Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Russia na Nato wameanza Miaka mingi sana mzee. Zamani sana.tatizo mnahisi NATO sawa na Urusi au Iran , hakuna mtu NATO walimdeal kwa Pupa , hata Osama alifanya meng ila walikuja kumdeal baadara sana hata Ghadaf hata Iraq hata Syria
Russia ina Sifa kama za Nato na Power inatokaribiana na Nato .
Sahau hilo.
Uwepo wa Nuclear Warheads 5000 ni changamoto, hawawez kumvamia kijesh hata chembe