Hivi kesi ya Mbowe ni ya kitaifa au kimataifa?

Hivi kesi ya Mbowe ni ya kitaifa au kimataifa?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimewaona jana watu kutoka nchi za kibeberu wakiwa pale mahakama ya Kisutu kufuatilia kesi ya Freeman Mbowe.

Niliwaona pia viongozi wa vyama vya upinzani wakiongozwa na James Mbatia kadhalika viongozi wa juu wote wa Chadema na hata viongozi wachache wa CCM walikuwepo.

Ndio nauliza hii kesi ya Mbowe ni ya kimataifa au ni ya kimkoa kama ile ya DC mstaafu Ole sabaya?
 
Nimewaona jana watu kutoka nchi za kibeberu wakiwa pale mahakama ya kisutu kufuatilia kesi ya Freeman Mbowe

Niliwaona pia viongozi wa vyama vya upinzani wakiongozwa na James Mbatia kadhalika viongozi wa juu wote wa Chadema na hata viongozi wachache wa CCM walikuwepo.

Ndio nauliza hii kesi ya Mbowe ni ya kimataifa au ni ya kimkoa kama ile ya DC mstaafu Ole sabaya?
Ni yakimataifa John,kama mbambikiaji alijua niyahapa hapa basi aliwaingiza chaka mbaya.
 
Nimewaona jana watu kutoka nchi za kibeberu wakiwa pale mahakama ya kisutu kufuatilia kesi ya Freeman Mbowe

Niliwaona pia viongozi wa vyama vya upinzani wakiongozwa na James Mbatia kadhalika viongozi wa juu wote wa Chadema na hata viongozi wachache wa CCM walikuwepo.

Ndio nauliza hii kesi ya Mbowe ni ya kimataifa au ni ya kimkoa kama ile ya DC mstaafu Ole sabaya?
Rekebisha hapo kwenye Dc mstaafu
 
Ni kesi ya kichato Bwashee.
Nimewaona jana watu kutoka nchi za kibeberu wakiwa pale mahakama ya kisutu kufuatilia kesi ya Freeman Mbowe

Niliwaona pia viongozi wa vyama vya upinzani wakiongozwa na James Mbatia kadhalika viongozi wa juu wote wa Chadema na hata viongozi wachache wa CCM walikuwepo.

Ndio nauliza hii kesi ya Mbowe ni ya kimataifa au ni ya kimkoa kama ile ya DC mstaafu Ole sabaya?
 
Suala la ugaidi likitokea popote diniani Ni lazima li raise international attention. Asichokijua Siro na CCM wenzake ni kwamba wanadhani wanamshughulikia Mbowe kwa kumbambikizia kesi ya uongo, lakini madhara yake kimataifa Ni makubwa kwa nchi.

Hivi wawekezaji anaotafuta Mama Samia wakisikia Tanzania Kuna ugaidi watakuja?
 
Suala la ugaidi likitokea popote diniani Ni lazima li raise international attention. Asichokijua Siro na CCM wenzake ni kwamba wanadhani wanamshughulikia Mbowe kwa kumbambikizia kesi ya uongo, lakini madhara yake kimataifa Ni makubwa kwa nchi.

Hivi wawekezaji anaotafuta Mama Samia wakisikia Tanzania Kuna ugaidi watakuja?
Nadhani ugaidi wa kisiasa ni tofauti kidogo hata Taliban wanakaribia kuitwaa Afghanstan!
 
Nimewaona jana watu kutoka nchi za kibeberu wakiwa pale mahakama ya kisutu kufuatilia kesi ya Freeman Mbowe

Niliwaona pia viongozi wa vyama vya upinzani wakiongozwa na James Mbatia kadhalika viongozi wa juu wote wa Chadema na hata viongozi wachache wa CCM walikuwepo.

Ndio nauliza hii kesi ya Mbowe ni ya kimataifa au ni ya kimkoa kama ile ya DC mstaafu Ole sabaya?
... linapotajwa neno "gaidi" au "ugaidi" mabeberu are very concerned! Ni wapumbavu tu ndio wanaweza kufanya mchezo na tuhuma za aina hiyo; very senior officer anaropokaropoka tu bila kujua au kujali athari za matamshi yake! Mna options nne, kuthibitisha ugaidi wa Mbowe; kubadili mashtaka; kumwachia huru; au kuendelea kucheza danadana forever! Choose whatever option that suits you!
 
