Hivi kiuhalisia Mtuhumiwa mwanamke anaweza kusachiwa na askari mwanamume?

Kiuhalisia ndio anaweza sachiwa na askari wakiume, ila kiutaratibu hapana, hairuhusiwi kusachiwa na jinsia tofauti. Labda kukiwa na upungufu wa askari kwa wakati huo. Hapo tutarudi kwenye uhalisia sasa ambapo wote ni askari na wote wana mafunzo hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…