Franky
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 2,270
- 2,844
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia mataa Ubungo hadi Kibaha...[emoji15] [emoji15]Sio nchi nzima binafsi nakisikiaga kwenye barabara hii ya morogoro kuanzia mataa ubungo hadi kibaha
Mbona mna muandama, anaeza akawa ni boda boda au dereva wa daladala kwa hiyo anakua na fursa ya kupishana au kukimbizana na hiko "kigari"Kuanzia mataa Ubungo hadi Kibaha...[emoji15] [emoji15]
Yaani unawezaje kusikia kelele za hicho chenye unakiita "kigari", all the way from Ubungo to Kibaha....!!??[emoji53] [emoji53]
Jitahidi uwe unalala au ujiweke busy mchana ili usiku ulaleYani kuna kigari sijui ni alteza sijui ni subaru ikifika mda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity
Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva mda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa mda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa mda huo babrabar ina kuwa nyeupe ndo anachezea anavyotaka..
Kwa hiyo mkuu masikio yako yanasikia kuanzia Ubungo hadi KibahaSio nchi nzima binafsi nakisikiaga kwenye barabara hii ya morogoro kuanzia mataa ubungo hadi kibaha
Mkuu, samahani kwa kuuliza maswali yenye mshangao.Mbona mna muandama, anaeza akawa ni boda boda au dereva wa daladala kwa hiyo anakua na fursa ya kupishana au kukimbizana na hiko "kigari"
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu huwa unakikimbiza kwa nyuma? Maana haiwezekani uwepo kuanzia ubungo hadi kibaha
[emoji7]Hakuna usiku wa manane mkuu,.
Mkuu na wewe kisikilizie usiku, kinaeza kikawa kinapita mpaka mtaa wako. Kuna jamaa amesema amekisikia na yeye yupo Toronto..Mkuu, samahani kwa kuuliza maswali yenye mshangao.
Ebu ngoja tuwaache wa Daslam wapambane na hicho "kigari"...tehteehh
Pamoja na kukifuata ila hajui kama ni alteeza au bombardier!Mkuu huwa unakuwa kwenye hiyo coverage ya ubungo to kibaha kwa muda mmoja? Au hhwa unaamka unachukua usafiri kufuata huo mlio mpaka kibaha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli mkuu, nami nilikisikia huku Ushirombo.Mkuu na wewe kisikilizie usiku, kinaeza kikawa kinapita mpaka mtaa wako. Kuna jamaa amesema amekisikia na yeye yupo Toronto..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa iyo wewe unakuwa at the same time kibaha hadi ubungo mataaSio nchi nzima binafsi nakisikiaga kwenye barabara hii ya morogoro kuanzia mataa ubungo hadi kibaha
Hahahaa... Inabidi serikali iingilie katiNikweli mkuu, nami nilikisikia huku Ushirombo.
Tena kulikuwa kinasumbua sana kuanzia maeneo ya Lyambamgongo hadi Katente....tehteehh [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]