Hivi kati ya panya road na wezi wa kura afadhali nani?

Hivi kati ya panya road na wezi wa kura afadhali nani?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!
Panya road (vibaka) wanaudhi
Wezi wa kura (wapotosha haki) wanaudhi.
Je, kati ya makundi hayo mawili juu ni kundi lipi linaweza kuleta matatizo makubwa zaidi katika nchi kuliko jingine?
Ni kundi lipi lina afadhali?
 
Back
Top Bottom