Ukisema mtu ni gaidi,unategemea nn? Asa wenzako wakisikia neno gaidi linawashtuaz, wanawaza Saadam Hussein,Bin Laden,Al Baghdadi et al...bado wajamaa Wana balozi zao hapa tena nyingine ziliwahi kulipuliwa 1999 hapahapa Tz,Lazima waje kutazama
 
Nimewaona jana watu kutoka nchi za kibeberu wakiwa pale mahakama ya kisutu kufuatilia kesi ya Freeman Mbowe

Niliwaona pia viongozi wa vyama vya upinzani wakiongozwa na James Mbatia kadhalika viongozi wa juu wote wa Chadema na hata viongozi wachache wa CCM walikuwepo.

Ndio nauliza hii kesi ya Mbowe ni ya kimataifa au ni ya kimkoa kama ile ya DC mstaafu Ole sabaya?
Ni ya kimataifa.Wanaitumia kama case study ya ulevi wa madaraka unaombatana na kufinya demokrasia
 
Suala la ugaidi likitokea popote diniani Ni lazima li raise international attention. Asichokijua Siro na CCM wenzake ni kwamba wanadhani wanamshughulikia Mbowe kwa kumbambikizia kesi ya uongo, lakini madhara yake kimataifa Ni makubwa kwa nchi.

Hivi wawekezaji anaotafuta Mama Samia wakisikia Tanzania Kuna ugaidi watakuja?
... hawa viazi utawaweza?
 
Nimewaona jana watu kutoka nchi za kibeberu wakiwa pale mahakama ya kisutu kufuatilia kesi ya Freeman Mbowe

Niliwaona pia viongozi wa vyama vya upinzani wakiongozwa na James Mbatia kadhalika viongozi wa juu wote wa Chadema na hata viongozi wachache wa CCM walikuwepo.

Ndio nauliza hii kesi ya Mbowe ni ya kimataifa au ni ya kimkoa kama ile ya DC mstaafu Ole sabaya?

Ugaidi ni tishio duniani
 
Nimewaona jana watu kutoka nchi za kibeberu wakiwa pale mahakama ya kisutu kufuatilia kesi ya Freeman Mbowe

Niliwaona pia viongozi wa vyama vya upinzani wakiongozwa na James Mbatia kadhalika viongozi wa juu wote wa Chadema na hata viongozi wachache wa CCM walikuwepo.

Ndio nauliza hii kesi ya Mbowe ni ya kimataifa au ni ya kimkoa kama ile ya DC mstaafu Ole sabaya?

Mbona hamjatumia jina beberu kwenye pesa za afya au chanjo sasa mnatumia kwa Mbowe! Kama unapandwa na beberu usi ingize watu wengine
 
Suala la ugaidi likitokea popote diniani Ni lazima li raise international attention. Asichokijua Siro na CCM wenzake ni kwamba wanadhani wanamshughulikia Mbowe kwa kumbambikizia kesi ya uongo, lakini madhara yake kimataifa Ni makubwa kwa nchi.

Hivi wawekezaji anaotafuta Mama Samia wakisikia Tanzania Kuna ugaidi watakuja?
Mnachekesha kwa kumtetea Mbowe kwa vitisho vya uwekezaji. Nimeshasema mahali pengine humu, mwekezaji real akinusa maslahi sehemu hawezi kutishwa na power plays za wanasiasa.

Kesi ya ugaidi ya Mbowe ni power play. Hata Marekani ana list yake ya nchi inazoziita "terror list countries". Humweka kwenye hiyo list wanayetaka kumweka na humwondoa wanayetaka kumwondoa. Ushawahi kuona nchi nyingine zimekataa kufanya biashara au kuwa na mahusiano na hizo nchi zilizo kwenye terror list ya mmarekani. No! nchi zote duniani know kwamba my enemy is not necessarily your enemy.

Mbowe anaweza au asiwe na kesi kuhusu ugaidi wake anaotuhumiwa. Bado hajawa mtakatifu Mbowe. Tusubiri mahakama.
 
Back
Top Bottom