MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kwanini asingeitwa Himid Mao Mkami au Said Ndemla au Majogolo au Salum Aboubakary kuchukua nafasi ya Kiungo Punda Muzamiru Yasin Said Selemba na akaitwa Kiungo Mbovu na Mvivu Zawadi Mauya kutokea Yanga SC?
Kwahiyo Mauya ameitwa Taifa Stars kwakuwa aliifunga Simba SC mwaka huu au?
Huu Usimba na Uyanga ndiyo unalimaliza Soka la Tanzania na Kesho tena nashangilia Benin.
Mpaka Kikosi cha Taifa Stars kikiwa hakina Wachezaji wengi wa Simba na Yanga na kikiwa na Wachezaji wa Timu zingine na wakiwa wanapata pia namba ndiyo Mightier nitaanza Kuishangilia.
Nasema tena Kesho naishangilia Benin na nataka Taifa Stars tufungwe ili tukome na huu Usimba na Uyanga wetu.
Kwahiyo Mauya ameitwa Taifa Stars kwakuwa aliifunga Simba SC mwaka huu au?
Huu Usimba na Uyanga ndiyo unalimaliza Soka la Tanzania na Kesho tena nashangilia Benin.
Mpaka Kikosi cha Taifa Stars kikiwa hakina Wachezaji wengi wa Simba na Yanga na kikiwa na Wachezaji wa Timu zingine na wakiwa wanapata pia namba ndiyo Mightier nitaanza Kuishangilia.
Nasema tena Kesho naishangilia Benin na nataka Taifa Stars tufungwe ili tukome na huu Usimba na Uyanga wetu.