Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alhamdullilah sheikh...Inawezekana ila utakuwa huifaidi,ile ukitaka uile vizuri inatakiwa iwe kwenye mapande makubwa makubwa,unang'ata kidogo kipande,kingine kinabakia mkononi ukiendelea kutafuna,huku kile kipande unachovya kidogo kwenye chumvi,kidogo kwenye pili pili,ukimalizia unachotafuna unatia mdomoni kilichopo mkonnoni..
Mshikaki upo tena mtamu balaaaaaaa achana na mdudu,mafuta sio sehemu inayotengenezewa mshikakiHabarini Wadau,
Inaaminika kuwa kitimoto ni nyama tamu sana kuliko nyama zingine nyingi tu, kwa walioionja au wanaoitumia.
Ila, sijawahi kuona mishikaki ya nyama ya nguruwe, nimezoea kuona mishikaki ya beef, chicken na hata ya pweza.
Ni kwamba kitimoto na utamu wote haufai kutengenezewa mishikaki?
Kuna mtu aliniambia haifai kwaajili ya mafuta mengi kuishia jikoni.
Kuna ukweli katika hilo?
Msaada tafadhali.
Wabillah Tawfiq,
Watu wanazingua sanaYaaan jamaa kaandika Mada ya kitimoto afu kamalizia na wabillah Tawfiq
MBONA EASY TU MKUUHabarini Wadau,
Inaaminika kuwa kitimoto ni nyama tamu sana kuliko nyama zingine nyingi tu, kwa walioionja au wanaoitumia.
Ila, sijawahi kuona mishikaki ya nyama ya nguruwe, nimezoea kuona mishikaki ya beef, chicken na hata ya pweza.
Ni kwamba kitimoto na utamu wote haufai kutengenezewa mishikaki?
Kuna mtu aliniambia haifai kwaajili ya mafuta mengi kuishia jikoni.
Kuna ukweli katika hilo?
Msaada tafadhali.
Wabillah Tawfiq,
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Habarini Wadau,
Inaaminika kuwa kitimoto ni nyama tamu sana kuliko nyama zingine nyingi tu, kwa walioionja au wanaoitumia.
Ila, sijawahi kuona mishikaki ya nyama ya nguruwe, nimezoea kuona mishikaki ya beef, chicken na hata ya pweza.
Ni kwamba kitimoto na utamu wote haufai kutengenezewa mishikaki?
Kuna mtu aliniambia haifai kwaajili ya mafuta mengi kuishia jikoni.
Kuna ukweli katika hilo?
Msaada tafadhali.
Wabillah Tawfiq,
Sio kitimoto tu kitamu.Vitu vyote vya haramu watumiaji yanasema vitam.Mfano:-madawa ya kulevya,pombe,uzinzi,kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile...
Mweleze huyoAcha uongo mkuuu.kiti moto haiko katika kundi la vitu haramu.
We mwenyewe mla kitimoto tu sema hupendi ya mafuta.Habarini Wadau,
Inaaminika kuwa kitimoto ni nyama tamu sana kuliko nyama zingine nyingi tu, kwa walioionja au wanaoitumia.
Ila, sijawahi kuona mishikaki ya nyama ya nguruwe, nimezoea kuona mishikaki ya beef, chicken na hata ya pweza.
Ni kwamba kitimoto na utamu wote haufai kutengenezewa mishikaki?
Kuna mtu aliniambia haifai kwaajili ya mafuta mengi kuishia jikoni.
Kuna ukweli katika hilo?
Msaada tafadhali.
Wabillah Tawfiq,