Hivi kati ya Ottoman empire na Roman empire ipi ilitumia zaidi nguvu na kuua watu wengi per time it ruled?

Hivi kati ya Ottoman empire na Roman empire ipi ilitumia zaidi nguvu na kuua watu wengi per time it ruled?

Kwanza lazima ujue mafundisho Yote ya Uisilamu yanapatikana katika Qur'an na Hadithi za mtume Muhammad (saw), hivyo ili waisilamu waungane ni lazima waunganishwe chini ya Imam Mahd (kiongozi anayeongozwa ) na sio chini ya Empire yoyote, hakuna kitu kama hicho kwamba Empire ndiyo itawaleta pamoja waisilamu, kama unaoushahidi kutoka katika hizo Sources mbili yaani Qur'an na Hadithi lete hapa. Imam Mahd ndiye Muanzilishi mtukufu wa Jumuiyya ya waislamu wa Ahmadiyya.

Umesema kweli kwamba dhehebu la Sunni wanawaita Mashia Makafiri na Mashia hivyo hivyo huwaita Masunni makafiri, Answar sunna pia huwaita Mashia makafiri na hivyohivyo mashia huwaita Answar makafiri ilmuradi wote wanaitana makafiri, lakini jifunze jambo hili; wanapotokea Ahmadiyya mbele ya hayo madhehebu mengine hayo madhehebu huungana na huweka tofauti zao pembeni na kuwa kitu kimoja dhidi ya Ahmadiyya, mfano wake ni huu Simba na Swala ni maadui lakini ukiwaweka katika chumba kimoja na ukawasha moto hapo uadui wao huisha na kuanza kupambana na moto kwanza, hapo Ahmadiyya ni kama moto na hayo madhehebu mengine ni kama simba na swala, hapo ndipo ile hadithi ya mtume (saw) inapofanya kazi pale aliposema kwamba; "Umati wake utagawanyika makundi 73 yote yataingia motoni isipokuwa kundi moja".

Umesema kweli kwamba waisilamu wa Waahmadiyya ni watu wa amani lakini hujasema kweli unaposema kwamba waisilamu -Waahmadiyya huswali kanisani, karibu kila nchi duniani kuna Waahmadiyya na kuna Misikiti ya Ahmadiyya imejengwa sasa inakuaje unadanganya kwamba Waahmadiyya huswali kanisani??.

Of all religions sects, Ahmadiyya sect is in Islam is the fastest growing sect of all sects , Chukua madhehebu ya dini zote duniani Ahmadiyya ndiyo dhehebu linalokuwa kwa kasi kubwa kupita madhehebu ya dini zote na hii ni moja ya sababu ya Ahmadiyya kuchukiwa na madhebu mengine ya Waisilamu, licha ya juhudi za hali na mali zinazofanywa na hao waisilamu wengine kuzuia Jumuiyya ya Waisilamu wa Ahmadiyya lakini wao wenyewe wanakiri; Ahmadiyya is unstopable.
Ahmadiyya ndio hawa wazee wa mitutu aka jihadiste?
 
Greetings Earthlings,
Hizi empire mbili zilitawala kila moja kwa muda wake.

Roman empire ilitawala muda mrefu zaidi na ilikuwa na phase mbili ya kabla kuwa ya kikristo na baada kuwa ya kikristo
Kabla kuwa ya kikristo ilitawala dunia kwa mateso na kuonea wasioamini miungu ya kirumi..
Baada ya kuwa ya kikristo miaka ya 200AD iliendelea kutawala na kutesa sana wasioamini ukatoliki.hivyo ilisaidia sana kukua kwa ukatoliki na kuupa nguvu duniani

Ottoman empire nayo ilitawala kwa makalifa na ilitumia upanga na vita kuenea kutoka mecca mpaka middle east yote + far East kama india + North Africa
ilisaidia kukuza uislam...watu wengi wasioamin waliuwawa na tawala za dini tofauti zilishushwa(kwa upanga)

Swali langu:Kati ya hizi tawala mbili ipi ilikuwa katili zaidi(Most brutal) per time it ruled?

Nb;sio mjadala wa dini,ni pure history na facts tuachane na hisia zetu according to imani zetu
We jamaa muongo sana,hivi dola ya Rumi iliua watu ili kueneza Ukatoliki kwa nguvu au yenyewe ndo iliua Wakatoliki kwa kuwalazimisha kuabudu miungu yao?.
 
Greetings Earthlings,
Hizi empire mbili zilitawala kila moja kwa muda wake.

Roman empire ilitawala muda mrefu zaidi na ilikuwa na phase mbili ya kabla kuwa ya kikristo na baada kuwa ya kikristo
Kabla kuwa ya kikristo ilitawala dunia kwa mateso na kuonea wasioamini miungu ya kirumi..
Baada ya kuwa ya kikristo miaka ya 200AD iliendelea kutawala na kutesa sana wasioamini ukatoliki.hivyo ilisaidia sana kukua kwa ukatoliki na kuupa nguvu duniani

Ottoman empire nayo ilitawala kwa makalifa na ilitumia upanga na vita kuenea kutoka mecca mpaka middle east yote + far East kama india + North Africa
ilisaidia kukuza uislam...watu wengi wasioamin waliuwawa na tawala za dini tofauti zilishushwa(kwa upanga)

Swali langu:Kati ya hizi tawala mbili ipi ilikuwa katili zaidi(Most brutal) per time it ruled?

Nb;sio mjadala wa dini,ni pure history na facts tuachane na hisia zetu according to imani zetu
otoman
 
We jamaa muongo sana,hivi dola ya Rumi iliua watu ili kueneza Ukatoliki kwa nguvu au yenyewe ndo iliua Wakatoliki kwa kuwalazimisha kuabudu miungu yao?.
Wakatoliki wameanza kuwepo baada ya Roman empire kuacha kuua wakristo na kubadilika kuwa dola ya kikristo...Hapo ndio ukatoliki ukazaliwa, maana mji mkuu wa center ya Dola ya kirumi ilikuwa Italia na Katoliki ndio makao makuu yao huko hadi leo.
 
Back
Top Bottom