, mshabiki, mpenda soka. Uchambuzi wake hujikita zaidi katika historia na bashasha za mpira.Yeye huwa anatupa historia ya timu, historia ya wachezaji mmoja mmoja na hata matukio ya huko nyuma kuhusu timu na wachezaji; ni kawaida ya mwanandamu kupenda kusimuliwa na kuhadithiwa kwa sababu inakusogeza karibu na jambo unalosimuliwa.

Kwa walioanza kuangalia mpira zamani kidogo kwenye miaka ya 1994 - Fainali za World Cup Marekani- Dr Leakey alipata mashabiki wengi sana kwa kuwa hakukuwa na internet lakini yeye alikuwa anajua historia ya timu na wachezaji wake; watu walikuwa wanataka Dr Leakey asimulie kuliko hata kuangalia mpira wenyewe. Brazil chini ya Kapteni Dunga, Romario, Bebeto ikiibuka na ubingwa dhidi ya Italia kwa changamoto ya mikwaju ya penati; Roberto Baggio akiizamisha Italia baada ya kupaisha penati.

Na mwaka 1996 - wakati wa Fainali ya Kombe la Afrika - ilifanyika South Afrika pia Dr Leakey alifanya kazi kubwa mno ya kutusimulia na kutupa historia (mechi zilikuwa zinaonyeshwa ITV).South Africa ikiwa na wachezaji wake kama Dr Khumalo, Lucas Radebe, Tinkler na wengineo wakiifunga Tunisia kwenye fainali. Gazeti la Michezo lilikuwa Dimba na lenyewe lilikuwa linasubiri Dr Leakey aongee na wao wakaandike.

Nani bora kati yao linaweza kuwa swali lisilo na jibu kwa kuwa huwezi kulinganisha watu wanaofanya jambo moja lakini katika mtazamo tofauti.

Nikupe mfano mdogo; ripoti ya daktari juu ya kifo cha mtu aliyepigwa risasi itasomeka hivi ''sababu ya kifo ni kupoteza damu nyingi'' lakini ripoti ya polisi itasomeka ''mtuhumiwa alikufa baada ya kupigwa risasi''. Kwenye taaluma ya udaktari sababu ya kifo haiwezi kuwa ''kupigwa risasi'' kwa kuwa unaweza kupigwa risasi na ukapona, lakini ''huwezi kupoteza damu nyingi na ukapona''

Wote tunawahitaji kwa sasa maana upande mmoja tunapata uchambuzi wa kitaalamu na upande mwingine tunapata uchambuzi wa ''kihistoria'' ''kiushabiki'' na ''bashasha'' za kimpira. Wanaleta radha tofauti na tunahitaji vyote kutoka kwao.

Mpira ni sayansi lakini pia mpira ni ''interest'' na enjoyment.

Ni muda sasa kwa Watanzania hasa vijana kujifunza kumsifia mtu kwa sifa zake bila kumlinganisha na mwingine. Sio kila eneo watu wanahitaji kushindanishwa. Kuna maeneo unahitaji ''combination'' ili uweze kufurahia maisha.

Ahsante.
We jamaa nitashanga kama utakuwa huna ajira maana hicho kichwa chako ni dhahabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Navyojua mmkwenye sOka kuna
1..uchambuaji- hapa nampa George Ambangile wa wasafi (zaman magic fm)

2. Ufafanuzi (kwenye utangazaji)- hapa nampama mwalim kashasha

3. Usomaji timu na utabira wa matokea (predictions) - hapa nampa dr. Leaky

4. Utangazaji - hapa ziko takataka kibao.Wengi tu wako vizur.

NB
kwa lugja nyingine ni kwamba kashasha na Dr. Leaky naona kama wame base kwenye issues tofauti sana.
 
Ndugu yangu; haya majina ni kweli ni maarufu katika uchambuzi wa soka hapa Tanzania lakini hawa ni watu wawili tofauti ambao hata katika uchambuzi huwa hawaongelei mambo yanayofanana.

Mwalimu Kashasha ni kocha na ni mtaalamu wa mpira; yeye huwa anachambua ''utaalamu'' na ''mbinu'' katika mchezo husika. Yeye hutuambia kuhusu mbinu za kimichezo, na makosa ya kimichezo yanayofanyika, na walau kuondoa utata kwa matukio yanayohitaji uchambuzi wa kitaalamu. Anafanya kazi yake vizuri sana katika upande huo na hachoshi kumsikiliza.

Dr Leakey Abdalla yeye ni mpenzi, mshabiki, mpenda soka. Uchambuzi wake hujikita zaidi katika historia na bashasha za mpira.Yeye huwa anatupa historia ya timu, historia ya wachezaji mmoja mmoja na hata matukio ya huko nyuma kuhusu timu na wachezaji; ni kawaida ya mwanandamu kupenda kusimuliwa na kuhadithiwa kwa sababu inakusogeza karibu na jambo unalosimuliwa.

Kwa walioanza kuangalia mpira zamani kidogo kwenye miaka ya 1994 - Fainali za World Cup Marekani- Dr Leakey alipata mashabiki wengi sana kwa kuwa hakukuwa na internet lakini yeye alikuwa anajua historia ya timu na wachezaji wake; watu walikuwa wanataka Dr Leakey asimulie kuliko hata kuangalia mpira wenyewe. Brazil chini ya Kapteni Dunga, Romario, Bebeto ikiibuka na ubingwa dhidi ya Italia kwa changamoto ya mikwaju ya penati; Roberto Baggio akiizamisha Italia baada ya kupaisha penati.

Na mwaka 1996 - wakati wa Fainali ya Kombe la Afrika - ilifanyika South Afrika pia Dr Leakey alifanya kazi kubwa mno ya kutusimulia na kutupa historia (mechi zilikuwa zinaonyeshwa ITV).South Africa ikiwa na wachezaji wake kama Dr Khumalo, Lucas Radebe, Tinkler na wengineo wakiifunga Tunisia kwenye fainali. Gazeti la Michezo lilikuwa Dimba na lenyewe lilikuwa linasubiri Dr Leakey aongee na wao wakaandike.

Nani bora kati yao linaweza kuwa swali lisilo na jibu kwa kuwa huwezi kulinganisha watu wanaofanya jambo moja lakini katika mtazamo tofauti.

Nikupe mfano mdogo; ripoti ya daktari juu ya kifo cha mtu aliyepigwa risasi itasomeka hivi ''sababu ya kifo ni kupoteza damu nyingi'' lakini ripoti ya polisi itasomeka ''mtuhumiwa alikufa baada ya kupigwa risasi''. Kwenye taaluma ya udaktari sababu ya kifo haiwezi kuwa ''kupigwa risasi'' kwa kuwa unaweza kupigwa risasi na ukapona, lakini ''huwezi kupoteza damu nyingi na ukapona''

Wote tunawahitaji kwa sasa maana upande mmoja tunapata uchambuzi wa kitaalamu na upande mwingine tunapata uchambuzi wa ''kihistoria'' ''kiushabiki'' na ''bashasha'' za kimpira. Wanaleta radha tofauti na tunahitaji vyote kutoka kwao.

Mpira ni sayansi lakini pia mpira ni ''interest'' na enjoyment.

Ni muda sasa kwa Watanzania hasa vijana kujifunza kumsifia mtu kwa sifa zake bila kumlinganisha na mwingine. Sio kila eneo watu wanahitaji kushindanishwa. Kuna maeneo unahitaji ''combination'' ili uweze kufurahia maisha.

Ahsante.
Great thinker at work.
 
Back
Top Bottom