Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Kama Watanzania 75% wanategemea kilimo hivi tunategemea vijana waliozaliwa 2000 na kuendelea kutumia jembe la mkono katika kujipatia riziki?
Hizo ndiyo sababu zinazofanya vijana kukimbia kilimo na kukimbilia mijini au kutafuta ajira mbadala kama kuendesha boda boda. Ni mawazo yangu tu kama wale vijana walioteketea na moto Morogoro nusu yao wangekuwa mashamabani mbona tungeokoa nguvu kazi. Pamoja na kuwa kifowni mipango ya Mungu.
Badala ya vijana kukopeshwa bodaboda, simple farming machines pia zikitolewa kwa mkopo zitabadilisha mawaziri ya wengi kukimbilia mijini.
Hii ni petrol cultivation tool.
Wahusika tunaomba mliangalie hili.