Hivi kesi ya Mbowe ni ya kitaifa au kimataifa?

Hivi kesi ya Mbowe ni ya kitaifa au kimataifa?

Hivi kwanza hao Wazungu hapo Mahakamani wanakuja Kama Diplomatics au wanakuja Kama Wakazi wa DAR!? Maana sizani Kama Mkataba wa Vienna unaruhusu haya wanayoyafanya, maana sisi Watanzania haturuhusiwi hata kingia kwenye majengo yao yaliopo hapa Nchini kwetu bila ruhuksa yao, maana pale panaisibika kua siyo Tanzania!!
Sawa kwani wasiwasi wako ni nin? si mmesema ushahidi upo tele wala hamja bambika mtu safari hii! kwanza kwa kuwa serikali inatuhumiwa na umma kubambika ingefaa for the public interest the case should be televised.
 
Nimewaona jana watu kutoka nchi za kibeberu wakiwa pale mahakama ya Kisutu kufuatilia kesi ya Freeman Mbowe.

Niliwaona pia viongozi wa vyama vya upinzani wakiongozwa na James Mbatia kadhalika viongozi wa juu wote wa Chadema na hata viongozi wachache wa CCM walikuwepo.

Ndio nauliza hii kesi ya Mbowe ni ya kimataifa au ni ya kimkoa kama ile ya DC mstaafu Ole sabaya?
Mimi nadhani, nchi za nje watakuwa wanakuja kwa counterpart wao ili ajisikie wako wote kusudi aendeleze biashara za chanjo na aendelee kuwa mtii. Hivi Iran na China hawakuwa na wawakilishi?

Kuhusu Kesi ya Mbowe, itakuwa ni ya kimataifa kwa kuwa kama inavyoonekana ni muasisi na anaongoza Magaidi wa Kitanzania waliokuwa amboni, mkuranga, rufiji, kilwa na sasa wako Msumbiji.
 
Suala la ugaidi likitokea popote diniani Ni lazima li raise international attention. Asichokijua Siro na CCM wenzake ni kwamba wanadhani wanamshughulikia Mbowe kwa kumbambikizia kesi ya uongo, lakini madhara yake kimataifa Ni makubwa kwa nchi.

Hivi wawekezaji anaotafuta Mama Samia wakisikia Tanzania Kuna ugaidi watakuja?
Kwa hiyo magaidi waachwe tu bila kushughulikiwa kisa wawekezaji wasiache kuja?
 
Suala la ugaidi likitokea popote diniani Ni lazima li raise international attention. Asichokijua Siro na CCM wenzake ni kwamba wanadhani wanamshughulikia Mbowe kwa kumbambikizia kesi ya uongo, lakini madhara yake kimataifa Ni makubwa kwa nchi.

Hivi wawekezaji anaotafuta Mama Samia wakisikia Tanzania Kuna ugaidi watakuja?
Kwani wale masheikh wa uamsho nao si walipewa kesi ya ugaidi, hali ya uwekezaji ilikuaje?
 
Hivi kwa mfano Mbowe akifia mahabusu. Je Rais atatuma salamu za pole kwa familia ya “Gaidi”?
Sijui lini tutamgeukia Mungu na kuomba msamaha!
Nchi imekuwa ya kukomoa, kupakazia, uongo, ukatili, unyanyasaji na uzandiki, Ee Mola wetu tufanyie wepesi.
 
Back
Top Bottom