Hivi kitimoto huwa inafaa kutengenezewa mishikaki?

Hivi kitimoto huwa inafaa kutengenezewa mishikaki?

Inawezekana ila utakuwa huifaidi,ile ukitaka uile vizuri inatakiwa iwe kwenye mapande makubwa makubwa,unang'ata kidogo kipande,kingine kinabakia mkononi ukiendelea kutafuna,huku kile kipande unachovya kidogo kwenye chumvi,kidogo kwenye pili pili,ukimalizia unachotafuna unatia mdomoni kilichopo mkonnoni..
Alhamdullilah sheikh...
 
Habarini Wadau,
Inaaminika kuwa kitimoto ni nyama tamu sana kuliko nyama zingine nyingi tu, kwa walioionja au wanaoitumia.

Ila, sijawahi kuona mishikaki ya nyama ya nguruwe, nimezoea kuona mishikaki ya beef, chicken na hata ya pweza.
Ni kwamba kitimoto na utamu wote haufai kutengenezewa mishikaki?

Kuna mtu aliniambia haifai kwaajili ya mafuta mengi kuishia jikoni.
Kuna ukweli katika hilo?
Msaada tafadhali.


Wabillah Tawfiq,
Mshikaki upo tena mtamu balaaaaaaa achana na mdudu,mafuta sio sehemu inayotengenezewa mshikaki
 
Habarini Wadau,
Inaaminika kuwa kitimoto ni nyama tamu sana kuliko nyama zingine nyingi tu, kwa walioionja au wanaoitumia.

Ila, sijawahi kuona mishikaki ya nyama ya nguruwe, nimezoea kuona mishikaki ya beef, chicken na hata ya pweza.
Ni kwamba kitimoto na utamu wote haufai kutengenezewa mishikaki?

Kuna mtu aliniambia haifai kwaajili ya mafuta mengi kuishia jikoni.
Kuna ukweli katika hilo?
Msaada tafadhali.


Wabillah Tawfiq,
MBONA EASY TU MKUU
 
sehemu yeyote ile ya kunguwe inachomwa tu namoto, ukija mafinga hapa kuna sehemu tunakula kitimoto ya kuchomwa ambayo inakuwa kunasehemu ya mafuta na nyama yekundu na inakuwa imeiva vizuri tu, tatizo ni kwamba usiweke moto mwingi wakati wa kuichoma yaani inaiva polepole hakuna mafuta wala nini vyote vinaiva vizuri
 
Ipo sehemu nyingi tu.. kuna baa inaitwa family bar pale tegeta karibu na kibo ipo..
 
Habarini Wadau,
Inaaminika kuwa kitimoto ni nyama tamu sana kuliko nyama zingine nyingi tu, kwa walioionja au wanaoitumia.

Ila, sijawahi kuona mishikaki ya nyama ya nguruwe, nimezoea kuona mishikaki ya beef, chicken na hata ya pweza.
Ni kwamba kitimoto na utamu wote haufai kutengenezewa mishikaki?

Kuna mtu aliniambia haifai kwaajili ya mafuta mengi kuishia jikoni.
Kuna ukweli katika hilo?
Msaada tafadhali.


Wabillah Tawfiq,
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Sio kitimoto tu kitamu.Vitu vyote vya haramu watumiaji yanasema vitam.Mfano:-madawa ya kulevya,pombe,uzinzi,kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile...

Acha uongo mkuuu.kiti moto haiko katika kundi la vitu haramu.
 
Habarini Wadau,
Inaaminika kuwa kitimoto ni nyama tamu sana kuliko nyama zingine nyingi tu, kwa walioionja au wanaoitumia.

Ila, sijawahi kuona mishikaki ya nyama ya nguruwe, nimezoea kuona mishikaki ya beef, chicken na hata ya pweza.
Ni kwamba kitimoto na utamu wote haufai kutengenezewa mishikaki?

Kuna mtu aliniambia haifai kwaajili ya mafuta mengi kuishia jikoni.
Kuna ukweli katika hilo?
Msaada tafadhali.


Wabillah Tawfiq,
We mwenyewe mla kitimoto tu sema hupendi ya mafuta.
 
Eti wabillah Tawfiq watu wengine mkiitwa wachokozi mtakataa,na mkitukanwa mtaona watu sio wastaarabu.Hapo umefanya makusudi tena kwa kidhamiria kabisa
 
Kule Japan wanaita Yakitori.
kiti moto 2.jpg
 
Back
Top Bottom