February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
- Thread starter
-
- #21
ndomana nkauliza per time iliyotawala...Ilitawala mda mrefu so ilitembeza watu sana ......rejea movie ya Spartacus ....an hakukua na ubinadam kule
namsikia tu, Ni nani?Unamjua Genghis Khan?
Hiyo ni italyElezea zaidi
Hili jina Roman linatoka wapi??
Mfano Ottoman inafahamika inahusiana na Uturuki ya sasa..
Roman inahusiana na Taifa gani la sasa??
Italy?Greek?
Mfano ottoman haikuenea middle east kivita kivile,almost sikumbuki vita kubwa ya waturuki kuikamata bara arab,ndomana nkauliza per time iliyotawala...
yaani rate ya uuaji
yani mfano walitawala miaka 1000 wakaua watu 1000 ni sawa na waliotawala miaka 100 wakaua watu 100
So assume na Ottoman ingetawala mda sawa na Roman empire
ipi katili zaidi?
irrelevant
Mbabe wa MongoliaUnamjua Genghis Khan?
Historia inaonesha kuwa Warumi ni watu ambao walianzia mji wa Roma kwa sasa ni Italia. Roma ilikuwa kitovu cha Himaya ya Kirumi – nchi zilizotawaliwa na Warumi zilikuwa ni sehemu za Ulaya (ikiwa ni pamoja na Gaul -Ufaransa, Ugiriki na Hispania), sehemu za Afrika Kaskazini na sehemu za Mashariki ya Kati.Elezea zaidi
Hili jina Roman linatoka wapi??
Mfano Ottoman inafahamika inahusiana na Uturuki ya sasa..
Roman inahusiana na Taifa gani la sasa??
Italy?Greek?
Kabisa kabisa hasa Mshana JrRelevant in this analogy; Europeans , according to you, brought the religions to which we are adhered, like Computers, hand sets, Cars etc, all made by the same Europeans so to say, we African have not yet made any thing useful, what we know is Whitchcrafts etc.
Historia inaonesha kuwa Warumi ni watu ambao walianzia mji wa Roma kwa sasa ni Italia. Roma ilikuwa kitovu cha Himaya ya Kirumi – nchi zilizotawaliwa na Warumi zilikuwa ni sehemu za Ulaya (ikiwa ni pamoja na Gaul -Ufaransa, Ugiriki na Hispania), sehemu za Afrika Kaskazini na sehemu za Mashariki ya Kati.
Ustaarabu wa miji ya Ulaya ulianzishwa na jamii ya Waminoasi wa Zama za Shaba wa Krete na Ugiriki wa Mycenaea, ambao uliisha karibu karne ya 11 BC wakati Ugiriki ilipoingia Enzi za Kigiriki ya nyakati za giza (dark ages).Kabla ya Roma ..wagiriki pia walitawala Europe?Sawa??
Roman Empire imeua sana watu, kuna kipindi haid kinaitwa dark age yani hadi maendeleo ya dunia yalisimama kwa miaka kadhaa kwasababu ya ushezi waoGreetings Earthlings,
Hizi empire mbili zilitawala kila moja kwa muda wake.
Roman empire ilitawala muda mrefu zaidi na ilikuwa na phase mbili ya kabla kuwa ya kikristo na baada kuwa ya kikristo
Kabla kuwa ya kikristo ilitawala dunia kwa mateso na kuonea wasioamini miungu ya kirumi..
Baada ya kuwa ya kikristo miaka ya 200AD iliendelea kutawala na kutesa sana wasioamini ukatoliki.hivyo ilisaidia sana kukua kwa ukatoliki na kuupa nguvu duniani
Ottoman empire nayo ilitawala kwa makalifa na ilitumia upanga na vita kuenea kutoka mecca mpaka middle east yote + far East kama india + North Africa
ilisaidia kukuza uislam...watu wengi wasioamin waliuwawa na tawala za dini tofauti zilishushwa(kwa upanga)
Swali langu:Kati ya hizi tawala mbili ipi ilikuwa katili zaidi(Most brutal) per time it ruled?
Nb;sio mjadala wa dini,ni pure history na facts tuachane na hisia zetu according to imani zetu
HahahRoman Empire imeua sana watu, kuna kipindi haid kinaitwa dark age yani hadi maendeleo ya dunia yalisimama kwa miaka kadhaa kwasababu ya ushezi wao
Hapana ilichukua nchi nyingi sana za ulaya kuanzia England 🏴,Austria, France 🇫🇷,Italy, some parts of now days German na nchi nyingi za norhern Africa kwa kifupi karibu ulaya nzima ilikua The Great Roman EmpireHiyo ni italy
Wagiriki walitawa baadhi ya visiwa vya ulaya maeneo kama Macedonia 🇲🇰, Cyprus 🇨🇾 na kwingine ila haikufika hata nusu ya UlayaKabla ya Roma ..wagiriki pia walitawala Europe?Sawa?
Sidhani,wafaransa walijuwa na kingdom zao,UK na pia germany,sweden etcHapana ilichukua nchi nyingi sana za ulaya kuanzia England 🏴,Austria, France 🇫🇷,Italy, some parts of now days German na nchi nyingi za norhern Africa kwa kifupi karibu ulaya nzima ilikua The Great Roman Empire
Roman Empire iliangusha na sababu nyingi kubwa ni kushambuliwa na baadhi ya makabila ya ujerumani hasa SAXONSMfano ottoman haikuenea middle east kivita kivile,almost sikumbuki vita kubwa ya waturuki kuikamata bara arab,
Wakati ottoman inaiñuka Roman ilikua inaanguka,kiufupi ottoman iliangusha Roman empire,,kisha ottoman yenyewe ikaangushwa na British empire
Rudia kidogo Historia ... mana hivi vitu haviitaji kudhania ... vipo ukitaka jaribu ku-refer sources zakoSidhani,wafaransa walijuwa na kingdom zao,UK na pia germany,sweden etc