johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Nakumbuka yule mchaga wa Kimara aliyekamatwa baada ya ubalozi wa Marekani kulipuwa.Ukisema mtu ni gaidi,unategemea nn? Asa wenzako wakisikia neno gaidi linawashtuaz, wanawaza Saadam Hussein,Bin Laden,Al Baghdadi et al...bado wajamaa Wana balozi zao hapa tena nyingine ziliwahi kulipuliwa 1999 hapahapa Tz,Lazima waje kutazama
Labda ndio maana wazungu wamepata wasiwasi!